Gabeji
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 1,530
- 1,903
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Leo nimeguswa kuwakumbusha wanasingida hasa wajumbe watakaopiga kura ya kumchagua mwenyekiti wa chadema Taifa. Kama tunavyoona mikoa mingine walivyosema
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa singida njoo uoneshe msimamo wenu wa kumuunga mkono Tundu Lisu kwa masilai mapana ya chadema na taifa kwa ujumla. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa singida njoo uoneshe msimamo wenu wa kumuunga mkono Tundu Lisu kwa masilai mapana ya chadema na taifa kwa ujumla. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.