Yaani wanaumia kichizi. Kama mbowe sio mpinzani nilidhani ndio ingekuwa furaha yaoMasalia ya magufuli mnatamani zile siasa zenu za kishamba za kuumizana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wanaumia kichizi. Kama mbowe sio mpinzani nilidhani ndio ingekuwa furaha yaoMasalia ya magufuli mnatamani zile siasa zenu za kishamba za kuumizana.
All political power comes from a barrel of gunNdugu zangu siasa ina mambo mengi sana na ukiwa mwanasiasa unatakiwa uwe na ngozi ngumu ya Kisiasa MBOWE kama kiongozi ameweza kushinda kila maumivu aliyopitia.
Hawa kina Zitto, Lipumba, Kitila tulipandikiziwa tu na kwa sasa hawana nguvu tena za kujiita WAPINZANI.
Tumpe muda siasa haitaki kushupaa shingo maana MITHALI 11:14 INASEMA PASIPO NA MASHAURIANO TAIFA HUANGAMIA NA KUPOTEA
Nawasihi tuwe na subra ili tujiwekee mazingira mazuri ya siasa bila kuumizana.