CHADEMA Toeni Japo Asante Ya Mdomo Kwa Mama

CHADEMA Toeni Japo Asante Ya Mdomo Kwa Mama

kinje ketile

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
5,089
Reaction score
9,664
Yaani Kuweni na Moyo Uliojaa Fadhila..

Zito alijaribu Kumuomba Mama Amsamehe Mbowe Akagonga jiwe! Nanyi mkamzodoa 'eti' Nani Kakutuma?

Hawa Viongozi wa Dini Wameamua kujitoa Ufahamu Kumuombea Kamanda.Mama Kajibu maombi...Badala ya Kushukuru nyie 'Wazee Wa Pinga pinga' mmeanza Kuchonga.

Alichofanya Zito ni Kile kile mnakipokea na Kushangilia kama Majuha(Nyumbu).

Embu kuweni Wastaarabu Kwa Kushukuru kwa hilo...huwezi Jua Mama anaweza Kuwadondoshea Mjengo wa Maana Pale Ufipa makao Makuu yenu...Na nyie Muepuke Jina La Saccos isiyokuwa na Makao Makuu.
 
Tatizo la CHADEMA ukiomba msamaha unaonekana msaliti, na mwisho wa siku hata zile data au hela wanazopewa vijana na chama hicho ili waje waandike upupu hapa jukwaani utanyimwa.
 
Angeacha asalimiane na sisi Kwanza ndio amuite. Tutaendelea kumlaumu kasabisha yeye sababu ya mifumo mibovu
 
Ahsante ya nini?

Mtu aliyeonewa amwombe ahsante muonevu wake?

Sijui ni akili za wapi tu hizi!!!
Akili za kiccm.
Naona hata Mbowe amewahi kwenda Ikulu angekula kimya kwa muda.
 
Mlipeni fidia watu waliosingiziwa makosa na kuteswa bila haki ombeni msamaha kwa Raia wana Democrasia wote duniani.. alafu mtoeni Adamoo... laana haitowaacha msipofanya hivyo... wajalana
 
Yaani Kuweni na Moyo Uliojaa Fadhila...!
Zito alijaribu Kumuomba Mama Amsamehe Mbowe Akagonga jiwe! Nanyi mkamzodoa 'eti' Nani Kakutuma?
Hawa Viongozi wa Dini Wameamua kujitoa Ufahamu Kumuombea Kamanda.Mama Kajibu maombi....
Unawashwa na rinda weye.
Wapelekee walifumue
 
Serikali imeona imeshindwa tena kwa aibu kubwa sana, wameona wameshavuliwa nguo hawana budi kuchutama
 
Yaani Kuweni na Moyo Uliojaa Fadhila...!
Zito alijaribu Kumuomba Mama Amsamehe Mbowe Akagonga jiwe! Nanyi mkamzodoa 'eti' Nani Kakutuma?
Hawa Viongozi wa Dini Wameamua kujitoa Ufahamu Kumuombea Kamanda.Mama Kajibu maombi...Badala ya Kushukuru nyie 'Wazee Wa Pinga pinga' mmeanza Kuchonga...!
Alichofanya Zito ni Kile kile mnakipokea na Kushangilia kama Majuha(Nyumbu) .

Embu Kuweni Wastaarabu Kwa Kushukuru kwa hilo...huwezi Jua Mama anaweza Kuwadondoshea Mjengo wa Maana Pale Ufipa makao Makuu yenu...Na nyie Muepuke Jina La Saccos isiyokuwa na Makao Makuu.!
Mafia yako mpuusi mkubwa wee
 
Yaani Kuweni na Moyo Uliojaa Fadhila...!
Zito alijaribu Kumuomba Mama Amsamehe Mbowe Akagonga jiwe! Nanyi mkamzodoa 'eti' Nani Kakutuma?
Hawa Viongozi wa Dini Wameamua kujitoa Ufahamu Kumuombea Kamanda.Mama Kajibu maombi...Badala ya Kushukuru nyie 'Wazee Wa Pinga pinga' mmeanza Kuchonga...!
Alichofanya Zito ni Kile kile mnakipokea na Kushangilia kama Majuha(Nyumbu) .

Embu Kuweni Wastaarabu Kwa Kushukuru kwa hilo...huwezi Jua Mama anaweza Kuwadondoshea Mjengo wa Maana Pale Ufipa makao Makuu yenu...Na nyie Muepuke Jina La Saccos isiyokuwa na ugolo
Ugolo
 
Yaani Kuweni na Moyo Uliojaa Fadhila...!
Zito alijaribu Kumuomba Mama Amsamehe Mbowe Akagonga jiwe! Nanyi mkamzodoa 'eti' Nani Kakutuma?
Hawa Viongozi wa Dini Wameamua kujitoa Ufahamu Kumuombea Kamanda.Mama Kajibu maombi...Badala ya Kushukuru nyie 'Wazee Wa Pinga pinga' mmeanza Kuchonga...!
Alichofanya Zito ni Kile kile mnakipokea na Kushangilia kama Majuha(Nyumbu) .

Embu Kuweni Wastaarabu Kwa Kushukuru kwa hilo...huwezi Jua Mama anaweza Kuwadondoshea Mjengo wa Maana Pale Ufipa makao Makuu yenu...Na nyie Muepuke Jina La Saccos isiyokuwa na Makao Makuu.!
Naona aibu mimi kuwa na mtanzania mwenzangu ambaye ana mawazo kama yako.
 
Wanasiasa Sio Watu wa Kuwaamini...! Hivi huyu Mbowe anatuonaje Sisi WaTz, Yaani kuachiwa tu Kashatinga Ikulu Kunywa Kahawa na Mama.....!
Kwisha habari Yake...Hakuna cha KATIBA wala BATIKA hapo..!
 
Back
Top Bottom