Uchaguzi 2020 CHADEMA: Taarifa tulizo nazo zinaonyesha Kampuni yenye makada wa CCM ndiyo itachapisha karatasi za kupigia kura...

Uchaguzi 2020 CHADEMA: Taarifa tulizo nazo zinaonyesha Kampuni yenye makada wa CCM ndiyo itachapisha karatasi za kupigia kura...

Kuna unafiki gani kamanda mwenzangu?
Ww ni wale wale ccm wajumbe ndio tu

Iyo sio tenda ya mahera ni tenda inayotumia Mali za umma na mchakato wowote unaohusu Mali za umma kanuni na Sheria lazma zifuate.

Vinginevyo ni upigaji Kama upigaji mwingine wa 1.5T
 
To verify number of copies printed from different sources sioni kama ni dhambi wala chadema na watanzania kujua nani kamprint na kaziprint kwa bei gani sioni kama ni dhambi pia,nadhani kama wewe hukuona umuhimu wa kuuliza na kujua wala hauna haja ya kuwazodoa wenzio,hii ni nchi yetu sote na pesa zinazotumika niza watanzania
 
To verify number of copies printed from different sources sioni kama ni dhambi wala chadema na watanzania kujua nani kamprint na kaziprint kwa bei gani sioni kama ni dhambi pia,nadhani kama wewe hukuona umuhimu wa kuuliza na kujua wala hauna haja ya kuwazodoa wenzio,hii ni nchi yetu sote na pesa zinazotumika niza watanzania
Kwani nini uhoji zimebaki wiki mbili? Kama sio dalili za kushindwa?
 
Hata Kafulila mlimfukuza kwa kusema ukweli,unahoji karatasi alafu inasaidia nini? Nec hawakutoa hiyo tenda? Na daftali la wapiga kura lipo online,una hoji nini?
"Hata Kafulila mlimfukuza......”
Sio tulimfukuza......
Then na wewe ni kamanda???
Kweli mafuta na maji hujitenga.
 
Nimeshangazwa sana na kauli ya katibu mkuu wa chama changu, kuhoji na kutaka kujua kampuni ambayo itachapisha karatasi za kupigia kura.

Hivi mpaka sasa ambapo zimebaki wiki mbili uchaguzi kufanyika Nec na Zec hawajazichapa hizi karatasi?

Hivi zikichapwa na Jamana printers kutakuwa na tick kwenye picha ya mgombea wa CCM?

Na kama chama chetu kikifahamu kuwa zinachapwa au zilishachapwa South Africa au hapa Tanzania itasaidia nini ili tupate ushindi? Na NEC hawakutangaza kampuni gani itafanya uchapaji?
Wanaanda majibu wakishindwa
giphy.gif
 
Nimeshangazwa sana na kauli ya katibu mkuu wa chama changu, kuhoji na kutaka kujua kampuni ambayo itachapisha karatasi za kupigia kura.

Hivi mpaka sasa ambapo zimebaki wiki mbili uchaguzi kufanyika Nec na Zec hawajazichapa hizi karatasi?

Hivi zikichapwa na Jamana printers kutakuwa na tick kwenye picha ya mgombea wa CCM?

Na kama chama chetu kikifahamu kuwa zinachapwa au zilishachapwa South Africa au hapa Tanzania itasaidia nini ili tupate ushindi? Na NEC hawakutangaza kampuni gani itafanya uchapaji?
Huna hoja wewe ni mamluki tu wa Lumumba kwa mwamvuli wa CDM!

.......Trash [emoji706][emoji2781]
 
Chama cha wasiwasi, kinaongozwa na wenye wasiwasi, kila siku wanaamka na wasiwasi na kuongea kwao ni wasiwasi na kila wanachokifanya wana wasiwasi nacho, sisi wananchi hatukutaki watatuletee wasiwasi.
Uwe na akili sometime unaboa kinyama hata kama upo kwenye system
 
Back
Top Bottom