CHADEMA tukubali Mbowe ndiye mwasiasa bora

CHADEMA tukubali Mbowe ndiye mwasiasa bora

nashicha

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
279
Reaction score
524
Ndugu zangu siasa ina mambo mengi sana na ukiwa mwanasiasa unatakiwa uwe na ngozi ngumu ya Kisiasa MBOWE kama kiongozi ameweza kushinda kila maumivu aliyopitia.

Hawa kina Zitto, Lipumba, Kitila tulipandikiziwa tu na kwa sasa hawana nguvu tena za kujiita WAPINZANI.

Tumpe muda siasa haitaki kushupaa shingo maana MITHALI 11:14 INASEMA PASIPO NA MASHAURIANO TAIFA HUANGAMIA NA KUPOTEA

Nawasihi tuwe na subra ili tujiwekee mazingira mazuri ya siasa bila kuumizana.
 
Hahahaaaa ndugu umesahau ule msemo usemao hakuna mkate mgumu kwenye chai mbona mbowe kishapoteza sifa za kuitwa mwanasiasa bora tena maana ameshindwa kuhimili huu mtihani wa mwisho pesa pesa ni sabuni ya roho kashindwa kabisa kuvuka hapo yaani amekuwa mtu wa kuwaambia mkiingia barabarani mna mihemko? hakuna upinzani tena
 
Ni kweli, kawekwa ndani mara nyingi, mali zake kupigwa mnada na uovu wa kila namna. Ila sasa atengeneze wa kumrithi naona umri una mtupa mkono na kulinda demokrasia ndani ya chama chao hiyo wanayo ihubiri
 
Ndugu zangu siasa Ina mambo mengi sana na ukiwa mwanasiasa unatakiwa uwe na ngozi ngumu ya Kisiasa MBOWE kama kiongozi ameweza kushinda kila maumivu aliyopitia Hawa kina zitto lipumba kitila tulipandikiziwa tuu na kwa sasa Hawana nguvu Tena za kujiita WAPINZANI tumpe muda siasa haitaki kushupaa shingo maana MITHALI 11:14 INASEMA PASIPO NA MASHAURIANO TAIFA HUANGAMIA NA KUPOTEA nawasihi tuwe na subra ili tujiwekee mazingira mazuri ya siasa bila kuumizana
Top in the list
1. Mbowe
2. Tundu Lissu.....
3. Wengine watafata
 
Hahahaaaa ndugu umesahau ule msemo usemao hakuna mkate mgumu kwenye chai mbona mbowe kishapoteza sifa za kuitwa mwanasiasa bora tena maana ameshindwa kuhimili huu mtihani wa mwisho pesa pesa ni sabuni ya roho kashindwa kabisa kuvuka hapo yaani amekuwa mtu wa kuwaambia mkiingia barabarani mna mihemko? hakuna upinzani tena
Mnahangaika wafuasi wa mwendazake.

Mmekata tamaa baada ya kuona Samia sio kama Magufuli
 
Mnahangaika wafuasi wa mwendazake.

Mmekata tamaa baada ya kuona Samia sio kama Magufuli
soma alama za nyakati kaka hapo hakuna cha mbowe wala nini yaani mnakomaza shingo nyie tu mitandsaoni hala ana soma comet zenu halafu anasema hiiiiiii ??!!!
 
Ndugu zangu siasa Ina mambo mengi sana na ukiwa mwanasiasa unatakiwa uwe na ngozi ngumu ya Kisiasa MBOWE kama kiongozi ameweza kushinda kila maumivu aliyopitia Hawa kina zitto lipumba kitila tulipandikiziwa tuu na kwa sasa Hawana nguvu Tena za kujiita WAPINZANI tumpe muda siasa haitaki kushupaa shingo maana MITHALI 11:14 INASEMA PASIPO NA MASHAURIANO TAIFA HUANGAMIA NA KUPOTEA nawasihi tuwe na subra ili tujiwekee mazingira mazuri ya siasa bila kuumizana
Mungu ibariki CHADEMA [emoji1545]
 
inaonekana hujui siasa ya nchi inavyo endeshwa, siipendi ccm ila kamwe huwez kunishawish kwamba chadema na mbowe ni wapinzani wa kweli...kwa akili zenu mnadhan mbowe kukaa jela na mali zake kuharibiwa au kufilisiwa ni hasara kwake 😂 just a mind game kwa WaTz wasio na uwezo wa kutafakari maisha kwa upana... siasa sio nyepes kiasi hiko, siasa sikuzote ni "win win game"
Kila Awamu inayoingia madarakani ina terms zake za makubaliano na chama kikuu cha upinzani... Rudi awamu ya 4 ilikuaje...? awamu ya 5 ilikuaje..? sasa hii ya 6 mambo yakoje kuhusu siasa na upinzani..? 😅😂
Vijana fanyeni kazi siasa iwe sehem ya kuchangamsha akili...
CCM still ina miaka zaidi ya 50 ili ije kufa kabisa. Tz hakuna upinzan
 
inaonekana hujui siasa ya nchi inavyo endeshwa, siipendi ccm ila kamwe huwez kunishawish kwamba chadema na mbowe ni wapinzani wa kweli...kwa akili zenu mnadhan mbowe kukaa jela na mali zake kuharibiwa au kufilisiwa ni hasara kwake 😂 just a mind game kwa WaTz wasio na uwezo wa kutafakari maisha kwa upana... siasa sio nyepes kiasi hiko, siasa sikuzote ni "win win game"
Kila Awamu inayoingia madarakani ina terms zake za makubaliano na chama kikuu cha upinzani... Rudi awamu ya 4 ilikuaje...? awamu ya 5 ilikuaje..? sasa hii ya 6 mambo yakoje kuhusu siasa na upinzani..? 😅😂
Vijana fanyeni kazi siasa iwe sehem ya kuchangamsha akili...
CCM still ina miaka zaidi ya 50 ili ije kufa kabisa. Tz hakuna upinzan
tunakujua wewe ni mfuasi wa siasa za ccm A zama za mawe za kale za awamu ya tano.
 
inaonekana hujui siasa ya nchi inavyo endeshwa, siipendi ccm ila kamwe huwez kunishawish kwamba chadema na mbowe ni wapinzani wa kweli...kwa akili zenu mnadhan mbowe kukaa jela na mali zake kuharibiwa au kufilisiwa ni hasara kwake 😂 just a mind game kwa WaTz wasio na uwezo wa kutafakari maisha kwa upana... siasa sio nyepes kiasi hiko, siasa sikuzote ni "win win game"
Kila Awamu inayoingia madarakani ina terms zake za makubaliano na chama kikuu cha upinzani... Rudi awamu ya 4 ilikuaje...? awamu ya 5 ilikuaje..? sasa hii ya 6 mambo yakoje kuhusu siasa na upinzani..? 😅😂
Vijana fanyeni kazi siasa iwe sehem ya kuchangamsha akili...
CCM still ina miaka zaidi ya 50 ili ije kufa kabisa. Tz hakuna upinzan
FC lumumba naye katoa nondo eti
 
inaonekana hujui siasa ya nchi inavyo endeshwa, siipendi ccm ila kamwe huwez kunishawish kwamba chadema na mbowe ni wapinzani wa kweli...kwa akili zenu mnadhan mbowe kukaa jela na mali zake kuharibiwa au kufilisiwa ni hasara kwake 😂 just a mind game kwa WaTz wasio na uwezo wa kutafakari maisha kwa upana... siasa sio nyepes kiasi hiko, siasa sikuzote ni "win win game"
Kila Awamu inayoingia madarakani ina terms zake za makubaliano na chama kikuu cha upinzani... Rudi awamu ya 4 ilikuaje...? awamu ya 5 ilikuaje..? sasa hii ya 6 mambo yakoje kuhusu siasa na upinzani..? 😅😂
Vijana fanyeni kazi siasa iwe sehem ya kuchangamsha akili...
CCM still ina miaka zaidi ya 50 ili ije kufa kabisa. Tz hakuna upinzan
Kalale UVCCM
 
inaonekana hujui siasa ya nchi inavyo endeshwa, siipendi ccm ila kamwe huwez kunishawish kwamba chadema na mbowe ni wapinzani wa kweli...kwa akili zenu mnadhan mbowe kukaa jela na mali zake kuharibiwa au kufilisiwa ni hasara kwake [emoji23] just a mind game kwa WaTz wasio na uwezo wa kutafakari maisha kwa upana... siasa sio nyepes kiasi hiko, siasa sikuzote ni "win win game"
Kila Awamu inayoingia madarakani ina terms zake za makubaliano na chama kikuu cha upinzani... Rudi awamu ya 4 ilikuaje...? awamu ya 5 ilikuaje..? sasa hii ya 6 mambo yakoje kuhusu siasa na upinzani..? [emoji28][emoji23]
Vijana fanyeni kazi siasa iwe sehem ya kuchangamsha akili...
CCM still ina miaka zaidi ya 50 ili ije kufa kabisa. Tz hakuna upinzan
Kwhy awamu ya tano ilikubaliana na upinzani kitu gn?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli, kawekwa ndani mara nyingi, mali zake kupigwa mnada na uovu wa kila namna. Ila sasa atengeneze wa kumrithi naona umri una mtupa mkono na kulinda demokrasia ndani ya chama chao hiyo wanayo ihubiri
Ametangaza kitogombea tena nafasi hiyo
 
Back
Top Bottom