CHADEMA tafuteni hoja, bwawa kujaa maji ni jambo la kawaida duniani kote

CHADEMA tafuteni hoja, bwawa kujaa maji ni jambo la kawaida duniani kote

..kama mafuriko yamekuwa yakitokea tangu miaka ya 70, 80, 90, kwanini mpaka leo hamjatoka na mbinu ya kukabiliana au kudhibiti mafuriko?
Aliyeonja nyama ya mtu haachi. CCM ni wanyonya damu, wanaona fursa wananchi wanapopatwa na maafa. Fikiria 1970 hadi 2024 ni miaka 54!

Mtoto anazaliwa CCM IPO, anaanza shule CCM IPO, anamaliza shule CCP ipo, anaajiriwa CCM IPO. anaoa/anaolewa CCP IPO, anazeeka CCM IPO...duh!
 
View attachment 2957063


Kama ilivyo kawaida ya Chadema wazee wa matukio kwa sasa ajenda yao ni bwawa la Nyerere.

Nachotaka kuwaambia chadema kujaa kwa bwawa sio udhaifu wa utaalam ila ni jambo linalotokea kwenye mabwawa yote nchini na duniani.

Watanzania wanataka kujua pesa zao za join the chain na michango ya masikini wa katesh imepotelea wapi?
Kwa hiyo Tanzania mtu yeyote akihoji kitu anakuwa Chadema na nyie sisiemu mnampa kadi ya uanachama siku hiyo hiyo?
 
View attachment 2957063


Kama ilivyo kawaida ya Chadema wazee wa matukio kwa sasa ajenda yao ni bwawa la Nyerere.

Nachotaka kuwaambia chadema kujaa kwa bwawa sio udhaifu wa utaalam ila ni jambo linalotokea kwenye mabwawa yote nchini na duniani.

Watanzania wanataka kujua pesa zao za join the chain na michango ya masikini wa katesh imepotelea wapi?

1. Wacha uchawa ndugu kwa vile tu eti si mhanga.

2. Tangu lini haya yakatokea huko kabla ya bwawa hili?

3. Serikali iwajibike kuwa fidia wahanga ipasavyo na wahusika kuwajibishwa!
 
Inasikitisha karne ya leo bado kuna wajinga.Pole sana.
 
Yani hawa CHADEMA wanashangaa hata polisi wetu kupiga watu, Yani bwawa kuvuja maji na kuathiri maisha ya watu Tanzania ni jamabo la kushangaza?

Wenyewe waliopatwa na majanga, wanamshukuru Mamam Samia kuwaletea Janga hilo.

Wamepewa Magodoro mapya juzi, na vyakula lakini wanafukuzwa shuleni waliko jisitiri, halafu CHADEMA wanaona ni big deal sana, au walitaka liwakumbe wao nini?
Mkuu soma mwenyewe ulichoandika
 
..kama mafuriko yamekuwa yakitokea tangu miaka ya 70, 80, 90, kwanini mpaka leo hamjatoka na mbinu ya kukabiliana au kudhibiti mafuriko? yaani CCM mko tu madarakani lakini hamjifunzi chochote, wala hamjiongezi? yaani mnakiri kwamba nyinyi ni wajinga, na wapumbavu?
Yaani mkakae eneo la bonde wenyewe alafu mje kutusumbua tz kubwa kuna maeneo hayajawahi kanyagwa mkishindwa mhamie msumbiji

Siku nyingine usidhani kila moja ni ccm penye ukweli pasemwe
 
Yaani mkakae eneo la bonde wenyewe alafu mje kutusumbua tz kubwa kuna maeneo hayajawahi kanyagwa mkishindwa mhamie msumbiji

Siku nyingine usidhani kila moja ni ccm penye ukweli pasemwe

.Je, ni lini serikali ilielekeza wananchi wa Rufiji wahame na wao wakakaidi?

..serikali si ilikuwa inakusanya kodi na kuwapelekea huduma wananchi ktk maeneo ambayo sasa yamekumbwa na mafuriko?

..Ccm itakuwa inakosea kutokutoa msaada ktk janga la mafuriko ya Rufiji.
 
.Je, ni lini serikali ilielekeza wananchi wa Rufiji wahame na wao wakakaidi?

..serikali si ilikuwa inakusanya kodi na kuwapelekea huduma wananchi ktk maeneo ambayo sasa yamekumbwa na mafuriko?

..Ccm itakuwa inakosea kutokutoa msaada ktk janga la mafuriko ya Rufiji.
Mtajuana wenyewe na serikali yenu yaani janga unaliona hili hapa unasubiri mpaka uambiwe ndo utope?Kisa nini fidia? Does it worth more than your life
 
View attachment 2957063


Kama ilivyo kawaida ya Chadema wazee wa matukio kwa sasa ajenda yao ni bwawa la Nyerere.

Nachotaka kuwaambia chadema kujaa kwa bwawa sio udhaifu wa utaalam ila ni jambo linalotokea kwenye mabwawa yote nchini na duniani.

Watanzania wanataka kujua pesa zao za join the chain na michango ya masikini wa katesh imepotelea wapi?
Rubbish!
 
Aliyeonja nyama ya mtu haachi. CCM ni wanyonya damu, wanaona fursa wananchi wanapopatwa na maafa. Fikiria 1970 hadi 2024 ni miaka 54!

Mtoto anazaliwa CCM IPO, anaanza shule CCM IPO, anamaliza shule CCP ipo, anaajiriwa CCM IPO. anaoa/anaolewa CCP IPO, anazeeka CCM IPO...duh!
Kama mwenyekiti wa Chadema.
 
View attachment 2957063


Kama ilivyo kawaida ya Chadema wazee wa matukio kwa sasa ajenda yao ni bwawa la Nyerere.

Nachotaka kuwaambia chadema kujaa kwa bwawa sio udhaifu wa utaalam ila ni jambo linalotokea kwenye mabwawa yote nchini na duniani.

Watanzania wanataka kujua pesa zao za join the chain na michango ya masikini wa katesh imepotelea wapi?
Wewe umejiona Una hoja hapa? Watu wanapoteza maisha na Mali unaongelea join the chain fedha ambayo ikishatolewa maelezo na waliotoa waliridhika na matumizi? Unakwenda kuchimba Bwawa bila kupembua athari za mazingira halafu unataka watu wakae kimya? Mwaka 2022 bonde la Rufiji lilipata mvua nyingi lakini hatukuona mafuriko, why Sasa? Kutetea ujinga ni dalili kubwa za Uzuzu.
 
Wewe umejiona Una hoja hapa? Watu wanapoteza maisha na Mali unaongelea join the chain fedha ambayo ikishatolewa maelezo na waliotoa waliridhika na matumizi? Unakwenda kuchimba Bwawa bila kupembua athari za mazingira halafu unataka watu wakae kimya? Mwaka 2022 bonde la Rufiji lilipata mvua nyingi lakini hatukuona mafuriko, why Sasa? Kutetea ujinga ni dalili kubwa za Uzuzu.
Nipe maelezo yaliyotolewa ya pesa za join the chain na michango ya katesh
 
Back
Top Bottom