CHADEMA tukubali Mbowe ndiye mwasiasa bora

CHADEMA tukubali Mbowe ndiye mwasiasa bora

Ni kweli, kawekwa ndani mara nyingi, mali zake kupigwa mnada na uovu wa kila namna. Ila sasa atengeneze wa kumrithi naona umri una mtupa mkono na kulinda demokrasia ndani ya chama chao hiyo wanayo ihubiri
Mbowe ameshasema kuwa 2023 anampa kijiti mwanachama mwingine hivyo ni jukumu la wanachama kuchagua mtu imara na mwenye busara kukiongoza chama.
 
Ndugu zangu siasa ina mambo mengi sana na ukiwa mwanasiasa unatakiwa uwe na ngozi ngumu ya Kisiasa MBOWE kama kiongozi ameweza kushinda kila maumivu aliyopitia.

Hawa kina Zitto, Lipumba, Kitila tulipandikiziwa tu na kwa sasa hawana nguvu tena za kujiita WAPINZANI.

Tumpe muda siasa haitaki kushupaa shingo maana MITHALI 11:14 INASEMA PASIPO NA MASHAURIANO TAIFA HUANGAMIA NA KUPOTEA

Nawasihi tuwe na subra ili tujiwekee mazingira mazuri ya siasa bila kuumizana.
Sema kuna kitu kashikishwa acha maneno
 
soma alama za nyakati kaka hapo hakuna cha mbowe wala nini yaani mnakomaza shingo nyie tu mitandsaoni hala ana soma comet zenu halafu anasema hiiiiiii ??!!!
Masalia ya magufuli mnatamani zile siasa zenu za kishamba za kuumizana.
 
inaonekana hujui siasa ya nchi inavyo endeshwa, siipendi ccm ila kamwe huwez kunishawish kwamba chadema na mbowe ni wapinzani wa kweli...kwa akili zenu mnadhan mbowe kukaa jela na mali zake kuharibiwa au kufilisiwa ni hasara kwake [emoji23] just a mind game kwa WaTz wasio na uwezo wa kutafakari maisha kwa upana... siasa sio nyepes kiasi hiko, siasa sikuzote ni "win win game"
Kila Awamu inayoingia madarakani ina terms zake za makubaliano na chama kikuu cha upinzani... Rudi awamu ya 4 ilikuaje...? awamu ya 5 ilikuaje..? sasa hii ya 6 mambo yakoje kuhusu siasa na upinzani..? [emoji28][emoji23]
Vijana fanyeni kazi siasa iwe sehem ya kuchangamsha akili...
CCM still ina miaka zaidi ya 50 ili ije kufa kabisa. Tz hakuna upinzan
Umetoa bonge la boko
 
Hahahaaaa ndugu umesahau ule msemo usemao hakuna mkate mgumu kwenye chai mbona mbowe kishapoteza sifa za kuitwa mwanasiasa bora tena maana ameshindwa kuhimili huu mtihani wa mwisho pesa pesa ni sabuni ya roho kashindwa kabisa kuvuka hapo yaani amekuwa mtu wa kuwaambia mkiingia barabarani mna mihemko? hakuna upinzani tena

Zingatia matumizi ya koma, nukta na herufi kubwa.
 
Ndugu zangu siasa ina mambo mengi sana na ukiwa mwanasiasa unatakiwa uwe na ngozi ngumu ya Kisiasa MBOWE kama kiongozi ameweza kushinda kila maumivu aliyopitia.

Hawa kina Zitto, Lipumba, Kitila tulipandikiziwa tu na kwa sasa hawana nguvu tena za kujiita WAPINZANI.

Tumpe muda siasa haitaki kushupaa shingo maana MITHALI 11:14 INASEMA PASIPO NA MASHAURIANO TAIFA HUANGAMIA NA KUPOTEA

Nawasihi tuwe na subra ili tujiwekee mazingira mazuri ya siasa bila kuumizana.
Mbowe ni Nyerere mpya aliyezaliwa 1961, Analeta mapinduzi ya kimfumo Kutoka ujamaa Hadi UBEPARI chotara.

Kamanda hawezi ACHIA chama, ataendelea kuwa kiongozi kushape na kuongoza chama na mfumo.

Hawezi pia kushika mamlaka ya juu sana ya nchi. Yuko poa, ni hazina ya Taifa.
 
Kamanda hawezi ACHIA chama, ataendelea kuwa kiongozi kushape na kuongoza chama na mfumo.

Hawezi pia kushika mamlaka ya juu sana ya nchi. Yuko poa, ni hazina ya Taifa.
Hazina ya taifa ya udanganyifu na MIND GAMES.

Ni mwanasesere anayetumika kuchezea akili za watanzania kwa faida ya watawala.
 
Hazina ya taifa ya udanganyifu na MIND GAMES.

Ni mwanasesere anayetumika kuchezea akili za watanzania kwa faida ya watawala.
Mbowe ni zaidi ya umjuavyo wewe.

Ni mtu MAALUM alietengenezwa na Engine ya KAMPUNI Kusimamia HAKI kustawi ktk Nchi. Ktk uhalisia mfumo huo Hauna upande. Ni Kwa maslah ya nchi.

Huyo Hana Bei, wazazi wake wameshiriki kuleta uhuru wa Nchi hii, hajatokea MAJALALANI.

KATIBA mpya Ina baraka Kutoka Kwa wenye Nchi, Nchi inaenda kusukwa upya.

Katiba mpya ni jambo mtambuka, wanapokubaliana kuhusu jambo muhimu kiasi hicho lazima mambo mengine anyamazie kwakuwa yatashughulikiwa na Katiba mpya. AMEN.
 
inaonekana hujui siasa ya nchi inavyo endeshwa, siipendi ccm ila kamwe huwez kunishawish kwamba chadema na mbowe ni wapinzani wa kweli...kwa akili zenu mnadhan mbowe kukaa jela na mali zake kuharibiwa au kufilisiwa ni hasara kwake 😂 just a mind game kwa WaTz wasio na uwezo wa kutafakari maisha kwa upana... siasa sio nyepes kiasi hiko, siasa sikuzote ni "win win game"
Kila Awamu inayoingia madarakani ina terms zake za makubaliano na chama kikuu cha upinzani... Rudi awamu ya 4 ilikuaje...? awamu ya 5 ilikuaje..? sasa hii ya 6 mambo yakoje kuhusu siasa na upinzani..? 😅😂
Vijana fanyeni kazi siasa iwe sehem ya kuchangamsha akili...
CCM still ina miaka zaidi ya 50 ili ije kufa kabisa. Tz hakuna upinzan
😂😅 hii nchi ina vijana wengi wapumbavu sana, wanajifanya wanajua siasa kumbe bogus tu...
Nilidhan mtanijibu kwa hoja mmeishia kunitukana. Siku mkipata akili mtakuja kunielewa kwasasa endeleeni na upumbav wenu...
 
Hahahaaaa ndugu umesahau ule msemo usemao hakuna mkate mgumu kwenye chai mbona mbowe kishapoteza sifa za kuitwa mwanasiasa bora tena maana ameshindwa kuhimili huu mtihani wa mwisho pesa pesa ni sabuni ya roho kashindwa kabisa kuvuka hapo yaani amekuwa mtu wa kuwaambia mkiingia barabarani mna mihemko? hakuna upinzani tena
Pesa imefanyaje ndg yangu imefanyaje
 
Kama haikumulainisha enzi za jiwe leo ndo iharibu utuwake punguzeni maneno jifunzeni kutunza lips zenu
Eti bwana Jiwe hakumoa pesa bali akihariby hata kile akichonacho. Ulikuwa wakati ambao angelainika zaidi.
 
Back
Top Bottom