Nani anaweza ,kufukuzwa katika jukwaa!
Kwani kuna ulazima kusoma tunachoandika.
Ninakuhakikishia wewe ni msomaji mzuri sana
Unaposemawatu hawachangii wakati unachangia, unavunja watu mbavu.Kwani wewesiyo mtu!
Hili ni jukwaa huru, kuna wanasoma,wanaochangia na wasiosoma.
Nawashukurusana wale wanaotutia moyo kupitia PM.
Kumpa mtukidogo ulicho nacho akashukuru ni Baraka.
Pili, hatuandiki kwa dhiki au kulamba watu miguu .
Tunaandika kama sehemu ya maisha yetuambayo huna sababu ya kuhoji au kujua
Hasirazako ni kutokana na Mh wa Kigomakuwekwa kati na nje ya wakati.
Kama umeamuakutualika tutoke likizo, hewala tupo hapa
Sikiliza, kauli ya Mh wa Kigoma kuhusu mikoa inayopendelewa na kuchangia kidogo tuliikomalia kwa kumkanya ni hatari. Nadhani umeona hatari tuiyoonya inavyotokea.
Siasa zaukanda na hasa kushambulia mikoa fulani ni uasisi wa huyu mh
Mbegu yakibaguzi na ubinafsi aliyopipanda imeachanua.
CCMwalipata hoja na mwisho wanamlipafadhila za kutulia mjengoni.
Ametuliaje baada ya kuchonganisha taifa?
Tuliposimamana kusema ule ulikuwa ni ujinga, wengihawakutuelewa.
Leo watuwanaona ukweli na wanatuelewa.
Na kwa jinsi gani umma umetuelewa ni jinsi alivyofutika katikamaongezi ya siasa za nchi hii.
Wengiwanamuona ni mwanasiasa muflsi
Kaendabungeni. kaamua kulamba viatu vya watawala badala ya kukemea ubabe.
Kasifiwa ili apewekamati.
Inafikirisha,hivi mtu anayewezaje kuridhia kusifiwana CCM.
CCMwalikataa kutumia jina lao katikauchaguzi, leo wanawezaje kumsifia mtu!
Walikataa jina lao lisinasibishwe na mtu leowanamsifiaje mtu
Kwaviileumetualika, tuanzie hapa kwa wikikadhaa!