Wakuu hiki Chama mi kimenitia majeraha makubwa hakika. Nakumbuka miaka nane ilopita tukiwa na mama yangu kijijini tukisikiliza radio five ghafla ikatangazwa break news mtangazaji Alli Shemdoe akatangaza kupigwa kwa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA wa NMC moja kati ya majeruhi alikuwepo Abdi Madava Kaka yangu kipenzi alotegemewa mno na mama.
Kuanzia hapo mama yangu alipatwa na heart attack iliosababisha kifo chake mwaka 2013 walichofanya CHADEMA ni kuwatelekeza majeruhi swala la kumtibu kaka yangu tuliachiwa sisi familia hakuna Mbowe wala Lema alotusaidia.
Mimi nadiriki kusema CHADEMA mlisababisha kifo cha mama yangu ingawa bado naichukia sana CCM ila CHADEMA bado si chama sahihi kwa ukombozi wa Tanzania.
Kuanzia hapo mama yangu alipatwa na heart attack iliosababisha kifo chake mwaka 2013 walichofanya CHADEMA ni kuwatelekeza majeruhi swala la kumtibu kaka yangu tuliachiwa sisi familia hakuna Mbowe wala Lema alotusaidia.
Mimi nadiriki kusema CHADEMA mlisababisha kifo cha mama yangu ingawa bado naichukia sana CCM ila CHADEMA bado si chama sahihi kwa ukombozi wa Tanzania.