Chadema students organization (chaso) - udsm

CHASO-UDSM

New Member
Joined
Nov 5, 2014
Posts
1
Reaction score
0
CHASO-UDSM inawatangazia wanachama wote wa CHADEMA wa chuo kikuu cha Dar es salaam kuwa tarehe 8/11/2014. Siku ya jumamosi utafanyika mkutano mkuu wa tawi katika ukumbi wa Cosmic Villa Pub, karibu na kiwanda cha Azania Njia ya kuelekea Mabibo hostel.
Sambamba na mkutano mkuu pia CHASO-UDSM itatoa tamko rasmi jinsi itakavyoshiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa. pamoja na kuunga mkono makubaliano ya UKAWA yaliyosainiwa pale viwanja vya jangwani tarehe 30/10/2014
 
Hii ya kuhusu mikopo mnayotoa ipoje? Maana wengine taarifa hzo hatujapa vyuon kwetu. AU Kuna utaratbu mwngne?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…