ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
Tuko pamoja mkuu. Vijana wa Bavicha wanaendelea kudanganyana tu. Imebidi niwaweke sawa kidogo.Wewe mzee upo😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuko pamoja mkuu. Vijana wa Bavicha wanaendelea kudanganyana tu. Imebidi niwaweke sawa kidogo.Wewe mzee upo😃
Wanabodi,Kilichonipa hamasa ya kuja na mjadala huu ni kauli ya Mwenyekiti wa Chadema (Taifa), Freeman Mbowe, aliyoitoa hivi karibuni ambapo alitamka (nanukuu):
"Iwapo CCM itashinda uchaguzi mwaka 2015, basi nitajiuzulu Siasa."
Long time kwakweli. Utabiri wake wote kuhusu kuanguka kwa CCM na Chadema kutwaa dola ulifeli. Akisoma posts zake za zamani atakuwa anajisikia hovyo sana. Yeye ni mtu anayejua sana kupanga maneno, lakini hana uwezo wa kuchanganua matukio na kukadiria matokeo.