SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mbowe ameshasema kuwa 2023 anampa kijiti mwanachama mwingine hivyo ni jukumu la wanachama kuchagua mtu imara na mwenye busara kukiongoza chama.Ni kweli, kawekwa ndani mara nyingi, mali zake kupigwa mnada na uovu wa kila namna. Ila sasa atengeneze wa kumrithi naona umri una mtupa mkono na kulinda demokrasia ndani ya chama chao hiyo wanayo ihubiri
Sema kuna kitu kashikishwa acha manenoNdugu zangu siasa ina mambo mengi sana na ukiwa mwanasiasa unatakiwa uwe na ngozi ngumu ya Kisiasa MBOWE kama kiongozi ameweza kushinda kila maumivu aliyopitia.
Hawa kina Zitto, Lipumba, Kitila tulipandikiziwa tu na kwa sasa hawana nguvu tena za kujiita WAPINZANI.
Tumpe muda siasa haitaki kushupaa shingo maana MITHALI 11:14 INASEMA PASIPO NA MASHAURIANO TAIFA HUANGAMIA NA KUPOTEA
Nawasihi tuwe na subra ili tujiwekee mazingira mazuri ya siasa bila kuumizana.
Masalia ya magufuli mnatamani zile siasa zenu za kishamba za kuumizana.soma alama za nyakati kaka hapo hakuna cha mbowe wala nini yaani mnakomaza shingo nyie tu mitandsaoni hala ana soma comet zenu halafu anasema hiiiiiii ??!!!
Mshamba kama wewe tunakupuuza tu.chadema ipi hiyo ? hihiii inayoenda kumaliziwa na mbowe ? chadema mbowe inamfia mikononi aisee hela nyokoooo
Umetoa bonge la bokoinaonekana hujui siasa ya nchi inavyo endeshwa, siipendi ccm ila kamwe huwez kunishawish kwamba chadema na mbowe ni wapinzani wa kweli...kwa akili zenu mnadhan mbowe kukaa jela na mali zake kuharibiwa au kufilisiwa ni hasara kwake [emoji23] just a mind game kwa WaTz wasio na uwezo wa kutafakari maisha kwa upana... siasa sio nyepes kiasi hiko, siasa sikuzote ni "win win game"
Kila Awamu inayoingia madarakani ina terms zake za makubaliano na chama kikuu cha upinzani... Rudi awamu ya 4 ilikuaje...? awamu ya 5 ilikuaje..? sasa hii ya 6 mambo yakoje kuhusu siasa na upinzani..? [emoji28][emoji23]
Vijana fanyeni kazi siasa iwe sehem ya kuchangamsha akili...
CCM still ina miaka zaidi ya 50 ili ije kufa kabisa. Tz hakuna upinzan
Hahahaaaa ndugu umesahau ule msemo usemao hakuna mkate mgumu kwenye chai mbona mbowe kishapoteza sifa za kuitwa mwanasiasa bora tena maana ameshindwa kuhimili huu mtihani wa mwisho pesa pesa ni sabuni ya roho kashindwa kabisa kuvuka hapo yaani amekuwa mtu wa kuwaambia mkiingia barabarani mna mihemko? hakuna upinzani tena
Ndiyo nini sasa?Ni kweli kabisa Uhuru kajisalimisha kea Raila Omollo Odinga
Mbowe ni Nyerere mpya aliyezaliwa 1961, Analeta mapinduzi ya kimfumo Kutoka ujamaa Hadi UBEPARI chotara.Ndugu zangu siasa ina mambo mengi sana na ukiwa mwanasiasa unatakiwa uwe na ngozi ngumu ya Kisiasa MBOWE kama kiongozi ameweza kushinda kila maumivu aliyopitia.
Hawa kina Zitto, Lipumba, Kitila tulipandikiziwa tu na kwa sasa hawana nguvu tena za kujiita WAPINZANI.
Tumpe muda siasa haitaki kushupaa shingo maana MITHALI 11:14 INASEMA PASIPO NA MASHAURIANO TAIFA HUANGAMIA NA KUPOTEA
Nawasihi tuwe na subra ili tujiwekee mazingira mazuri ya siasa bila kuumizana.
Mbowe sio mpinzani.tunakujua wewe ni mfuasi wa siasa za ccm A zama za mawe za kale za awamu ya tano.
Hazina ya taifa ya udanganyifu na MIND GAMES.Kamanda hawezi ACHIA chama, ataendelea kuwa kiongozi kushape na kuongoza chama na mfumo.
Hawezi pia kushika mamlaka ya juu sana ya nchi. Yuko poa, ni hazina ya Taifa.
Mbowe ni zaidi ya umjuavyo wewe.Hazina ya taifa ya udanganyifu na MIND GAMES.
Ni mwanasesere anayetumika kuchezea akili za watanzania kwa faida ya watawala.
ππ hii nchi ina vijana wengi wapumbavu sana, wanajifanya wanajua siasa kumbe bogus tu...inaonekana hujui siasa ya nchi inavyo endeshwa, siipendi ccm ila kamwe huwez kunishawish kwamba chadema na mbowe ni wapinzani wa kweli...kwa akili zenu mnadhan mbowe kukaa jela na mali zake kuharibiwa au kufilisiwa ni hasara kwake π just a mind game kwa WaTz wasio na uwezo wa kutafakari maisha kwa upana... siasa sio nyepes kiasi hiko, siasa sikuzote ni "win win game"
Kila Awamu inayoingia madarakani ina terms zake za makubaliano na chama kikuu cha upinzani... Rudi awamu ya 4 ilikuaje...? awamu ya 5 ilikuaje..? sasa hii ya 6 mambo yakoje kuhusu siasa na upinzani..? π π
Vijana fanyeni kazi siasa iwe sehem ya kuchangamsha akili...
CCM still ina miaka zaidi ya 50 ili ije kufa kabisa. Tz hakuna upinzan
Pesa imefanyaje ndg yangu imefanyajeHahahaaaa ndugu umesahau ule msemo usemao hakuna mkate mgumu kwenye chai mbona mbowe kishapoteza sifa za kuitwa mwanasiasa bora tena maana ameshindwa kuhimili huu mtihani wa mwisho pesa pesa ni sabuni ya roho kashindwa kabisa kuvuka hapo yaani amekuwa mtu wa kuwaambia mkiingia barabarani mna mihemko? hakuna upinzani tena
AAAAAAA aaaaa pesa imeshamlainisha mbowe kisha lamba asaliPesa imefanyaje ndg yangu imefanyaje
Kama haikumulainisha enzi za jiwe leo ndo iharibu utuwake punguzeni maneno jifunzeni kutunza lips zenuAAAAAAA aaaaa pesa imeshamlainisha mbowe kisha lamba asali
na hayo magenge si yenu wewe na ccm. Furahi sasaMbowe sio mpinzani.
Hapo mazuzu mnachotwa akili na magenge yanayoongoza nchi.
Eti bwana Jiwe hakumoa pesa bali akihariby hata kile akichonacho. Ulikuwa wakati ambao angelainika zaidi.Kama haikumulainisha enzi za jiwe leo ndo iharibu utuwake punguzeni maneno jifunzeni kutunza lips zenu
well saidKamanda hawezi ACHIA chama, ataendelea kuwa kiongozi kushape na kuongoza chama na mfumo.
Hawezi pia kushika mamlaka ya juu sana ya nchi. Yuko poa, ni hazina ya Taifa.