CHADEMA tumewapigania sana, hakuna mnalotudai bali mna deni kubwa kwetu

CHADEMA tumewapigania sana, hakuna mnalotudai bali mna deni kubwa kwetu

Karibu CHAPUTA achana na siasa hizo wanafaidika wenye vyeo tu af followers ndo mnaoumia
 
Unaiona kampeni hiyo lakini, nyuma ya kivuli cha upuuzi?

..ukiwaambia watu ccm inakufa hawakuamini.

..lakini ushahidi kwamba ccm inakufa ni umbumbumbu, unyama, na ukatili, wa makada wake, haswa hawa vijana.

..kijana anaweza kuwa naive na mwenye mihemko, and that is understandable and can be tolarated.

lakini vijana wa ccm ni wajinga, manyang'au, na makatili. Na hali hiyo ndiyo inayoiuwa ccm slowly but surely.
 
Wakuu hiki Chama mi kimenitia majeraha makubwa hakika. Nakumbuka miaka nane ilopita tukiwa na mama yangu kijijini tukisikiliza radio five ghafla ikatangazwa break news mtangazaji Alli Shemdoe akatangaza kupigwa kwa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA wa NMC moja kati ya majeruhi alikuwepo Abdi Madava Kaka yangu kipenzi alotegemewa mno na mama.

Kuanzia hapo mama yangu alipatwa na hart attack ilosababisha kifo chake mwaka 2013 walichofanya CHADEMA ni kuwatelekeza majeruhi swala la kumtibu kaka yangu tuliachiwa sisi familia hakuna Mbowe wala Lema alotusaidia.

Mimi nadiriki kusema CHADEMA mlisababisha kifo cha mama yangu ingawa bado naichukia sana CCM ila CHADEMA bado si chama sahihi kwa ukombozi wa Tanzania.


HUyu ndio Bro!
lakini Mbona alisha unga juhudi 2014 ?

1585576747547.png
 
Wakuu hiki Chama mi kimenitia majeraha makubwa hakika. Nakumbuka miaka nane ilopita tukiwa na mama yangu kijijini tukisikiliza radio five ghafla ikatangazwa break news mtangazaji Alli Shemdoe akatangaza kupigwa kwa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA wa NMC moja kati ya majeruhi alikuwepo Abdi Madava Kaka yangu kipenzi alotegemewa mno na mama.

Kuanzia hapo mama yangu alipatwa na hart attack ilosababisha kifo chake mwaka 2013 walichofanya CHADEMA ni kuwatelekeza majeruhi swala la kumtibu kaka yangu tuliachiwa sisi familia hakuna Mbowe wala Lema alotusaidia.

Mimi nadiriki kusema CHADEMA mlisababisha kifo cha mama yangu ingawa bado naichukia sana CCM ila CHADEMA bado si chama sahihi kwa ukombozi wa Tanzania.

Hijja Madava
Mbona Bro inaonekana alishahama chadema mwaka 2014 ?
ALIYEKUWA MWENYEKITI WA CHADEMA ATOBOA SIRI ZA Chadema KWENYE MKUTANO WA CCM - ARUSHA | CCM DijitaliHABARI NA MATUKIO
1585578106816.png
 
Wapo raia wanadanganya msichague upinzani maana ukichagua upinzani amani itapotea...
wengine wanasema wapinzani wanaleta vurugu...

Siku hizi wazee watoto vijana wanajitambua maana zama zimebadilika...
 
Wakuu hiki Chama mi kimenitia majeraha makubwa hakika. Nakumbuka miaka nane ilopita tukiwa na mama yangu kijijini tukisikiliza radio five ghafla ikatangazwa break news mtangazaji Alli Shemdoe akatangaza kupigwa kwa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA wa NMC moja kati ya majeruhi alikuwepo Abdi Madava Kaka yangu kipenzi alotegemewa mno na mama.

Kuanzia hapo mama yangu alipatwa na hart attack ilosababisha kifo chake mwaka 2013 walichofanya CHADEMA ni kuwatelekeza majeruhi swala la kumtibu kaka yangu tuliachiwa sisi familia hakuna Mbowe wala Lema alotusaidia.

Mimi nadiriki kusema CHADEMA mlisababisha kifo cha mama yangu ingawa bado naichukia sana CCM ila CHADEMA bado si chama sahihi kwa ukombozi wa Tanzania.
Na kwann Chadema hawajengi Ofisi za uhakika jamani? Kila wilaya wanakodi frem za duka ndiyo ziwe ofisi kweli? Kwani pesa za ruzuku zinaenda wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom