Pre GE2025 CHADEMA Shinyanga watangaza kumuunga mkono Tundu Lissu kwenye Uchaguzi mkuu wa chama hicho

Pre GE2025 CHADEMA Shinyanga watangaza kumuunga mkono Tundu Lissu kwenye Uchaguzi mkuu wa chama hicho

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Leo nimeguswa kuwakumbusha wanasingida hasa wajumbe watakaopiga kura ya kumchagua mwenyekiti wa chadema Taifa. Kama tunavyoona mikoa mingine walivyosema
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa singida njoo uoneshe msimamo wenu wa kumuunga mkono Tundu Lisu kwa masilai mapana ya chadema na taifa kwa ujumla. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
Tatizo hofu ya kujitokeza kwamba watashughulikiwa uchaguzi ukiisha. Hii ndio changamoto ya incumbent kugombea
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Leo nimeguswa kuwakumbusha wanasingida hasa wajumbe watakaopiga kura ya kumchagua mwenyekiti wa chadema Taifa. Kama tunavyoona mikoa mingine walivyosema
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa singida njoo uoneshe msimamo wenu wa kumuunga mkono Tundu Lisu kwa masilai mapana ya chadema na taifa kwa ujumla. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Lissu ni mgombea pekee wa kuiokoa chadema kwa sasa, mikoa yote lissu aungwe mkono sio singida, Dodoma, Kilimanjaro, Ruvuma nk.
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Leo nimeguswa kuwakumbusha wanasingida hasa wajumbe watakaopiga kura ya kumchagua mwenyekiti wa chadema Taifa. Kama tunavyoona mikoa mingine walivyosema
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa singida njoo uoneshe msimamo wenu wa kumuunga mkono Tundu Lisu kwa masilai mapana ya chadema na taifa kwa ujumla. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Nina uhakika wengi wanaomuunga mkono Mbowe hadharani, kwenye sanduku la kura watampigia Lissu. 😀
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Leo nimeguswa kuwakumbusha wanasingida hasa wajumbe watakaopiga kura ya kumchagua mwenyekiti wa chadema Taifa. Kama tunavyoona mikoa mingine walivyosema
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa singida njoo uoneshe msimamo wenu wa kumuunga mkono Tundu Lisu kwa masilai mapana ya chadema na taifa kwa ujumla. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.

Mvua kubwa iliyonyesha kijijini hapo imesababisha madhara makubwa kwa wanakijiji na uharibifu wa miundombinu ya barabara na umeme hasa maeneo ya bondeni. Kutokana na tukio hilo, jeshi la polisi linawashikilia watu 9 wakiwemo raia 2 wa kigeni ambao uraia wao haukuweza kutambulika mara moja kwa sababu ya kutokuwa na hati za kusafiria za nchi wanazotoka.
Taarifa zaidi juu ya tukio hilo zitakujia hivi punde.
 
Mvua kubwa iliyonyesha kijijini hapo imesababisha madhara makubwa kwa wanakijiji na uharibifu wa miundombinu ya barabara na umeme hasa maeneo ya bondeni. Kutokana na tukio hilo, jeshi la polisi linawashikilia watu 9 wakiwemo raia 2 wa kigeni ambao uraia wao haukuweza kutambulika mara moja kwa sababu ya kutokuwa na hati za kusafiria za nchi wanazotoka.
Taarifa zaidi juu ya tukio hilo zitakujia hivi punde.
Kijiji gani mkuu
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Leo nimeguswa kuwakumbusha wanasingida hasa wajumbe watakaopiga kura ya kumchagua mwenyekiti wa chadema Taifa. Kama tunavyoona mikoa mingine walivyosema
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa singida njoo uoneshe msimamo wenu wa kumuunga mkono Tundu Lisu kwa masilai mapana ya chadema na taifa kwa ujumla. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 

Attachments

  • 5900516-2dae5c1f3887d759229713b8a563fcc1.mp4
    7.1 MB
Wakuu,

Uchaguzi wa ndani ya CHADEMA umeendelea kupamba moto

========================================

Wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kutoka mkoa wa Shinyanga wamesema watamuunga mkono Tundu Lisu ambaye ametangaza kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chama

Msimamo huo umetolewa na Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Kahama Gango Kidero kwa niaba ya Wajumbe hao ambapo wamesema wanatambua na kuthamini mchango wa Mwenyekiti anayemaliza muda wake na kwamba wanatamani apokewe kijiti ili mazuri aliyoyafanya ndani ya Chama yaweze kuendelezwa na mtu mwingine.

Awali akifafanua kuhusu kumuunga mkono Tundu lisu,Mjumbe wa Mkutano Mkuu Jackson Tungu amesema hatua hiyo haiwezi kusababisha mpasuko ndani ya Chama hicho kutokana na uimara wa CHADEMA.

View attachment 3181433
Bala la Lissu Lina balaaa
 
Nimetoka kuongea na baadhi ya viongozi wa kanda ya Nyasa, bila hata ya kuuliza, wakaanza kusema wao wapo na Lisu.
Haaa haaa we jamaa asione Yericko Nyerere hili ataumia sana
 
Back
Top Bottom