Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Chadema kwa sasa haina taswira nzuri hasa katika ngazi ya secretariat yao, inashangaza kuona jambo muhimu kama amsha amsha ya Ngorongoro aonekane Lissu peke yake.
Tunatarajia kamati za juu za chadema kikosi kikamilike kwenye ziara ya maeneo nyeti ya jicho la Dunia hapa Tanzania. Jopo la wanasiasa wa chadema wajipange kwa nguvu zote kupambana na ukombozi wa wamasai wa Ngorongoro na Loliondo.
Nawasilisha tafakuri kwa chadema
Shukrani 🙏🙏🙏🙏🙏
Wadiz
Tunatarajia kamati za juu za chadema kikosi kikamilike kwenye ziara ya maeneo nyeti ya jicho la Dunia hapa Tanzania. Jopo la wanasiasa wa chadema wajipange kwa nguvu zote kupambana na ukombozi wa wamasai wa Ngorongoro na Loliondo.
Nawasilisha tafakuri kwa chadema
Shukrani 🙏🙏🙏🙏🙏
Wadiz