CHADEMA: Tanzania itakombolewa na wenye Moyo

CHADEMA: Tanzania itakombolewa na wenye Moyo

Hatupaswi kuogopa,kunyong'onyea Wala kuonyesha utumwa katika nchi.safari nahisi soon inakwenda kutia nanga.umoja wetu ndiyo ukombozi wa vizazi 1000 vijavyo.Hatuwezi kulala wakati watoto na ndugu zetu hawajui hatima ya kesho Yao.
 
Mkuu umeandika kwa kiasi chake, ukijaribu kuangalia vizuri namna mfumo wa kiuongozi/kiutawala wa nchi hii utagundua yafuatayo;
1. Hii nchi ina mfumo wa hovyo na wa kimakusudi wa kuwalinda watawala na kukandamiza wananchi.
2. Huu mfumo siyo wa jana wala juzi. Ni wa miaka zaidi ya 40 iliyopita, ni kama mti uliopandwa mwaka 1970 na sasa ndio umekomaa na kuzaa.
3. Waanzilishi wa mfumo huu wa hovyo ndio wanaoitwa mashujaa leo hii, na majina kedekede na taswira mpaka kwenye fedha.
4. Kwa mfumo huu ni ngumu kujiita watu huru.
5. Mfumo ulisukwa kwa lengo mahsusi kunufaisha familia/ kundi la watu wachache.
6. Utamu wa matunda ya mfumo huu wa kale ukiyaonja lazima unogewe na kuupalilia mti huo milele.
7. Uchungu wa matunda ya mfumo huu wanaujua wale tuu walio/ watakaojaribu kuyashika na kupeleka mdomoni, haijalishi ni kiongozi wa dini, mwanasiasa, mtawala au raia wa kawaida.
8. Kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo mti unazidi kumea na kutoa matunda kwa wingi na harufu yake inafika mbali zaidi.
9. Asilimia kubwa ya waathirika wa mfumo huu wameamua/ tumeamua kukabidhi hii VITA ipiganwe kwa niaba yetu.
10. Kwa mpaka sasa bado haijaonekana hata chembe ya dalili ya kutoka hapa tulipo, kazi kubwa bado haijaanza kufanyika.

Ninaunga mkono hoja:

10. Kwa mpaka sasa bado haijaonekana hata chembe ya dalili ya kutoka hapa tulipo, kazi kubwa bado haijaanza kufanyika.

Cc: antimatter, mwanawao, Kalunya
 
..kongamano la katiba mpya na ziara ya viongozi wa Chadema Chato.

 
..kongamano la katiba mpya na ziara ya viongozi wa Chadema Chato.


Jitihada hizi hazipaswi kupoa bila kujali nani anasema nini. Harakati zisizokoma kama hizi zitatukomboa.
 
..Mnyika akifanya kazi ya ujenzi wa chama mikoani ktk ngazi ya msingi.

 
..BAWACHA Kilombero wakihamasisha.

..Kuna watu wanafanya kazi za chama.

..Tunapaswa kuwatia moyo.



Cc Erythrocyte
 
Back
Top Bottom