Uchaguzi 2020 CHADEMA pumzi imekata, Bernard Membe asakwa

Uchaguzi 2020 CHADEMA pumzi imekata, Bernard Membe asakwa

Mtakutana na kichapo cha haja huko field na sio hapa mitandaoni mnakojifariji.

Watu wengi hawamtaki Lisu wanamuona msaliti.
Ahahahaaaaa mmepanic wote mpaka mwenyekiti wenu
 
Jamaa Anataka aonewe huruma apewe nchi!
Hana sera.
Nadhani Mwenyekiti wa Chama keshaona ilo gap!
Sasa pale kijijini anatuonesha nyumbani Kwake anakosema nyumba inamabati chakavu-A mere small family yet he couldn't make it great despite ridhaa aliyopewa na wana Ikungi ndo anataka tumpe nchi???
Cant be serious.
Ndo maana upo kama ulivyo
 
Mm na familia yangu kura ni kwa Lissu sitaki kusikia popoma wala mataga yeyote akiniambia kinyume chake.
 
Halafu kwann lisu tu?tofauti kati ya lisu na jiwe ni lisu analindwa na wananchi jiwe analindwa na jeshi .
 
Mwandishi mwenye sensitive information kutoka chama kikuu cha upinzani hawezi andika neno "mugombea" zaidi ya once.
Wewe utakuwa muuza vitunguu umeamua kupumzisha akili ambazo nazo hazina kazi ya kuzichosha.
Hawa ni wapwa tuinuane team
 
Huna ulijualo zaidi ya kudanga? Hoja kwenu ni sgr, stigler na midege yenu mibovu na miflyover! Au mna jipya msimu huu?
Nakutuma ukamwabie huyo father ako asiyejua kuwa, huku kwetu hatuna shida na hayo maflyover, madege, sgr Wala stiglers Bali majisafi na dawa hospitalini!
Hospitali ipo?
 
[emoji116][emoji116]
20200812_233138.jpeg
 
Unasema kachuja huku unazuia vyombo vya habari visiropoti habari zake...tumewashtukia hatumuweki Membe.
 
Lowassa hakuwa tishio kubwa ukimlinganisha na Lissu. Ndiyo maana mnaogopa na mnajitahidi kunyamazisha vyombo vya habari kutangaza mikutano na habari zake.
Mnalazimisha hio kuogopwa.......sa hv acha abwabwaje ila mwisho wa siku tume ndo itaapisha rais na huyo jamaa aendelee na kesi zake
 
Nilipoona neno "Mugombea" badla ya mgombea nikajua hakuna mwandishi hapa
Ninapoona neno badla instead of badala then hakuna mwandishi hapa.

Note:kabla ya kumchunguza mwenzako unatakiwa ujichunguze na wewe kabla ya kubwatuka tu from nowhere.

Grow up!.
 
Back
Top Bottom