Unachoshindwa kuelewa hapa ni kwamba TANU ilitoa ahadi ya kuwakomboa watanganyika kisiasa na kiuchumi, ilifanikiwa kisiasa lakini imeshindwa kuwakomboa kiuchumi.
Watanzania wanahitaji the second independence kwani the first one chini ya TANU haikukamilika. Ni bahati mbaya tu CCM ya sasa inahusishwa na TANU lakini ukweli ni kwamba hizi ni taasisi mbili tofauti kabisa, kwa mfano, TANU haikumkomboa mzanzibari. Mtu anaetatizwa na Chadema kufananishwa na TANU basi sio muelewa wa matatizo ya watanzania.
Pengine itasaidia iwapo tutaita chama kilichoikomboa tanzania kwa jina lingine lisilohusiana na CCM ndipo itaeleweka vizuri kwanini changamoto za TANU na Chadema ni zile zile.
Ha ha...saa kama unafahamu kuwa TANU haikumkomboa Mzanzibar(Ingawa nafahamu walimkomboa na walituma askari polisi wengi kulinda mapinduzi baadaye pia) kwa nini unataka watu wapoteze muda ku refer to their failed promises?
Pia ujue dunia ya leo uchumi ni kikwazo cha mambo mengi, kuanzia knowledge transfer, geting ana edge in an anya business , sports, medical researches etc someone need money.
Back to my earlier posting, utaona nilitaka CDM waingie kwa tahadhari katika issue ya kulink na TANU.Tusiwe naive and militant.Tayari Mh. Nape na wengine waliwahi sema mambo kadhaa yalifanaywa na kuasisiwa na TANU na si CDM. So next ni kuweka link ya CCM na TANU, hapatakuwa na time kwa watanzania wasioweza chambua hayo.Hembu fikiria CCM wakisema kuwa "Wao ni TANU iliyoboreshwa kwa kuongezea ASP na kuhama toka kugombea uhuru na kuingia katika leta maendeleo".
Halafu wakaelezea mapungufu ya TANU na kusema kuwa CDM hawana Jipya zaidi ya kuenda anzia kule walipoanzia CCM na hivyo watachukua miaka kama ya CCM ili wafikie CCM walipo? Sijui utaanzia wapi waelimisha watu kuwa CDM haikupata inspiration kwa TANU, na badala yake wamepata katika parties nyingine za Kisasa Duniani.
Kwanza TANU ilikuja na ujamaa ambao ulishindwa kwa kila kitu duniani, ikiwepo pia kuwatenganisha watu na Imani zao Kuhusu uwepo wa Mungu na Umuhimu wake kwa taifa.Sasa hivi tupo katika 21 century na matatizo yetu si yaleyale na masuluhisho yake si yale ya zamani tena.
Nasiktika kuwa na wewe unacheza mchezo niuchukiao sana wa kublack mail. Kuwa mtu anayetaka Tenganisha CDM na TANU kuwa hajali matatizo ya watu, ili umjengee mtu sense ya kuwa guilty.Ila ulichoandika kinaonyesha kuwa factor iliyokuvutia ni ahadi(Tena ahadi zilzioshindwa), lakini katik amaisha kila mtu na taasisi zinaahidi, na nyingi hufanikisha ahadi zake. Nadhnai CDM wangejinadi kuwa wanakauja kamilisha kile, TANU na baadaye CCM walichoshindwa fanikisha.
Ukombozi pia una mipaka na tafsiri yake CCM nao wanaweza ita system yao iliyomtolea matanzania jukumu la kufikiri kuhusu hatima ya Taifa.Kwa kuwaletea zidumu fikra za mwenyekiti, kufanya ila raia aamini kuwa serikali ndiye mlezi na tegemeo lake.So kwa wajinga wata agree na hii nortion, kwani wapo wengi hawapendi fikiri kuhusu namna ya kuandaa maisha, ku support wategemezi wao na kuwa responsible.Hawa wataipenda CCM wakidhani inawasaidia kuhusu familia yake.
So hawa amaa wanaweza claim kuwakomboa raia kutoka utumwa wa kuwaza jinsi gani watapata riziki ya kila siku, ila hawatasema utumwa wa kuwa na ubongo ila hautumiki kupata fikra huru za mwenye ubongo. Ndio maana wabunge wa chama tawala hawajui kuwa wana utumwa mkubwa sana wa kifikwa, kiuchumi, na baadaye wa kisiasa.