CHADEMA: Tuna dhamira ya kushika dola 2025

Tatiz
o wapinzani wana njaa sana, tukiwapa dola itakuwa ni scramble ya kushiba!!!
 
Walamba asali kweli wamedhamiria kushika dola za kimarekani.
 
CDM hawapo serious na hawajui wanataka Nini

Ccm ni upuuzi lakini wamekosa watu makini wakuwatoa kwa kura

Ccm hawatatoka madarakani kwa kura, labda useme kingine. Machafuko tu ndio yataitoa CCM madarakani. Mnyika asipoteze muda, kwa tume ya uchaguzi na katiba hii kuitoa CCM madarakani ni kujidanganya.
 
CDM hawapo serious na hawajui wanataka Nini

Ccm ni upuuzi lakini wamekosa watu makini wakuwatoa kwa kura
Ajira
Siasa ni ajira kama ajira nyingine tu. Kwa wenye vyeo vya juu.

RIP. Christopher Mtikila. Mpinzani pekee aliyeonyesha nia dhabiti ya kuchukua nchi.
Wengine tupo bado kwenye vikao vya maridhiano na mshindani wetu.
 
Ccm hawatatoka madarakani kwa kura, labda useme kingine. Machafuko tu ndio yataitoa CCM madarakani. Mnyika asipoteze muda, kwa tume ya uchaguzi na katiba hii kuitoa CCM madarakani ni kujidanganya.
Njia za kuitoa Ccm zipo nyingi siwezi ku-share ideas zangu lakini wakijua umuhimu wetu watatuita ili tuwaoneshe njia sahihi

Hizo mbinu za CDM zimepitwa na wakati. That sisi Great thinker tunafahamu what going on kuwa ni upuuzi mtupu unaoendelea hapo ufipa
 
Yes sure Mbowe na genge lake ni wajanja wajanja
Ajira
Siasa ni ajira kama ajira nyingine tu. Kwa wenye vyeo vya juu.

RIP. Christopher Mtikila. Mpinzani pekee aliyeonyesha nia dhabiti ya kuchukua nchi.
Wengine tupo bado kwenye vikao vya maridhiano na mshindani wetu.
 
Hawa watu hawako siliazi , kama wanamaanisha dola ya Zimbabwe wako sahii.
 

Uitwe wapi boss, nani anakufahamu kwa hii fake I'd? Hakuna ulazima wa kuwapa hizi mbinu zako hao ufipa, unaweza kuwapa hizo mbinu zako chama kingine. Au kama vipi anzisha chama utumie hizo mbinu zako kuwatoa CCM.
 
Uitwe wapi boss, nani anakufahamu kwa hii fake I'd? Hakuna ulazima wa kuwapa hizi mbinu zako hao ufipa, unaweza kuwapa hizo mbinu zako chama kingine. Au kama vipi anzisha chama utumie hizo mbinu zako kuwatoa CCM.
Kama mnaleta dharau Kama hivi then mnaamini katika mawazo yenu tu.

Hicho chama chakavu mtakitoa kweli??
 
Dharau za kuona mawazo yenu ni Bora na mkiwadanganya wanachi (Mbumbumbu) kuwa nyie ndo mbadala wa Ccm ni kujilisha upepo
 
Kama mnaleta dharau Kama hivi then mnaamini katika mawazo yenu tu.

Hicho chama chakavu mtakitoa kweli??

Mkuu nimekuambia weka mbinu zako umesema mpaka uitwe. Sasa sijui unataka uitwe na nani, maana hapa ni kwenye mtandao wa kijamii, sio ofisi ya CDM, au ya chama chochote cha siasa. Kama unataka kuwapa mbinu CDM waandikie kwa official email yao ili wakuite. Sasa unaposema unadharaulika, au mawazo yako yanapuuzwa sijui unamaanisha nini. Mimi sio kiongozi wa CDM useme nitakuita ofisini, bali ni shabiki wa CDM. Ndio maana nimekurahisishia, anzisha chama uchukue nchi na hizo mbinu zako.
 
Kuanzisha chama sio Jambo Rahisi , lengo sio kufukuzia Ruzuku. Tu pasipo kuwa na mbinu mbadala


Ngoja tuwe outside watcher tu nothing else
 
Kuanzisha chama sio Jambo Rahisi , lengo sio kufukuzia Ruzuku. Tu pasipo kuwa na mbinu mbadala


Ngoja tuwe outside watcher tu nothing else

Unaona ni kazi ngumu kuanzisha chama, lakini una mbinu za kuitoa CCM! Haya basi wape hizo mbinu waliokuwa na uthubutu wa kuanzisha chama, napo unataka ubembelezwe.

Mkuu sioni kama una mbinu zozote za maana, kama ungekuwa nazo ungezitoa. Unalaumu maoni yako yanapuuzwa, yatumie mwenyewe basi nayo bado huwezi, ila unalaumu wengine hawana mbinu za kuitoa CCM. Kazi kweli kweli.
 
Pambaneni aiseh tafuteni mtu mzuri wa kumsimamisha lkn sio Lissu aiseh mine mbona ntawapigia kura
 
Sawa Mimi ngoja tutazame endless progress ,

Kuitoa ccm ni tofauti na kuanzisha chama ni process ndogo zenye , kuvaa uchungu wanaopitia watanzania , na sio kuvizia Ruzuku na kuomba maridhiano ,


Nimeshawatumia uongozi wa CHADEMA Taarifa lakini wanakataa eti sisi vijana tunabidi kufata utaratibu ambao utapatikana kwa Rais niseme tu .

Hawa nyie mnaowaona Kama mashujaa ni wabinafsi Sana that way wamewa-blind ili msijitambue mbaki na jicho moja la kuona kuwa Ccm itatolewa kwa maridhiano au ballots box .


Haitokaa itokee watu Kama Mbowe and so called wanaharakati mkitoe hiki chama chakavu endapo mkawa na hizi Ego zenu za kuona nyie ni Bora .



Mimi nimecheza sabotage mbalimbali huko Ccm so I don't want to find my self guilty that way nilitaka CHADEMA watupe nafasi na sisi tuweze kufanya kitu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…