CHADEMA sasa ni tishio la amani na utulivu nchini...

CHADEMA sasa ni tishio la amani na utulivu nchini...

unaweza kunifafanulia hapo kwenye nyekundu?

Manyanza mbona mada imefafanua hilo.........................ambalo cdm bungeni wanatafuta visingizio kwa kushindwa kujenga hoja ambazo zenye ushawishi na kukimbilia wako wachache.....sasa kama Mnyika anachukua mpango wa uendelezaji wa maji wa serikali ya ccm na kujimilikisha na kuita khoja binafsi hivi anategemea aubngwe mkono au aumbuliwe kuwa hakuna jipya ila anatupotezea muda?

kwenye mpango tajwa mapungufu ya pesa hizo bilioni mia moja yametajwa na Mnyika anarudia lilelile kama vila halijulikani...................yaani cdm wanatia aibu sana!
 
Kwa mara ya kwanza nimeona mada ya ajabu katika jukwaa hili. Yaliyoongelewa na mleta mada inaonekana kama vile walioko madarakani ni watakatifu sana kiasi kuonekana kufanyiwa fujo na wale wanaotaka kuingia madarakani. Mwenyekiti wa ccm anapoongea huku akitabasamu na kushangiliwa kuwa hayuko tayari kuachia nchi kwa wapinzani kwa namna yoyote; yuko sawa? Kiongozi wa cdm anapoongea kwa 'jazba' na msisitizo kuwa ccm inatumia hela za wanachama wa mashirika ya hifadhi ya jamii katika kutekeleza ilani za ccm; anakosea? Ni wakati gani mtu anatakiwa azungumze kwa bashasha na wakati gani mtu azungumze kwa kauli kavu na thabiti? Ndugu Rutashubanyuma umekosea sana katika hili.
 
Mwita Maranya thibitisha tuhuma zako hiziz kama unaweza...............and make my day!
Rutashubanyuma kwa members wageni wanaweza kuiona hii kama hoja ya msingi lakini usisahau kwamba nimeanza kusoma maandishi yako hapa JF tangu mwaka 2010 tukielekea uchaguzi mkuu na baada ya uchaguzi mkuu. Sihitaji kukukumbusha jinsi ulivyokuwa ukiishambulia Chadema na viongozi wake hasa Dr. Slaa huku ukijiita political analyst.

Labda nikufahamishe kwamba mara moja moja nikijisikia huwa napoteza muda kubisha na wewe lakini mara zote sisomi thread zako kwa matarajio ya kuona kitu chochote kipya ama constructive. Hauna hata ile constructive criticism zaidi ya chuki tu zilizoujaza moyo wako, na hiyo haishangazi kwakuwa wako wengi wa aina yako ambao wamekuwa wakijaribu kufanya hadaa ili kuharibu reputation ya Chadema na viongozi wake bila mafanikio.

Kama wananchi wangekuwa wanakubaliana na hadaa zenu bila shaka sasahivi Arusha (mahali ulipo wewe, kama hujahama) pasingekuwa uwanja wa nyumbani wa Chadema kwakuwa hapo ndipo mmefanya kila aina ya songombingo lakini wananchi wamesema hatudanganyiki.
 
Last edited by a moderator:
Ruta,
Nakubaliana zaidi na hoja zako No.1, No.2 na No.7.
Hii hoja namba 7, ni mbaya zaidi kwani siku CDM wakipata ridhaa ya kuongoza nchi hii basi ni hoja ambayo itawa-cost sana! Kwa jinsi ilivyo, wananchi wamejengewa dhana kwamba matatizo yote haya ni kwa ajili ya CCM na as if, endapo CDM itaingia tu madarakani basi matatizo yote hayo yataisha! For me, this's purely political robery. Wakati wa kipindi cha bunge la bajeti 2012/2013; nilitoa changamoto ya kutaka kuona bajeti mbadala ya CDM itakayoainisha mapato(ongezeko la mapato). Nilichoona kwa bajeti ile, ni ON & OFF ya entries; kwamba...say, Matumizi X ni ufisadi, so X should transfered to....! Baada ya On & OFF ambayo waliifanya bajeti yao ikaonekana ime-save about TZS 900bn.....simply means, kama bajeti ya CCM ilikuwa TZS 10 Trilion, basi ya CDM ingekuwa somwehere very close to 11 Trilion!! Ongezeko hilo la mapato yaliyokaribia kiasi cha Trilioni moja, kisingetosha hata ku-run ile project ya Minimum Salary ya TZS 315,000/= ambayo nayo kuna siku niliwaomba wanidadavulie vile ambavyo wangeweza kulipa minimum ya 315,000 lakini ambacho kililetwa jukwaani hapa kilikuwa ni kituko cha mahesabu ambacho kisingeweza kufanywa hata na mwanafunzi wa darasa la 5!!

So, siku CDM wakishika dola, basi ni hoja hiyo namba 7 ndiyo itawarudisha kwenye dawati la upinzani unless CCM wasambaratike baada ya wao kushindwa! CDM wamejenga matumaini makubwa mno kwa wananchi kama matumaini ambayo Watanganyika walikuwa nayo mara baada ya kupata uhuru!! Sioni namna CDM inavyojenga spirit ya kujituma kwa Watanzania kama njia njia ya kuepukana na umaskini na badala yake wamewajengea wananchi imani ya namna gani CCM inavyosababisha umasikini wao wakati wao(CDM) bado hawajajiandaa kuondosha umasikini zaidi tu ya kujiandaa kuiondoa CCM! It will take one or two terms kwa Wananchi kushituka kwamba wameingizwa mkenge kwani yale wanayoyatarajia kutoka kwa CDM hawatayaona ingawaje sina shaka kwamba utetezi wa CDM utakuwa "Tumeichukua nchi ikiwa katika hali mbaya sana so we need more and more time to rebuild it!
 
Kwa mara ya kwanza nimeona mada ya ajabu katika jukwaa hili. Yaliyoongelewa na mleta mada inaonekana kama vile walioko madarakani ni watakatifu sana kiasi kuonekana kufanyiwa fujo na wale wanaotaka kuingia madarakani. Mwenyekiti wa ccm anapoongea huku akitabasamu na kushangiliwa kuwa hayuko tayari kuachia nchi kwa wapinzani kwa namna yoyote; yuko sawa? Kiongozi wa cdm anapoongea kwa 'jazba' na msisitizo kuwa ccm inatumia hela za wanachama wa mashirika ya hifadhi ya jamii katika kutekeleza ilani za ccm; anakosea? Ni wakati gani mtu anatakiwa azungumze kwa bashasha na wakati gani mtu azungumze kwa kauli kavu na thabiti? Ndugu Rutashubanyuma umekosea sana katika hili.

Raia Fulani uzi zangu za mapungufu ya CCM zipo nyingi na CDM nao wanayao.....fuatilia haya utaona ya kuwa nao CDM siyo malaika kama baadhi yetu wanadhani!
 
Rutashubanyuma kwa members wageni wanaweza kuiona hii kama hoja ya msingi lakini usisahau kwamba nimeanza kusoma maandishi yako hapa JF tangu mwaka 2010 tukielekea uchaguzi mkuu na baada ya uchaguzi mkuu. Sihitaji kukukumbusha jinsi ulivyokuwa ukiishambulia Chadema na viongozi wake hasa Dr. Slaa huku ukijiita political analyst.

Labda nikufahamishe kwamba mara moja moja nikijisikia huwa napoteza muda kubisha na wewe lakini mara zote sisomi thread zako kwa matarajio ya kuona kitu chochote kipya ama constructive. Hauna hata ile constructive criticism zaidi ya chuki tu zilizoujaza moyo wako, na hiyo haishangazi kwakuwa wako wengi wa aina yako ambao wamekuwa wakijaribu kufanya hadaa ili kuharibu reputation ya Chadema na viongozi wake bila mafanikio.

Kama wananchi wangekuwa wanakubaliana na hadaa zenu bila shaka sasahivi Arusha (mahali ulipo wewe, kama hujahama) pasingekuwa uwanja wa nyumbani wa Chadema kwakuwa hapo ndipo mmefanya kila aina ya songombingo lakini wananchi wamesema hatudanganyiki.

Mwita Maranya waswahili hulonga njia ya mwongo ni fupi. Baadhi ya makala zangu kuhusiana na CDM za kabla ya uchaguzi wa 2010 ni hizi hapa chini khalafu nieleze ni wapi nimewapoinda CDM................tatizo lako unaandika mambo ambayo hujayafanyia utafiti.................mimi naangalia ukweli mtupu kulingana na khali ya wakati tu.

Makala chanya nilizozibandika humu jamvini za CDM ni pamoja na:-

1) After Nyerere, only Dr. Slaa has moral character!

2)JK na CCM ni "Dr. No" wakati Dr. Slaa na Chadema ni

3)Dr. Slaa kutafuna mfupa wa wastaafu wa EAC

4)Dr. Slaa amrarua Dr. Kamara: Elimu yako

5)Dr. Slaa na Chadema wajiandaa kukamata

6)Character assassination is Kikwete's trump card to

7)With 26.2% voting for him, JK most unpopular

8)Mlaki: Madai ya Dr. Slaa yasipuuzwe hata

9)Malaria Sugu yup beneti na wanaomkashifu Dr. Slaa

10)CCM yakirir Dr. Slaa kiboko yao.................

Mwita Maranya acha kunitungia uongo na angalau anza kubeza khoja zangu kama una ubavu badala ya kuanzisha mazogo ambayo yanakwenda nje na uzi!
 
Umeongea too general na kutoa lawama za jumla jumla kwa CHADEMA bila kufanya upembuzi yakinifu!
This is too low for you Rutashubanyuma.

Mpenda Yesu na wewe hizi nazo kuna uchambuzi wa kiundani kuhalalisha haya unayoyaongelea? Hebu nipatie busara zako zeny "specifics" kama zipo.........
 
Ruta,
Nakubaliana zaidi na hoja zako No.1, No.2 na No.7.
Hii hoja namba 7, ni mbaya zaidi kwani siku CDM wakipata ridhaa ya kuongoza nchi hii basi ni hoja ambayo itawa-cost sana! Kwa jinsi ilivyo, wananchi wamejengewa dhana kwamba matatizo yote haya ni kwa ajili ya CCM na as if, endapo CDM itaingia tu madarakani basi matatizo yote hayo yataisha! For me, this's purely political robery. Wakati wa kipindi cha bunge la bajeti 2012/2013; nilitoa changamoto ya kutaka kuona bajeti mbadala ya CDM itakayoainisha mapato(ongezeko la mapato). Nilichoona kwa bajeti ile, ni ON & OFF ya entries; kwamba...say, Matumizi X ni ufisadi, so X should transfered to....! Baada ya On & OFF ambayo waliifanya bajeti yao ikaonekana ime-save about TZS 900bn.....simply means, kama bajeti ya CCM ilikuwa TZS 10 Trilion, basi ya CDM ingekuwa somwehere very close to 11 Trilion!! Ongezeko hilo la mapato yaliyokaribia kiasi cha Trilioni moja, kisingetosha hata ku-run ile project ya Minimum Salary ya TZS 315,000/= ambayo nayo kuna siku niliwaomba wanidadavulie vile ambavyo wangeweza kulipa minimum ya 315,000 lakini ambacho kililetwa jukwaani hapa kilikuwa ni kituko cha mahesabu ambacho kisingeweza kufanywa hata na mwanafunzi wa darasa la 5!!

So, siku CDM wakishika dola, basi ni hoja hiyo namba 7 ndiyo itawarudisha kwenye dawati la upinzani unless CCM wasambaratike baada ya wao kushindwa! CDM wamejenga matumaini makubwa mno kwa wananchi kama matumaini ambayo Watanganyika walikuwa nayo mara baada ya kupata uhuru!! Sioni namna CDM inavyojenga spirit ya kujituma kwa Watanzania kama njia njia ya kuepukana na umaskini na badala yake wamewajengea wananchi imani ya namna gani CCM inavyosababisha umasikini wao wakati wao(CDM) bado hawajajiandaa kuondosha umasikini zaidi tu ya kujiandaa kuiondoa CCM! It will take one or two terms kwa Wananchi kushituka kwamba wameingizwa mkenge kwani yale wanayoyatarajia kutoka kwa CDM hawatayaona ingawaje sina shaka kwamba utetezi wa CDM utakuwa "Tumeichukua nchi ikiwa katika hali mbaya sana so we need more and more time to rebuild it!

NasDaz the good news we are not that fololish kuwakabidhi nchi wabaishaji......................angalia hata michango yao kwenye huu uzi yaani sijui shule walisomea chini ya mwembe........they are just losers proceeding to nowhere!
 
Mkuu Rutashubanyuma,

Nianze kwa kusema, katika Dunia/Ulimwengu huu wa sasa, si jambo la kushangaza kupata namba BINAFSI ya mtu kama kiongozi au raia wa kawaida.

1. Kutojiamini(Insecurity): Sidhani kuwa na sababu moja yaani viongozi wa Chama fulani walikuwa ni wa chama fulani(mf. viongozi wa CHADEMA kuwa walikuwa CCM) na hivyo ni makapi! Hii SI HOJA bali propaganda za kisiasa.
Endapo mtu alikuwa mfuasi wa Chama husika na akahama haimaanishi 'amekwisha' kisiasa, isipokuwa hapa hutakuwa na maana ya Uhuru wa maoni, maamuzi.



Wakati fulani ni kama mchezo wa kuigiza ukitazama Bunge la Tanzania, si kwamba tu wabunge(baadhi) hawaheshimiani bali hawaheshimu na kujali/kupenda kazi yao.

2. Visasi/Vengeance: Mkuu, katika duniana hii mtawaliwa hutumia nguvu yake tu, hapa namaanisha kura. Sasa pale utendaji unapokiukwa, mambo ya msingi kupuuzwa, wakati hoja za msingi zikijengwa na majibu mepesi kutolewa, Hasira hutawala...Hii ni jambo la kawaida kwa binadamu yeyote. Pengine kutohimili hasira hizi ni kutokana na Upuuzwaji wa mambo ya msingi kuendelea.

3.Utapeli wa Kisiasa/Political Hypocrisy:
Binafsi sifurahishwi/kuvutiwa na uendeshwaji wa Bunge, hasa katika hoja binafsi..Kuwekuwa na kipaumbele cha "uchama"..zaidi ya Utaifa. Nikimaanisha ushabiki ndio umetawala.


4.Ushawishi Finyu/Limited Persuasive power.

Sikubaliani na wewe kusema kuwa, "kila mbunge anajali maslahi ya Taifa".

Pili Utakuwa hauko sahihi kusema Viongozi kujirundikia madaraka katika Serikali na Chama. Nasema hivi kwa kuwa, Si wabunge wote wa CHADEMA ni viongozi katika chama.

Tatu nadhani ni viongozi wa CCM wenye tabia hii, achilia mbali ndani ya chama, unakuta kiongozi wa Serikali(mfano mkuu wa mkoa) anaongoza/anasimamia mikoa miwili lakini bado ana majukumu mengine, na hapa unategemea kweli kazi kufanyika.

Achilia mbali hiyo unaweza kukuta naibu waziri/waziri ana wadhifa mwingine, kumbuka habari ya Mh. Lukuvi, Mh. Mwantumu Mahiza!!
Unataka kusema Tanzania yote hii amekosekana mtu wa kushika nafasi fulani, kuepuka kurundikiwa madaraka?

5. Kuwadharau wapiga kura/Underestimating and abuse voters:
Sidhani kwa kutumia msemo(Slogan) Peoples' power, ni kuwadharau wananchi, labda tuwe maana yake ni mpya, yaani uisemayo wewe.

Ni sawa na kusema "Nguvu Mpya, Ari mpya na Kasi mpya" , je unataka kumaanisha hapa kabla ya msemo huu CCM walikuwa dhaifu, goigoi na wakijivuta?!!

6.Mwamba Ngoma huvutia Kwake/Twisted alternative evaluation.
Mkuu hapa ndipo unapokosea, na kiukweli ni kosa la wengi.Hatusemi Serikali ya CCM, Serikali ya CHADEMA/CUF/n.k..unless
i) Definition ya Serikali ni tofauti.
ii) Ni kutafuta majigambo yasiyo na msingi.
iii)Ni kusababisha KUENDELEA kuwepo na mpasuko wa kivyama na wananchi.

Hii ni kwa sababu, Tunapochagua viongozi tunachagua viongozi wa Taifa, sio wananchama wa CCM au chama chochote kile.

Hata Rais/Balozi/W/Nje(kama mwakilishi wa Taifa) awapo huko nje, husimamia serikali ya TANZANIA.

Kuendelea kutumia misemo kama hii, tusitegemee maendeleo kwa sababu, UPINZANI huikosoa Serikali(kama mija wapo ya Kazi yake) na iwapo tutajijenga kiakili(mindset) kuwa ni Serikali YETU WOTE na si ya kwao, Mapungufu yatapokelewa na kufanyiwa kazi, vinginevyo Wabunge na Wafuasi wa CCM watakapokosolewa kwa utendaji wa "Serikali yao" wataona ni uchokozi(attack) na vurugu kuanza upya.


7. Majemadari wa Lawama bila ufumbuzi.
Mkuu, wakati fulani Upinzani ulitengeneza bajeti na ikawasilishwa Bungeni na hata kusomwa, ikiainisha mapato yote yatakavyopatikana na matumizi yake hii ilikuwa na unafuu kuliko bajeti iliyotengenezwa na Bunge zima, lakini hadi leo hii(15.02.2013) hakuna jambo lilifanyiwa kazi.

Dharau kwa kundi fulani kuwa hawawezi(Underestimating) hii ilifanywa na wabunge wa chama tawala, WAKATI hii ilikuwa kusaidia Taifa.

Vivyo hivyo kuhusu magari ya kifahari ya watumishi wa Serikali(wabunge wakiwamo), lakini nini kilifanyika?

wakati fulani pia, majina ya wala rushwa, wabadhirifu yalisomwa na ushahidi kuwa wazi, lakini hakuna kilichofanyika, Simply kwa sababu tu ni Upinzani.

Sasa mkuu Rutashubanyuma, unataka alternative ipi unayohitaji?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Rutashubanyuma,

Nianze kwa kusema, katika Dunia/Ulimwengu huu wa sasa, si jambo la kushangaza kupata namba BINAFSI ya mtu kama kiongozi au raia wa kawaida.

1. Kutojiamini(Insecurity): Sidhani kuwa na sababu moja yaani viongozi wa Chama fulani walikuwa ni wa chama fulani(mf. viongozi wa CHADEMA kuwa walikuwa CCM) na hivyo ni makapi! Hii SI HOJA bali propaganda za kisiasa.
Endapo mtu alikuwa mfuasi wa Chama husika na akahama haimaanishi 'amekwisha' kisiasa, isipokuwa hapa hutakuwa na maana ya Uhuru wa maoni, maamuzi.



Wakati fulani ni kama mchezo wa kuigiza ukitazama Bunge la Tanzania, si kwamba tu wabunge(baadhi) hawaheshimiani bali hawaheshimu na kujali/kupenda kazi yao.

2. Visasi/Vengeance: Mkuu, katika duniana hii mtawaliwa hutumia nguvu yake tu, hapa namaanisha kura. Sasa pale utendaji unapokiukwa, mambo ya msingi kupuuzwa, wakati hoja za msingi zikijengwa na majibu mepesi kutolewa, Hasira hutawala...Hii ni jambo la kawaida kwa binadamu yeyote. Pengine kutohimili hasira hizi ni kutokana na Upuuzwaji wa mambo ya msingi kuendelea.

3.Utapeli wa Kisiasa/Political Hypocrisy:
Binafsi sifurahishwi/kuvutiwa na uendeshwaji wa Bunge, hasa katika hoja binafsi..Kuwekuwa na kipaumbele cha "uchama"..zaidi ya Utaifa. Nikimaanisha ushabiki ndio umetawala.


4.Ushawishi Finyu/Limited Persuasive power.

Sikubaliani na wewe kusema kuwa, "kila mbunge anajali maslahi ya Taifa".

Pili Utakuwa hauko sahihi kusema Viongozi kujirundikia madaraka katika Serikali na Chama. Nasema hivi kwa kuwa, Si wabunge wote wa CHADEMA ni viongozi katika chama.

Tatu nadhani ni viongozi wa CCM wenye tabia hii, achilia mbali ndani ya chama, unakuta kiongozi wa Serikali(mfano mkuu wa mkoa) anaongoza/anasimamia mikoa miwili lakini bado ana majukumu mengine, na hapa unategemea kweli kazi kufanyika.

Achilia mbali hiyo unaweza kukuta naibu waziri/waziri ana wadhifa mwingine, kumbuka habari ya Mh. Lukuvi, Mh. Mwantumu Mahiza!!
Unataka kusema Tanzania yote hii amekosekana mtu wa kushika nafasi fulani, kuepuka kurundikiwa madaraka?

5. Kuwadharau wapiga kura/Underestimating and abuse voters:
Sidhani kwa kutumia msemo(Slogan) Peoples' power, ni kuwadharau wananchi, labda tuwe maana yake ni mpya, yaani uisemayo wewe.

Ni sawa na kusema "Nguvu Mpya, Ari mpya na Kasi mpya" , je unataka kumaanisha hapa kabla ya msemo huu CCM walikuwa dhaifu, goigoi na wakijivuta?!!

6.Mwamba Ngoma huvutia Kwake/Twisted alternative evaluation.
Mkuu hapa ndipo unapokosea, na kiukweli ni kosa la wengi.Hatusemi Serikali ya CCM, Serikali ya CHADEMA/CUF/n.k..unless
i) Definition ya Serikali ni tofauti.
ii) Ni kutafuta majigambo yasiyo na msingi.
iii)Ni kusababisha KUENDELEA kuwepo na mpasuko wa kivyama na wananchi.

Hii ni kwa sababu, Tunapochagua viongozi tunachagua viongozi wa Taifa, sio wananchama wa CCM au chama chochote kile.

Hata Rais/Balozi/W/Nje(kama mwakilishi wa Taifa) awapo huko nje, husimamia serikali ya TANZANIA.

Kuendelea kutumia misemo kama hii, tusitegemee maendeleo kwa sababu, UPINZANI huikosoa Serikali(kama mija wapo ya Kazi yake) na iwapo tutajijenga kiakili(mindset) kuwa ni Serikali YETU WOTE na si ya kwao, Mapungufu yatapokelewa na kufanyiwa kazi, vinginevyo Wabunge na Wafuasi wa CCM watakapokosolewa kwa utendaji wa "Serikali yao" wataona ni uchokozi(attack) na vurugu kuanza upya.


7. Majemadari wa Lawama bila ufumbuzi.
Mkuu, wakati fulani Upinzani ulitengeneza bajeti na ikawasilishwa Bungeni na hata kusomwa, ikiainisha mapato yote yatakavyopatikana na matumizi yake hii ilikuwa na unafuu kuliko bajeti iliyotengenezwa na Bunge zima, lakini hadi leo hii(15.02.2013) hakuna jambo lilifanyiwa kazi.

Dharau kwa kundi fulani kuwa hawawezi(Underestimating) hii ilifanywa na wabunge wa chama tawala, WAKATI hii ilikuwa kusaidia Taifa.

Vivyo hivyo kuhusu magari ya kifahari ya watumishi wa Serikali(wabunge wakiwamo), lakini nini kilifanyika?

wakati fulani pia, majina ya wala rushwa, wabadhirifu yalisomwa na ushahidi kuwa wazi, lakini hakuna kilichofanyika, Simply kwa sababu tu ni Upinzani.

Sasa mkuu Rutashubanyuma, unataka alternative ipi unayohitaji?


hippocratessocrates naona hujanielewa labda nifafanue kidogo zaidi:-

1) Viongozi wengi walioko CDM waliwahi kuomba nafasi za uongozi kupitia CCM na kutofanikiwa na hivyo kuwa makapi ya CCM na ni dhahiri wanausongo na CCM kwa kuwanyima tonge.

2) Unafiki wa CDM ni pale wanahubiri kinyume na dhamira za matendo yao....................Inakuwaje madiwani ambao Alibaba & 40 thieves hawajawachagua wawang'oe? People's power iko wapi kama siyo kuwadharau wapigakura na kuwatumia kukidhi mradi wa viongozi?

3) Mara zote anayefoka hutumia hoja ya nguvu badala ya nguvu ya hoja.

4) CDM wanahubiri Raisi apunguziwe madaraka lakini wao wamejirundikia madaraka ndani ya chama na serikalini kupitia nyadhifa za ubunge na uwaziri kivuli. Tofauti yao na CCM iko wapi?

5) Bajeti ya upinzani ilikuwa inashabihiana sana na ya serikali na ilikuwa na mapungufu mengi kitakwimu sasa tungeliokoaje?

Utawala mbadala ni ule ambao unatoa dira tofauti na ya CCM..so, far ukiangalia katiba ya CDM. ilani yao ya uchaguzi na kauli zao zinanithibitishia wao bado ni ccm-"B" kama walivyo CUF..........Yaani hamchekani kwenye hilo.


Nafahamu ukweli unauma lakini chukulieni haya maoni kama changamoto za kufanyia kazi badala ya kutumia muda mwingi kujitetea..............................hakuna aliyemkamilifu and neither is CDM.
 
Mkuu Rutashubanyuma,

Nianze kwa kusema, katika Dunia/Ulimwengu huu wa sasa, si jambo la kushangaza kupata namba BINAFSI ya mtu kama kiongozi au raia wa kawaida.

1. Kutojiamini(Insecurity): Sidhani kuwa na sababu moja yaani viongozi wa Chama fulani walikuwa ni wa chama fulani(mf. viongozi wa CHADEMA kuwa walikuwa CCM) na hivyo ni makapi! Hii SI HOJA bali propaganda za kisiasa.
Endapo mtu alikuwa mfuasi wa Chama husika na akahama haimaanishi 'amekwisha' kisiasa, isipokuwa hapa hutakuwa na maana ya Uhuru wa maoni, maamuzi.



Wakati fulani ni kama mchezo wa kuigiza ukitazama Bunge la Tanzania, si kwamba tu wabunge(baadhi) hawaheshimiani bali hawaheshimu na kujali/kupenda kazi yao.

2. Visasi/Vengeance: Mkuu, katika duniana hii mtawaliwa hutumia nguvu yake tu, hapa namaanisha kura. Sasa pale utendaji unapokiukwa, mambo ya msingi kupuuzwa, wakati hoja za msingi zikijengwa na majibu mepesi kutolewa, Hasira hutawala...Hii ni jambo la kawaida kwa binadamu yeyote. Pengine kutohimili hasira hizi ni kutokana na Upuuzwaji wa mambo ya msingi kuendelea.

3.Utapeli wa Kisiasa/Political Hypocrisy:
Binafsi sifurahishwi/kuvutiwa na uendeshwaji wa Bunge, hasa katika hoja binafsi..Kuwekuwa na kipaumbele cha "uchama"..zaidi ya Utaifa. Nikimaanisha ushabiki ndio umetawala.


4.Ushawishi Finyu/Limited Persuasive power.

Sikubaliani na wewe kusema kuwa, "kila mbunge anajali maslahi ya Taifa".

Pili Utakuwa hauko sahihi kusema Viongozi kujirundikia madaraka katika Serikali na Chama. Nasema hivi kwa kuwa, Si wabunge wote wa CHADEMA ni viongozi katika chama.

Tatu nadhani ni viongozi wa CCM wenye tabia hii, achilia mbali ndani ya chama, unakuta kiongozi wa Serikali(mfano mkuu wa mkoa) anaongoza/anasimamia mikoa miwili lakini bado ana majukumu mengine, na hapa unategemea kweli kazi kufanyika.

Achilia mbali hiyo unaweza kukuta naibu waziri/waziri ana wadhifa mwingine, kumbuka habari ya Mh. Lukuvi, Mh. Mwantumu Mahiza!!
Unataka kusema Tanzania yote hii amekosekana mtu wa kushika nafasi fulani, kuepuka kurundikiwa madaraka?

5. Kuwadharau wapiga kura/Underestimating and abuse voters:
Sidhani kwa kutumia msemo(Slogan) Peoples' power, ni kuwadharau wananchi, labda tuwe maana yake ni mpya, yaani uisemayo wewe.

Ni sawa na kusema "Nguvu Mpya, Ari mpya na Kasi mpya" , je unataka kumaanisha hapa kabla ya msemo huu CCM walikuwa dhaifu, goigoi na wakijivuta?!!

6.Mwamba Ngoma huvutia Kwake/Twisted alternative evaluation.
Mkuu hapa ndipo unapokosea, na kiukweli ni kosa la wengi.Hatusemi Serikali ya CCM, Serikali ya CHADEMA/CUF/n.k..unless
i) Definition ya Serikali ni tofauti.
ii) Ni kutafuta majigambo yasiyo na msingi.
iii)Ni kusababisha KUENDELEA kuwepo na mpasuko wa kivyama na wananchi.

Hii ni kwa sababu, Tunapochagua viongozi tunachagua viongozi wa Taifa, sio wananchama wa CCM au chama chochote kile.

Hata Rais/Balozi/W/Nje(kama mwakilishi wa Taifa) awapo huko nje, husimamia serikali ya TANZANIA.

Kuendelea kutumia misemo kama hii, tusitegemee maendeleo kwa sababu, UPINZANI huikosoa Serikali(kama mija wapo ya Kazi yake) na iwapo tutajijenga kiakili(mindset) kuwa ni Serikali YETU WOTE na si ya kwao, Mapungufu yatapokelewa na kufanyiwa kazi, vinginevyo Wabunge na Wafuasi wa CCM watakapokosolewa kwa utendaji wa "Serikali yao" wataona ni uchokozi(attack) na vurugu kuanza upya.


7. Majemadari wa Lawama bila ufumbuzi.
Mkuu, wakati fulani Upinzani ulitengeneza bajeti na ikawasilishwa Bungeni na hata kusomwa, ikiainisha mapato yote yatakavyopatikana na matumizi yake hii ilikuwa na unafuu kuliko bajeti iliyotengenezwa na Bunge zima, lakini hadi leo hii(15.02.2013) hakuna jambo lilifanyiwa kazi.

Dharau kwa kundi fulani kuwa hawawezi(Underestimating) hii ilifanywa na wabunge wa chama tawala, WAKATI hii ilikuwa kusaidia Taifa.

Vivyo hivyo kuhusu magari ya kifahari ya watumishi wa Serikali(wabunge wakiwamo), lakini nini kilifanyika?

wakati fulani pia, majina ya wala rushwa, wabadhirifu yalisomwa na ushahidi kuwa wazi, lakini hakuna kilichofanyika, Simply kwa sababu tu ni Upinzani.

Sasa mkuu Rutashubanyuma, unataka alternative ipi unayohitaji?

Mpenda Yesu says thanks for this very useful post.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ruta,

Kama kweli wabunge wa CDM walifanya fujo bungeni na kusababisha bunge kusimama, kwa nini hawakushughulikiwa kwa mujibu wa kanuni za bunge zilizopo! Kwa nini Bw. Ndungai alikimbilia kuahirisha bunge? Tumeona mabungea ya nchi kama, Kenya, UK, Japan, to name few yanakwenda mpaka kupigana. Bunge la US huwa hadi matusi yamo...

Walivutana kwa kanuni, kama kweli Spika na naibu wake ni viongozi, kwa mamlaka waliyonayo wanao uwezo wa kutuliza hasira na kurudi kwenye mada. Hakuna excuse kwenye hili, ni wadhaifu ki-uongozi. Amini amini nakwambia, tuyaonayo sasa ni manifestation problems as a results of ubabe, undava, na ukandamizwaji wa demokrasia nchini!! Hii haina maana tena kujidai tuna demokrasia, ilhali tunakandamiza uhuru wa fikra!!

Ruta, kajipange...tunapaswa kufuata misingi tuliyojiwekea wenyewe, I expected Ndungai kujizolea umaarufu kwenye kadhia ya juzi...angetumia rungu lake, kuendeleza mjadala kwa kanuni na uwazi!!! Haya mambio ya kujidanganya kuwa inabidi tuwaache wawe wenyewe tusione wawakilishi wetu wanavyojiuma uma ni upuuzi na uzandiki! Hii ni dalili ya kufilisika kisiasa na kukosa legitimacy! Ina maana wameshindwa kuja mbinu mpya ya kutafuta pesa za uchaguzi hadi watumie marungu yao vibaya kiasi cha kufuta POAC!!!

Mark my words, kuanzia 2016 tutaanza kujadili maskendo mapya ya ukwapuaji wa fedha za uma..... Good day ngioja nilale bana.
 
Rutashubanyuma,

Hapa ndipo kosa la wana-CCM(wafuasi, viongozi) n.k..pale mtu akishauri kuhusu chama hicho mnawaita CHADEMA!

Unasema (wanachadema tubadilike) lakini sijasema popote pale kuwa mimi ni mfuasi wa CHADEMA, na hakuna ubaya iwapo ni mfuasi wa siasa hiyo.

And here you are calling yourselves CONFIDENT..!!Si kila awashauriye ni mbaya, lakini ukweli utabaki pale pale bora hicho chama(CHADEMA) kuliko hiyo CCM, mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hakuna mwenye uwezo wa kubali mkondo wa maji kupanda mlima. Zaidi mwenye jitihada ataishia kusombwa na maji hayo. Sitaki kuamini kuwa ukweli wako ni uongo kwa wengine lakini habari ndiyo hiyo. Haiwezekani CDM ikawa na wajihi na taswira ya CCM. CCM na CDM kwa sasa ni mafuta na maji.

Lengo lako limetimia kaandike hoja nyingine maana mimi nimeanza kuzizoea kuwa ni zile zile.
 
Back
Top Bottom