Uchaguzi 2020 CHADEMA, tuambieni ukweli juu ya mgombea wenu bwana Tundu Lissu

Unaongea ndege wakati hata bibibyako hawezi kuzipata. Ushamba ni mzigo

Rais gani Tanzania hakuwahi kujenga dams za umeme?

Rais yupi hakujenga madaraja?
Rais yupi hakujenga barabara?
Kwa hiyo jomba unacholalamika Ni nini hapa...yoote ni CCM.na Wala si chama kingine chochote...upo..CCM hii hi imetufikisha uchumi wa kati
 
Kwa hiyo jomba unacholalamika Ni nini hapa...yoote ni CCM.na Wala si chama kingine chochote...upo..CCM hii hi imetufikisha uchumi wa kati
Kati ya mapaja siyo
 
Rais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania

Kuna laana zaidi ya kusaliti Nchi km yule wa Chadema ?


Tunduma msipomchagua Silinde sitawaletea MAJI,

Je, hiyo ndiyo DEMOKRASIA?
 
Ha ha haa...naona umeongea kimagazijuto na tik tak juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…