CHADEMA sasa itakuwa na kadi za aina 5 za uanachama zitakazolipiwa viwango tofauti kwa mwaka

CHADEMA sasa itakuwa na kadi za aina 5 za uanachama zitakazolipiwa viwango tofauti kwa mwaka

Ngoja niitafute ile barua ya Ole sabaya aliyokuwa anaomba milioni 5 kwa mfanyabiashara pale Moshi kuichangia CCM
Kitam, Mo, manji na wengine huwa nao wanatoaga Tsh ngapi kwa CCM? Huwa nao ni hii hii 1,200/- tunayolipa sisi hivi, hasa hasa kipindi cha uchaguzi?

Sema tu kingine, ila ukisema kuhusu michango ndugu yangu ccm wamezidi kwa kuwakamua wanachama matajiri
 
Wangeweka na kadi nyingine iitwe Chrysoberyl, ada kwa mwaka iwe sh.1,000,000.Ruzuku za vyama ni upuuzi. Vyama viendeshwe na wanachama.

CCM ina wanachama milioni 8, wanashindwa kukitegemeza chama, wanaishia kuiba pesa ya wananchi kwa kisingizio cha ruzuku.
CCM na Serikali yake ni Majambazi.
 
Mwenyekiti kashazeeka, kaishiwa ufanisi, wacha wajinga wapigwe
 
Mkiambiwa ni saccos mnakuja juu eti tunawatolea lugha za kuudhi.
====
Ni majukumu ya kukitumikia chama tu ndiyo yanatofautisha uanachama wa mtu. Ikifika mwanachama anatofautishwa na kadi ya chama chake kwa kigezo cha fedha na kadi hiyo ya chama inakaribia kabisa kuwa sawa na hisa...hicho siyo chsms tena bali saccos au kitu cha namna hiyo.
 
Chama Cha kibaguzi sana hiki

Hayo madaraja ya Nini kama wote ni binadamu??

Huku CCM wote tunalipa ada moja, uwe Rais au Mkulima ada ni Moja.

Haya Watanzania nendeni Chadema mkabaguliwe.
 
Sasa kadi za Nini wakati 2025 Mwamba kasema Chama chetu pendwa hakitashiriki uchaguzi????
 
Safi sn chadema...... Hiki ndio chama cha ukombozi wa Tanzania...... Huu ukoo qa panya walishashindwa kuomgoza nchi sasa wanajichotea tu pesa na kuvunja katiba na sheria za nchi mbwa hawa
Acha matusi basi,,,ona kalivyo kafupi 😃😃
 
Unakuwa na Madaraja ya Uanachama kisha unasema Wanachama wote watakuwa na haki sawa?

Siyo kweli.

Chadema wafikiri upya hapa.
 
1.Kadi ya bluu (2500) kwa mwaka

2.kadi ya fedha (25,000) kwa mwaka

3.kadi ya dhahabu (50,000) kwa mwaka

4.Kadi ya Platnum (100,000) kwa mwaka

5.Kadi ya Almasi (200,000) kwa mwaka

Huu ndio mpango mpya utaowezesha chama kujiendesha kwa mapato yake chenyewe badala ya pesa za ruzuku ambazo Chadema ilishazikataa kitambo kwa vile hazikuwa za halali.

MUHIMU SANA : Pamoja na kadi hizo kuwa na viwango tofauti lakini hadhi ya wanachama wote ni sawa , viwango tofauti vimewekwa kwa ubunifu tu ili kuongeza mapato ya Chama yatayowezesha kijiendeshe bila kukwama .

Ombi : Chadema ituwekee utaratibu sisi wengine tulio na uwezo wa kulipa zaidi ya hivyo viwango vyao hata kwa kutuandalia risiti maalum bila hata kubadilisha viwango vilivyowekwa , Kwa mfano naweza kulipa milioni 3 lakini nikaomba nipewe kadi ya bluu ambayo ada yake kwa mwaka ni 2500/= tu

View attachment 1800416
Hamtoboi ng'o.
 
Back
Top Bottom