Lissu ni mgombea pekee wa kuiokoa chadema kwa sasa, mikoa yote lissu aungwe mkono sio singida, Dodoma, Kilimanjaro, Ruvuma nk.Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Leo nimeguswa kuwakumbusha wanasingida hasa wajumbe watakaopiga kura ya kumchagua mwenyekiti wa chadema Taifa. Kama tunavyoona mikoa mingine walivyosema
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa singida njoo uoneshe msimamo wenu wa kumuunga mkono Tundu Lisu kwa masilai mapana ya chadema na taifa kwa ujumla. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Nina uhakika wengi wanaomuunga mkono Mbowe hadharani, kwenye sanduku la kura watampigia Lissu. 😀Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Leo nimeguswa kuwakumbusha wanasingida hasa wajumbe watakaopiga kura ya kumchagua mwenyekiti wa chadema Taifa. Kama tunavyoona mikoa mingine walivyosema
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa singida njoo uoneshe msimamo wenu wa kumuunga mkono Tundu Lisu kwa masilai mapana ya chadema na taifa kwa ujumla. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Leo nimeguswa kuwakumbusha wanasingida hasa wajumbe watakaopiga kura ya kumchagua mwenyekiti wa chadema Taifa. Kama tunavyoona mikoa mingine walivyosema
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa singida njoo uoneshe msimamo wenu wa kumuunga mkono Tundu Lisu kwa masilai mapana ya chadema na taifa kwa ujumla. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kabisa mkuu, Mbowe muda wake umeishaLissu ni mgombea pekee wa kuiokoa chadema kwa sasa, mikoa yote lissu aungwe mkono sio singida, Dodoma, Kilimanjaro, Ruvuma nk.
Kijiji gani mkuuMvua kubwa iliyonyesha kijijini hapo imesababisha madhara makubwa kwa wanakijiji na uharibifu wa miundombinu ya barabara na umeme hasa maeneo ya bondeni. Kutokana na tukio hilo, jeshi la polisi linawashikilia watu 9 wakiwemo raia 2 wa kigeni ambao uraia wao haukuweza kutambulika mara moja kwa sababu ya kutokuwa na hati za kusafiria za nchi wanazotoka.
Taarifa zaidi juu ya tukio hilo zitakujia hivi punde.
Kabisa mkuuNina uhakika wengi wanaomuunga mkono Mbowe hadharani, kwenye sanduku la kura watampigia Lissu. 😀
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema. Leo nimeguswa kuwakumbusha wanasingida hasa wajumbe watakaopiga kura ya kumchagua mwenyekiti wa chadema Taifa. Kama tunavyoona mikoa mingine walivyosema
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa singida njoo uoneshe msimamo wenu wa kumuunga mkono Tundu Lisu kwa masilai mapana ya chadema na taifa kwa ujumla. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Bala la Lissu Lina balaaaWakuu,
Uchaguzi wa ndani ya CHADEMA umeendelea kupamba moto
========================================
Wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kutoka mkoa wa Shinyanga wamesema watamuunga mkono Tundu Lisu ambaye ametangaza kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chama
Msimamo huo umetolewa na Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Kahama Gango Kidero kwa niaba ya Wajumbe hao ambapo wamesema wanatambua na kuthamini mchango wa Mwenyekiti anayemaliza muda wake na kwamba wanatamani apokewe kijiti ili mazuri aliyoyafanya ndani ya Chama yaweze kuendelezwa na mtu mwingine.
Awali akifafanua kuhusu kumuunga mkono Tundu lisu,Mjumbe wa Mkutano Mkuu Jackson Tungu amesema hatua hiyo haiwezi kusababisha mpasuko ndani ya Chama hicho kutokana na uimara wa CHADEMA.
View attachment 3181433
Haaa haaa we jamaa asione Yericko Nyerere hili ataumia sanaNimetoka kuongea na baadhi ya viongozi wa kanda ya Nyasa, bila hata ya kuuliza, wakaanza kusema wao wapo na Lisu.
mpaka sasa ni mikoa 18 imetangaza kumuunga mkono lissuYaani Lissu akishindwa huu uchaguzi naacha siasa kabisa naenda kufuga ng'ombe zangu