Uchaguzi 2020 CHADEMA: Taarifa tulizo nazo zinaonyesha Kampuni yenye makada wa CCM ndiyo itachapisha karatasi za kupigia kura...

Kuna unafiki gani kamanda mwenzangu?
Ww ni wale wale ccm wajumbe ndio tu

Iyo sio tenda ya mahera ni tenda inayotumia Mali za umma na mchakato wowote unaohusu Mali za umma kanuni na Sheria lazma zifuate.

Vinginevyo ni upigaji Kama upigaji mwingine wa 1.5T
 
To verify number of copies printed from different sources sioni kama ni dhambi wala chadema na watanzania kujua nani kamprint na kaziprint kwa bei gani sioni kama ni dhambi pia,nadhani kama wewe hukuona umuhimu wa kuuliza na kujua wala hauna haja ya kuwazodoa wenzio,hii ni nchi yetu sote na pesa zinazotumika niza watanzania
 
Kwani nini uhoji zimebaki wiki mbili? Kama sio dalili za kushindwa?
 
Hata Kafulila mlimfukuza kwa kusema ukweli,unahoji karatasi alafu inasaidia nini? Nec hawakutoa hiyo tenda? Na daftali la wapiga kura lipo online,una hoji nini?
"Hata Kafulila mlimfukuza......”
Sio tulimfukuza......
Then na wewe ni kamanda???
Kweli mafuta na maji hujitenga.
 
Wanaanda majibu wakishindwa
 
Huna hoja wewe ni mamluki tu wa Lumumba kwa mwamvuli wa CDM!

.......Trash [emoji706][emoji2781]
 
Chama cha wasiwasi, kinaongozwa na wenye wasiwasi, kila siku wanaamka na wasiwasi na kuongea kwao ni wasiwasi na kila wanachokifanya wana wasiwasi nacho, sisi wananchi hatukutaki watatuletee wasiwasi.
Uwe na akili sometime unaboa kinyama hata kama upo kwenye system
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…