Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Singida wamesema wamekubaliana kumuunga mkono Tundu Lissu katika kuwania kiti cha Uenyekiti wa CHADEMA Taifa.
Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Singida, Omari Toto amesema wameamua kumuunga mkono Lissu kutokana na Sera zake ambazo zinalenga kukijenga upya Chama.
Amesema hii ni kama timu ya mpira ambapo kocha mzuri akiona mchezaji amechoka anaamua kufanya mabadiliko.
Toto amesema kinachoonekana wao kama wanachama wanahitaji kufanya mabadiliko kwa manufaa mapana ya Chama.
Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Singida, Omari Toto amesema wameamua kumuunga mkono Lissu kutokana na Sera zake ambazo zinalenga kukijenga upya Chama.
Amesema hii ni kama timu ya mpira ambapo kocha mzuri akiona mchezaji amechoka anaamua kufanya mabadiliko.
Toto amesema kinachoonekana wao kama wanachama wanahitaji kufanya mabadiliko kwa manufaa mapana ya Chama.