CHADEMA sasa ni tishio la amani na utulivu nchini...

CHADEMA sasa ni tishio la amani na utulivu nchini...

Kwani maspeaker walichukua sheria miguuni kukandamiza kanuni za bunge? Tulipofikia hapa sasa Serikali iliyoko madarani kupitia chama dhaifu inafanya "provocations" kwa matumaini ya kujificha nyuma ya ujuzi wa kanuni na vyombo vingine vya dola.

By the way umemuona Rage akimshambulia mwanachama wa Chadema, Le Mutuz na Bulembo wanang'oa bendera ya Chadema Chalinze, na mwenyekiti wa ccm kuhukumiwa kwenda jela kwa kung'oa bendera ya Chadema? Toa ushahidi wa vurugu za Chadema.

Mauaji yote kwenye vurugu za siasa yameundiwa tume; hakuna majibu ya hizo tume kwa sababu zinawagusa Chama tawala na serikali yake.

Please usifurahishe jamvi kwa kukosoa bila kuweka mizania. Maspeaker na wenye viti wa bunge wanapokea maagizo ya kuinusuru CCM na serikali yake kuhusu hoja za mshiko za wananchi; si hoja za CDM. Waruhusu mijadala ya Bunge watumie wingi wa wa wabunge wao kutozipigia hoja; mwishowe watafikishwa kwenye mahakama ya umma. Hata wasipoifikisha Chadema wananchi wenyewe watahukumu.

Mimibaba una maoni mazuri ambayo ningelikushauri uanzishe uzi mwingine ili tukaijadili ccm kule......................hii mada ni cdm na unafiki wao kwenye majukwaa......................siwezi kuziunganisha hizo mada mbili maana zitakuwa kubwa sana na kupoteza mwelekeo ambao ni yatokanayo na kugawa namba za simu za wabunge wa ccm na athari zake.....................ndiyo kiin cha huu uzi........................huwezi ukaonelea kila kitu kwenye uzi mmoja..................tjadili haya niliyoyaleta na hayo ya kwako kwa sasa ni out of topic..........come back to the topic please...................
 

4) USHAWISHI FINYU \ LIMITED PERSUASIVE POWER!

Ukifuatilia manung'uniko mengi ya CDM bungeni yanatokana na
madai potofu kuwa wao wako wachache kama vile ukubwa wa pua ndiyo wingi wa makamasi badala ya kujikita katika kuajiri wataalamu wawasaidie katika kujenga khoja zenye mashiko na kubuni mikakati endelevu. Unapoona cdm wanatafuna ruzuku badala ya kuwekeza kwenye utalaamu jiulize ni masilahi ya nani ambayo wanayapigania? Wabunge wote bila ya kujali vyama vyao wanalengo la kuona nchi inasonga mbele na cdm kudhani ni wao tu nao ni kukosa dira ya kisiasa.

Wakati umefika tukawaelimisha cdm kuwa wabunge waachie nafasi ndani ya chama ili wazame kwenye shughuli ya kuibana serikali badala ya utaratibu uliopo wa kujirundikia madaraka ndani ya serikali na ndani ya chama.

pia watendaji ndani ya chama wawe wataalamu badala ya sasa upayukaji kwenye mihadhara sasa ndiyo sifa ya kukwaa madaraka chamani.




unaweza kunifafanulia hapo kwenye nyekundu?
 
zumbemkuu labda tusaidie kabla ya cdm kugawa namba za simu za wabunge wa ccm lini Spika wa Bunge alikwisha kuwahi kupigiwa simu na watu wasiojulikana na kutukanwa matusi ya nguoni? jibu hili kwa umakini khalafu ujiulize wewe ni shabiki wa cdm au ni mwanachama wa haki?

Kwenye kutoa namba za speaker hili lilikuwa kwenye extreme, lakini hoja za mara insecure au sijui utapeli wa kisiasa nadhani ni za kitoto na zimekosa umakini kutoka kwa mtu kama wewe ambaye nakufahamu kwa uwezo wako mkubwa wa kujenga hoja.

Tatizo la maji Dar si la leo, lilikuwepo for years, imefikia mahali kuna baadhi ya maeneo ndoo moja ya maji inauzwa hadi shilingi 1500. Niambie kwa watu wenye kipato cha kawaida na maskini wasiokuwa na kazi wanaishije? Yet serikali haikuwa inaliona hili kama ni tatizo. Ni mtu asiyekuwa na maono tu ndiye atakayesema hoja ya maji ni ya kipuuzi.

Na kama kwa hakika hujaona kama bungeni kuna ukandamizaji dhidi ya chadema basi una tatizo kubwa zaidi kuliko la ushabiki wa kichama.
 
Napata wasiwasi na upeo viongozi wa Chadema kulikuwa na umuhimu gani kwa viongozi wa Chadema kupanda Jukwani na kutoa namba za simu za Spika wa Bunge na Naibu wake.Viongozi wa Chadema wamewatafutia matatizo wafuasi wao kwa ujinga, Makinda katumiwa meseji 400 za matusi na zaidi ya simu 200 zimmepigwa zikimkashifu.Viongozi wa Chadema jiandaeni kuudumia familia za wafuasi wenu watakapokuwa jela.Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA na polisi wamesema wameishaanza kuwasaka wale wote waliotoa matusi na watawabaini na kuwafikisha Mahakamani.Kuna wengine lazima watakuwa members humu JF mjiandae kwenda jela kwa matusi.
 
Napata wasiwasi na upeo viongozi wa Chadema kulikuwa na umuhimu gani kwa viongozi wa Chadema kupanda Jukwani na kutoa namba za simu za Spika wa Bunge na Naibu wake.Viongozi wa Chadema wamewatafutia matatizo wafuasi wao kwa ujinga, Makinda katumiwa meseji 400 za matusi na zaidi ya simu 200 zimmepigwa zikimkashifu.Viongozi wa Chadema jiandaeni kuudumia familia za wafuasi wenu watakapokuwa jela.Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA na polisi wamesema wameishaanza kuwasaka wale wote waliotoa matusi na watawabaini na kuwafikisha Mahakamani.Kuna wengine lazima watakuwa members humu JF mjiandae kwenda jela kwa matusi.

Halafu kama hilo halitoshi, jamaa wakiwa jela, utawaona Bw.Zito kabwe na Spika Makinda wakicheza mabluez na kugongeana glasi za mvinyo Dodoma Hotel! ukiwauliza watakwambia siasa sio chuki, wakati wafuasi wa Mwembe Yanga wananyea madebe Segerea!
 
Amani tuliyokuwa nayo Tanzania ilitoweka muda mrefu. Ukosefu wa amani ambao ulikuwa haunekani, sasa umeanza kuibuka na kuonekana wazi. Angalia mauaji ya wananchi wasio na hatia, mapigano ya kidini na mengine mengi. Tanzania imekuwa taifa ambalo limeumizwa na linaumia mno. Hizi tunazoziona sasa ni ishara tu ya taifa liloumizwa. Viashiria ni vingi tu, mwenye macho afungue avione. Kusema kuwa CHADEMA kimekuwa ni tishio la amani ni unafiki uliokithiri. Mfano ni mtu anayekuambia fulani ni mwizi aanayekuibia, na wewe unamgeuzia kibao na kumuita mwizi. Kitu wanachofanya Chadema ni kitu chema. Kinafungua mfuniko kutoa mvuke katika birika linalochemka na lilozibwa. Bila ya kufungulia mvuke, birika litapasuka!
 
It all depends on how you define peace and harmony.

If you mean peace as an absence of political hostility, then you might be right.

If you mean peace as lack of violent conflict and the freedom from fear of violence, then you might be right.

Lakini amani haina maana ya kukaaa sehemu ambayo haina kelele, trouble or hard work.

Peace means to be in the midst of all these things and still stay calm. This is the real meaning of peace.

In addition, peace means prosperity in matters of social or economic welfare, equality, and a working political order that serves the true interests of all the people.

If this is the meaning of peace, then I don't know how Chadema is hindering prosperity of social or economic welfare, equality, and a working political order that serves the true interests of all the people in Tanzania.
 
Ah Rutashubanyuma umerudi tena. Kama kawaida yako hate preacher hakuna pointi umejaza ugoro mtupu kuanzia mwanzo hadi mwisho.
 
Last edited by a moderator:
Napata wasiwasi na upeo viongozi wa Chadema kulikuwa na umuhimu gani kwa viongozi wa Chadema kupanda Jukwani na kutoa namba za simu za Spika wa Bunge na Naibu wake.Viongozi wa Chadema wamewatafutia matatizo wafuasi wao kwa ujinga, Makinda katumiwa meseji 400 za matusi na zaidi ya simu 200 zimmepigwa zikimkashifu.Viongozi wa Chadema jiandaeni kuudumia familia za wafuasi wenu watakapokuwa jela.Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA na polisi wamesema wameishaanza kuwasaka wale wote waliotoa matusi na watawabaini na kuwafikisha Mahakamani.Kuna wengine lazima watakuwa members humu JF mjiandae kwenda jela kwa matusi.

Adabrakadabra nyingine hii. Hakuna mtu aliyemtukana makinda na hakuna mtu atakayeefungwa kwa kumpigia simu ama kumuandikia ujumbe mfupi spika na naibu wake. Hata mimi nimewatumia wote ujumbe mfupi kama unaweza waambie waanzie kwangu.
 
Umetumwa na nani? Hata wakoloni walimwita Nyerere mhuni, mkorofi.

Jasusi I will not contend with your lack of understanding lest I be regarded like your folly...........
 
It all depends on how you define peace and harmony.

If you mean peace as an absence of political hostility, then you might be right.

If you mean peace as lack of violent conflict and the freedom from fear of violence, then you might be right.

Lakini amani haina maana ya kukaaa sehemu ambayo haina kelele, trouble or hard work.

Peace means to be in the midst of all these things and still stay calm. This is the real meaning of peace.

In addition, peace means prosperity in matters of social or economic welfare, equality, and a working political order that serves the true interests of all the people.

If this is the meaning of peace, then I don't know how Chadema is hindering prosperity of social or economic welfare, equality, and a working political order that serves the true interests of all the people in Tanzania.

Congrats EMT angalau unaweza kujenga khoja hata kama siyo stahiki hauko kama walewale ambao silaha yao no matusi tena a nguoni....................kwa sababu vichwani mwao uwezo wa kutafakari hawakujaaliwa hata basi kuutafuta.......
 
Kwenye kutoa namba za speaker hili lilikuwa kwenye extreme, lakini hoja za mara insecure au sijui utapeli wa kisiasa nadhani ni za kitoto na zimekosa umakini kutoka kwa mtu kama wewe ambaye nakufahamu kwa uwezo wako mkubwa wa kujenga hoja.

Tatizo la maji Dar si la leo, lilikuwepo for years, imefikia mahali kuna baadhi ya maeneo ndoo moja ya maji inauzwa hadi shilingi 1500. Niambie kwa watu wenye kipato cha kawaida na maskini wasiokuwa na kazi wanaishije? Yet serikali haikuwa inaliona hili kama ni tatizo. Ni mtu asiyekuwa na maono tu ndiye atakayesema hoja ya maji ni ya kipuuzi.

Na kama kwa hakika hujaona kama bungeni kuna ukandamizaji dhidi ya chadema basi una tatizo kubwa zaidi kuliko la ushabiki wa kichama.

Lukolo Mnyika alikiri jitihada za serikali kkuhusiana na mradi mkubwa wa maji Dar lakini khofu yake ni kusekana kwa bilioni mia ambazo hata yeye mwenyewe hajui zitoke wapi....sasa kama hajui ila anahimiza hivi unahitaji khoja binafsi kutuelezea hayo? Au unasimama tu na kuulizia swali hizo hela zitoke wapi?
 
Amani tuliyokuwa nayo Tanzania ilitoweka muda mrefu. Ukosefu wa amani ambao ulikuwa haunekani, sasa umeanza kuibuka na kuonekana wazi. Angalia mauaji ya wananchi wasio na hatia, mapigano ya kidini na mengine mengi. Tanzania imekuwa taifa ambalo limeumizwa na linaumia mno. Hizi tunazoziona sasa ni ishara tu ya taifa liloumizwa. Viashiria ni vingi tu, mwenye macho afungue avione. Kusema kuwa CHADEMA kimekuwa ni tishio la amani ni unafiki uliokithiri. Mfano ni mtu anayekuambia fulani ni mwizi aanayekuibia, na wewe unamgeuzia kibao na kumuita mwizi. Kitu wanachofanya Chadema ni kitu chema. Kinafungua mfuniko kutoa mvuke katika birika linalochemka na lilozibwa. Bila ya kufungulia mvuke, birika litapasuka!

Dingswayo kama umesoma khoja ya Mnyika nitajie angalau ufumbuzi mbadala wa tatizo la maji ambao Mnyika alitoa zaidi ya kudai mradi umepungukiwa bilioni mia moja ambazo hata yeye hajui zitoke wapi?
 
Napata wasiwasi na upeo viongozi wa Chadema kulikuwa na umuhimu gani kwa viongozi wa Chadema kupanda Jukwani na kutoa namba za simu za Spika wa Bunge na Naibu wake.Viongozi wa Chadema wamewatafutia matatizo wafuasi wao kwa ujinga, Makinda katumiwa meseji 400 za matusi na zaidi ya simu 200 zimmepigwa zikimkashifu.Viongozi wa Chadema jiandaeni kuudumia familia za wafuasi wenu watakapokuwa jela.Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA na polisi wamesema wameishaanza kuwasaka wale wote waliotoa matusi na watawabaini na kuwafikisha Mahakamani.Kuna wengine lazima watakuwa members humu JF mjiandae kwenda jela kwa matusi.

Ritz hakuna namna lazima hawa cdm tuwabane vinginevyo tutajenga ukuta hivi karibuni.........
 
Kuna ukweli kwenye maandishi haya. Kuna kiongozi mmoja pale Temeke alipopanda jukwaani alisema "serikali inafanya vitu vya ajabu sana, kwa mfano, viongozi wa serikali wanatumia pesa za serikali kwa ajili ya kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM". Hapa alitaka kuwadanganya wasikilizaji kwamba Ilani ya uchaguzi ya CCM ni mali binafsi ya CCM. Huyu kiongozi anajua wazi kuwa waliopo pale wengi wao hawana uwezo wa kujiuliza maana ya kila neno linalosemwa na hapo kiongozi huyu anatumia mwanya huo kuwadanganya ili tu waichukie serikali na CCM. Hii si dalili nzuri, kwa sababu ujinga wa wananchi unatumiwa kama political capital...
 
Halafu kama hilo halitoshi, jamaa wakiwa jela, utawaona Bw.Zito kabwe na Spika Makinda wakicheza mabluez na kugongeana glasi za mvinyo Dodoma Hotel! ukiwauliza watakwambia siasa sio chuki, wakati wafuasi wa Mwembe Yanga wananyea madebe Segerea!

Kijakazi hata haya magwanda yao ya kijeshi ni viashiria vya kutaka kuchukua dola kwa nguvu badala ya kujenga hoja ukiona michango ya wapambe wao ni dhahiri wanataka kutumia ubabe maana hawana hoja
 
Adabrakadabra nyingine hii. Hakuna mtu aliyemtukana makinda na hakuna mtu atakayeefungwa kwa kumpigia simu ama kumuandikia ujumbe mfupi spika na naibu wake. Hata mimi nimewatumia wote ujumbe mfupi kama unaweza waambie waanzie kwangu.

Mwita Maranya ulivypo na busara nina imani hukuwatukana kwenye hizo sms zako............kama wanavyofanya wenzio!
 
Kuna ukweli kwenye maandishi haya. Kuna kiongozi mmoja pale Temeke alipopanda jukwaani alisema "serikali inafanya vitu vya ajabu sana, kwa mfano, viongozi wa serikali wanatumia pesa za serikali kwa ajili ya kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM". Hapa alitaka kuwadanganya wasikilizaji kwamba Ilani ya uchaguzi ya CCM ni mali binafsi ya CCM. Huyu kiongozi anajua wazi kuwa waliopo pale wengi wao hawana uwezo wa kujiuliza maana ya kila neno linalosemwa na hapo kiongozi huyu anatumia mwanya huo kuwadanganya ili tu waichukie serikali na CCM. Hii si dalili nzuri, kwa sababu ujinga wa wananchi unatumiwa kama political capital...

ZeMarcopolo mtaji wa cdm ni utapeli wa kisiasa...................khoja zangu nyiingi buneni hazina tija ila wanajitafutia umaarufu wa bei poa....................na jazba zao nyingi kwenye majukwaa ukizifuatili ni kutupia serikali lawama lakini hawana la mfumo mbadala zaidi ya kulalamika na kutusi tu..............tukiwakemea wanasema hatuna jipya!
 
Back
Top Bottom