Msukuma Original
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 928
- 3,330
Halafu wewe Kila thread kujiongelea kinafiki kuipenda chadema. Hebu achana na chadema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mchezo hauhitaji hasiraHalafu wewe boya una mambo ya kipumbavu kweli. Kila thread kujiongelea kinafiki kuipenda chadema. Hebu achana na chadema.
Jionee mwenyewe, salum mwalimu hana watuUnajitaidi sana! Endelea kupambana na stress kwa njia hii, labda utapata afueni! Bagamoyo, ulikuwepo pia, hukuweza picha ila leo umejiongeza!
Chato kuna minazi mkuuhii picha mbona ni mandhari ya huko Chato?
tupostie ya Muheza!
Nitakuwa ninahesabu kila utakapokuwa umeitumia picha hii! Hii ni mara ya 57.Uchaguzi huu hali ilivyoView attachment 1566503
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Nilishasema, siku mkituma huyo poyoyo wenu Salum Mwalimu kufanya kampeni ndo mtajua kwamba watu wanaenda kumshangaa Lissu. Mkapinga Kama kawaida yenu pingapinga Fc.Halafu wewe boya una mambo ya kipumbavu kweli. Kila thread kujiongelea kinafiki kuipenda chadema. Hebu achana na chadema.
Hao wanamtosha sijui kwenye kupiga kura Kama watamkumbuka.Huyo hapo salum mwalimu jukwaaniView attachment 1566529
Achana nao chadema akili wamemwachia Salum Mwalimu hapo.Chato kuna minazi mkuu
[emoji848]Nitakuwa ninahesabu kila utakapokuwa umeitumia picha hii! Hii ni mara ya 57.
Akili ikuwakaa sawa wanaweza kutumia msumeno wa umeme...Uchaguzi huu hali ilivyoView attachment 1566503
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Sio wakuunagusha leo Wala keshoAkili ikuwakaa sawa wanaweza kutumia msumeno wa umeme...
muhimu mti umeanza kukatwa
Acha umama nenda insta ya BavichaPeople'ssss powerrrr......!
Habari za jioni ndugu zangu wana JF, leo nijikite na kilichotokea Muheza.
Tunakumbuka vizuri sana kuwa mgombea wetu wa ubunge jimbo la Muheza awali alienguliwa na tume ya uchaguzi lakini siku mbili zilizopita tume walirudisha jina lake.
Mwanadada Yosepher Komba, aliahidi kupambana kufa na kupona ili watu wa Muheza waweze kupata mabadiliko wanayohitaji. Na kukaibuka kundi flani mtandaoni wakijinasibu kutumia kila aina ya ushawishi na nguvu ili mwanadada huyu aweze kushinda(ni jambo zuri).
Cha kushangaza ni siku ya leo ambapo Salum Mwalimu alipoenda kufungua kampeni kakutana na uwanja mtupu(watu ni wachache sana).
Ni jambo ambalo sisi kama wanachama na mashabiki wa CHADEM limetufedhehesha sana, ni kitu hatukutegemea na tumebaki tunajiuliza "tumeikosea nini Muheza"??
Lakini ninaomba tuvute subra, tumtie nguvu mgombea ubunge ili aweze kuwa na hoja na mvuto kwa wapiga kura.
Mimi na-declare interest kuwa ni shabiki wa CHADEMA na hivyo nafuatilia kwa makini kwa kila kinachoendelea kuhusu kampeni za chama chetu. Ila leo cha kushangaza kwenye account ya CHADEMA Tanzania walikuwa wanapost nusu picha(picha imekatwa haionyeshi hadhira) hapohapo machale yakanicheza na kuona kuna tatizo huko kwenye kampeni, fasta nikaongea na mtu aliyepo huko anitumie picha za mkutanoni, nilichokiona ni aibu.
Chini hapa ni hali ilivyokuwa kwenye kampeni Muheza. View attachment 1566499
Mimi sio ChademaTuachane na ccm, tatizo nini leo hakuna watu kwenye mkutano wetu chadema?
Hata jana kuna jinga moja lilisema Chadema imekosa watu Bagamoyo. Kuona picha Lissu kajaza uwanja. Lumumba wana weweseka mnoPicha imepigwa saa moja asubuhi mkutano saa kumi jioni akili za uvccm
CDM waanzishe HardwareNi kweli, kilichotokea muheza ni aibu sana kwa chama