Uchaguzi 2020 CHADEMA tumewakosea nini watu wa Muheza?

Uchaguzi 2020 CHADEMA tumewakosea nini watu wa Muheza?

Kwa hiyo jana ulikuwa na Lissu bagamoyo, leo Uko na Salim Mwalimu Muheza???? Kawadanganye majuha wenzako wa Lumumba
Huyo hapo salumu mwalimu muheza, nimekuwekea video
 
Mbona unakuwa gasho sana au umetoka kuchzea ndizi za wanaume wenzako
Matusi hayasaidii, video na picha hizo hapo
IMG_20200911_163915.jpg
 
Leta ya saa kumi jioni ili kuikata ngebe misulule ya lumumba
Usihangaike nao, nimewapa video hii hapa. Wao kazi yao kubwata humu jf, sisi wengine tupo kila sehemu
 
Unaona sasa, hako kajamaa ni kachawi kako lumumba, muda mrefu nilikuwa nakacheki tu, cha kupuuza na hizi thread zake za kipuuzi.
Kuwa chadema haimaanishi nifumbie macho na wala nisikosoe. Kwanza wewe chadema wa mtandaoni tu, huku kwenye mikutano haupo
 
CCM tutaendelea kuwakopa mazao yenu hatutawalipa, na hamtapata pembejeo wala support ila nyie angaikeni mazao yakiwa tayari kama kawaida yetu tunaleta wanajeshi kuja kuyachukua kibabe, sisi tunanunua ndege na kujenga fly over. WAKULIMA TUVUMILIANE TUNAIJENGA NCHI
 
Kuwa chadema haimaanishi nifumbie macho na wala nisikosoe. Kwanza wewe chadema wa mtandaoni tu, huku kwenye mikutano haupo
Wewe ni mjinga aisee funga mdomo wako, umeshaumbuliwa juu kule, siku nyingine ujue hii jf sio ya watoto wenzio.
 
Wewe mpenda Chadema uchwara ushapoteza credibility, unachagua video za kuweka nyingine unaficha, wacha uchawi kijana.
Nafichaje?? Angalia na sikiliza sera hizo za salum mwalimu, ametuahidi fao la kujitoa litarudi
 
Unaumia na nini kamanda? Kama watu walikuwa wachache sana leo huko muheza, sio kosa langu au lako bali ni kosa la chama kutoaandaa mazingirz mazuri ya kampeni mapema
Wewe ni mjinga aisee funga mdomo wako, umeshaumbuliwa juu kule.
 
Back
Top Bottom