Pre GE2025 CHADEMA Shinyanga watangaza kumuunga mkono Tundu Lissu kwenye Uchaguzi mkuu wa chama hicho

Pre GE2025 CHADEMA Shinyanga watangaza kumuunga mkono Tundu Lissu kwenye Uchaguzi mkuu wa chama hicho

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Uchaguzi wa ndani ya CHADEMA umeendelea kupamba moto

========================================

Wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kutoka mkoa wa Shinyanga wamesema watamuunga mkono Tundu Lisu ambaye ametangaza kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chama

Msimamo huo umetolewa na Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Kahama Gango Kidero kwa niaba ya Wajumbe hao ambapo wamesema wanatambua na kuthamini mchango wa Mwenyekiti anayemaliza muda wake na kwamba wanatamani apokewe kijiti ili mazuri aliyoyafanya ndani ya Chama yaweze kuendelezwa na mtu mwingine.

Awali akifafanua kuhusu kumuunga mkono Tundu lisu,Mjumbe wa Mkutano Mkuu Jackson Tungu amesema hatua hiyo haiwezi kusababisha mpasuko ndani ya Chama hicho kutokana na uimara wa CHADEMA.

 
Jee Mkoa wa shinyanga una wajumbe wangapi na hao ni wangapi? Haya ndiyo mambo yanakuzwa.

Wale wengine walisema wenyeviti wa mikoa , wenzao wakawakanusha.
 


***
Wakati Freeman Mbowe akiungwa mkono na karibu 55% ya Viongozi wakuu wa Kanda hali ni tofauti kwa Tundu Lissu kwani yeye anaungwa mkono na wajumbe walio wengi wa sifa ya umasikini na ulala hoiambao ndio wapambanaji wa kweli wa Chama hicho wasiopokea hata mia moja kutoka CHADEMA.

Uchaguzi ni namba kwa dalili hizi huenda Tundu Lissu akashinda Uchaguzi huu kwa zaidi ya 88%

Je, nini maoni yako?
 
View attachment 3181909

***
Wakati Freeman Mbowe akiungwa mkono na karibu 55% ya Viongozi wakuu wa Kanda hali ni tofauti kwa Tundu Lissu kwani yeye anaungwa mkono na wajumbe walio wengi wa sifa ya umasikini na ulala hoiambao ndio wapambanaji wa kweli wa Chama hicho wasiopokea hata mia moja kutoka CHADEMA.

Uchaguzi ni namba kwa dalili hizi huenda Tundu Lissu akashinda Uchaguzi huu kwa zaidi ya 88%

Je, nini maoni yako?
vibwengo wanaungana na kibaraka ili kuuanza mwaka2025 mikono mitupu, dah, wana moyo 🐒
 
View attachment 3181909

***
Wakati Freeman Mbowe akiungwa mkono na karibu 55% ya Viongozi wakuu wa Kanda hali ni tofauti kwa Tundu Lissu kwani yeye anaungwa mkono na wajumbe walio wengi wa sifa ya umasikini na ulala hoiambao ndio wapambanaji wa kweli wa Chama hicho wasiopokea hata mia moja kutoka CHADEMA.

Uchaguzi ni namba kwa dalili hizi huenda Tundu Lissu akashinda Uchaguzi huu kwa zaidi ya 88%

Je, nini maoni yako?
Mbona wanakuwa kama wale wa vyama rafiki 19?

Amandla...
 
View attachment 3181909

***
Wakati Freeman Mbowe akiungwa mkono na karibu 55% ya Viongozi wakuu wa Kanda hali ni tofauti kwa Tundu Lissu kwani yeye anaungwa mkono na wajumbe walio wengi wa sifa ya umasikini na ulala hoiambao ndio wapambanaji wa kweli wa Chama hicho wasiopokea hata mia moja kutoka CHADEMA.

Uchaguzi ni namba kwa dalili hizi huenda Tundu Lissu akashinda Uchaguzi huu kwa zaidi ya 88%

Je, nini maoni yako?
..angalia hayo matatizo yako yasijewapata wanao, andika yote yanayokuja kichwani mwako, lkn kumbuka hayawezi kubadili nukta ya matokeo ya uchaguzi.
 
View attachment 3181909

***
Wakati Freeman Mbowe akiungwa mkono na karibu 55% ya Viongozi wakuu wa Kanda hali ni tofauti kwa Tundu Lissu kwani yeye anaungwa mkono na wajumbe walio wengi wa sifa ya umasikini na ulala hoiambao ndio wapambanaji wa kweli wa Chama hicho wasiopokea hata mia moja kutoka CHADEMA.

Uchaguzi ni namba kwa dalili hizi huenda Tundu Lissu akashinda Uchaguzi huu kwa zaidi ya 88%

Je, nini maoni yako?
Nimetoka kuongea na baadhi ya viongozi wa kanda ya Nyasa, bila hata ya kuuliza, wakaanza kusema wao wapo na Lisu.
 
Walioko kimya ni watu hatari kuliko wanaozungumza na kutoa msimamo wao. TAL ni next chairperson wa CDM.
 
Wakuu,

Uchaguzi wa ndani ya CHADEMA umeendelea kupamba moto

========================================

Wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kutoka mkoa wa Shinyanga wamesema watamuunga mkono Tundu Lisu ambaye ametangaza kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chama

Msimamo huo umetolewa na Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Kahama Gango Kidero kwa niaba ya Wajumbe hao ambapo wamesema wanatambua na kuthamini mchango wa Mwenyekiti anayemaliza muda wake na kwamba wanatamani apokewe kijiti ili mazuri aliyoyafanya ndani ya Chama yaweze kuendelezwa na mtu mwingine.

Awali akifafanua kuhusu kumuunga mkono Tundu lisu,Mjumbe wa Mkutano Mkuu Jackson Tungu amesema hatua hiyo haiwezi kusababisha mpasuko ndani ya Chama hicho kutokana na uimara wa CHADEMA.

View attachment 3181433
Kumekucha
 
Wakuu,

Uchaguzi wa ndani ya CHADEMA umeendelea kupamba moto

========================================

Wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kutoka mkoa wa Shinyanga wamesema watamuunga mkono Tundu Lisu ambaye ametangaza kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chama

Msimamo huo umetolewa na Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Kahama Gango Kidero kwa niaba ya Wajumbe hao ambapo wamesema wanatambua na kuthamini mchango wa Mwenyekiti anayemaliza muda wake na kwamba wanatamani apokewe kijiti ili mazuri aliyoyafanya ndani ya Chama yaweze kuendelezwa na mtu mwingine.

Awali akifafanua kuhusu kumuunga mkono Tundu lisu,Mjumbe wa Mkutano Mkuu Jackson Tungu amesema hatua hiyo haiwezi kusababisha mpasuko ndani ya Chama hicho kutokana na uimara wa CHADEMA.

View attachment 3181433
20241218_051429.jpg
 
Back
Top Bottom