nashicha
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 279
- 524
Ndugu zangu siasa ina mambo mengi sana na ukiwa mwanasiasa unatakiwa uwe na ngozi ngumu ya Kisiasa MBOWE kama kiongozi ameweza kushinda kila maumivu aliyopitia.
Hawa kina Zitto, Lipumba, Kitila tulipandikiziwa tu na kwa sasa hawana nguvu tena za kujiita WAPINZANI.
Tumpe muda siasa haitaki kushupaa shingo maana MITHALI 11:14 INASEMA PASIPO NA MASHAURIANO TAIFA HUANGAMIA NA KUPOTEA
Nawasihi tuwe na subra ili tujiwekee mazingira mazuri ya siasa bila kuumizana.
Hawa kina Zitto, Lipumba, Kitila tulipandikiziwa tu na kwa sasa hawana nguvu tena za kujiita WAPINZANI.
Tumpe muda siasa haitaki kushupaa shingo maana MITHALI 11:14 INASEMA PASIPO NA MASHAURIANO TAIFA HUANGAMIA NA KUPOTEA
Nawasihi tuwe na subra ili tujiwekee mazingira mazuri ya siasa bila kuumizana.