Uchaguzi 2020 CHADEMA, tafuteni television station itakayorusha kampeni zenu mubashara

Uchaguzi 2020 CHADEMA, tafuteni television station itakayorusha kampeni zenu mubashara

Ahahahaha! Unataka wapitishe tena bakuli la mchango kwa ajili ya TV
 
Jamani tunaomba lipite bakuli la CDM humu, tutoe buku buku zetu, msione aibu hata kama mlifuja ruzuku na michango ya wabunge wenu.
 
2015 Chadema hawakushinda hayo majiji sahabu ya social media sio kweli

Sababu kuu zilikuwa mbili
1.Hayo majiji ndio yenye walutheri wengi .Lowasa mgombea Uraisi Ni Mlutheri alisema Ni zamu ya walutheri ndio ukaona majiji yenye walutheri wengi ya Dar es salaam,Iringa mjini,Mbeya,Arusha,Moshi na manyara yakienda Chadema

2.Ukabila majiji ambayo Chadema ilishika Kuna wachaga wengi na wamasai wa kabila ya Lowasa .Ukabila ukitumiwa Sana
Ukienda kote Iringa mini ako wengi,dar es salaam wako wengi,Arusha wako wengi,Moshi wako wengi na Manyara
Hizi factor mbili ndizo zilikuwa kigezo kikubwa Cha 2015

Kwa Sasa hizo factor hazina nguvu Tena Baada ya Chadema kuweka mgombea Lisu mkatoliki na mnyaturu asiyetoka kabila kubwa la kaskazini ambako Chadema ndio Ina nguvu hivyo kutokubalika kwa wachaga na Masai

Slaa alikubalika na ukatoliki wake sababu mkewe Ni Mlutheri
Chadema interested win ulutheri Kama ingemsimamisha Nyalandu kugombea sababu Ni Mlutheri

Lisu hakubaliki kwenye ukatoliki pamoja na kuwa Ni mkatoliki hewa kwa sababu alibadli jina la ubatizo.Kwa kawaida mkatoliki akibatizwa hupewa jina la mtakatifu mfano Raisi magufuli alipobatizwa alipewa jina la mtakatifu John ndio maana anaitwa John

Lisu alibadili na kulikana jina la mtakatifu alilobatizwa nalo na kujiita Tundu.Kudharau jina la mtakatifu na kujipa jina la kujitungia Ni dharau kubwa kwa mtakatifu husika kuwa unaona jina lake Ni takataka

Ndio maana viongozi kanisa Katoliki wako mbali naye sababu ya hizo dharau kwa mtakatifu anayeheshimiwa na kanisa
Hivyo hakubaliki kwa wakatoliki na kwa walutheri hakubaliki na kwa wachaga na Masai hakubaliki ndio maana hata mikutano yake inadoda
Umeandikaa maelezo mareeefu alafu pumba
 
Kwani tundu lisu anakuaja na sera ya kutengeneza submarine hapa?
Au tuataanza kutengeneza ndege?
Hayo mengine yapo na yanaboreshwa tu,
Yeye alisema magufuri sio wa kwanza kujenga mabaranara na mabwawa, sasa yeye anakuja na kipi ambacho hakijawahi kufanywa hapa tanznia?
Lissu anakuja na mpango wa kuwalipa wafanyakazi ongezeko la mishahara ya miaka 5 ambayo Mzee Pombe ameshindwa kufanya.
Lissu anarudisha utaratibu wa deni la mkopo wa chuo kulipwa kwa 3% kama mkataba unavyotaka na sio kama Mzee Pombe alivyobadilisha na kuwa 15% na kuwaumiza watoto wa masikini.
Lissu anakurudisha fao la kujitoa ambalo serikali ya Mzee Pombe imewanyanyasa mno wale waliachishwa kazi kabla ya miaka 60
N.K
 
kuweza ku-survive hadi Leo peke yake ni ishara ya ushindi mkubwa sana. Wanafanya kila wanaloweza kukimaliza chama, but kila wakijaribu Mungu anazidi kuwainua.

Lakini we must all agree there was mismanagement of part funds/ mis allocation of party funds/ wrong priorities of party funds/ misuse of party funds.

For some of us who have been card-carrying members of Chadema for over 17 years, we believe PRUDENCE has been lacking in many party management functions.

We are now in the midst of the requiem mass of the party lately, though we saw it coming. We shall remain with the shell of the party not in a shape and followers we have it today by 29th October 2020.

The entire party leadership must retire just after elections November, 2020 as it is a norm in other democracies world over for new leadership to revamp the party.
 
Lakini we must all agree there was mismanagement of part funds/ mis allocation of party funds/ wrong priorities of party funds/ misuse of party funds.

For some of us who have been card-carrying members of Chadema for over 17 years, we believe PRUDENCE has been lacking in many party management functions.

We are now in the midst of the requiem mass of the party lately, though we saw it coming. We shall remain with the shell of the party not in a shape and followers we have it today by 29th October 2020.

The entire party leadership must retire just after elections November, 2020 as it is a norm in other democracies world over for new leadership to revamp the party.
That's how you see things working from your end! Can't argue but we all know what Chadema has been going through! All state organs were working day and night to weaken the party, I don't care if at all there were minor ups and downs, what concerns me it is the wellbeing of Chadema! We shall Overcome
 
That's how you see things working from your end! Can't argue but we all know what Chadema has been going through! All state organs were working day and night to weaken the party, I don't care if at all there were minor ups and downs, what concerns me it is the wellbeing of Chadema! We shall Overcome

I would discuss with you seriously obout the survivability of Chadema later today, but i shall be back to Shingatini from Msangeni in 4 hours. Shall discuss with you about the matter and relevantly.
 
Wanaogopa au wamewapiga bao? Wameanza kutoa Ilani yao na sasa kila hoja yenu wana mamlaka ya kusema: Tumetekeleza na tutaendeleza utekelezaji mkitupatia
Maisha ya watz yameendelea kuwa mabaya zaidi.... Sasa mmetekeleza wapi? Chato?
 
Back
Top Bottom