Wenyewe ndio hivyo tunazikusanya tukale bata.Tangu hii kampeni ianze, hakuna hata siku moja tuneambiwa makusanyo ni shilingi ngapi...
Vipi za ccm huwa mnaambiwa zimekusanywa kiasi kwenye viwanja na majumba ya ummaTangu hii kampeni ianze, hakuna hata siku moja tuneambiwa makusanyo ni shilingi ngapi...
na sisi wazalendo wa nchi tunataka 1.5 Trilioni alizokwakua mwendazakeTangu hii kampeni ianze, hakuna hata siku moja tuneambiwa makusanyo ni shilingi ngapi...
Kwani Sheria ya nchi inaruhusu mtu kuchangisha michango kwenye jamii bila kupata kibali serikalini?Tangu hii kampeni ianze, hakuna hata siku moja tuneambiwa makusanyo ni shilingi ngapi...
Jibu hoja kisha uulize ya kaburi utajibiwa.Kwani zamu yako ya kulinda kaburi umemaliza lini?
Juzi ulisema kampeni hii imefeli , leo unataka mahesabu ! mbona hueleweki ?Tangu hii kampeni ianze, hakuna hata siku moja tuneambiwa makusanyo ni shilingi ngapi...
[emoji38][emoji38][emoji38]Kafanye uzalendo kwa kulinda kaburi la masia wenu maana anaweza kurudi
Kausha basi tusile bata eboona sisi wazalendo wa nchi tunataka 1.5 Trilioni alizokwakua mwendazake
Undumilakuwili utamuua huyo jamaaJuzi ulisema kampeni hii imefeli , leo unataka mahesabu ! mbona hueleweki ?
Mpuuzi mkubwa ww unazopata kwenye kudanga unamjuza Mumeo?Tangu hii kampeni ianze, hakuna hata siku moja tuneambiwa makusanyo ni shilingi ngapi.
Hela zinakusanywa kwenye mifuko ya rambo, anayezihesabu hajulikani ni nani, ni rahisi watu kujichotea tu na kuweka mifukoni mwao, hakuna risiti. Hakuna ufafanuzi nani anaongoza nini, na gharama za operesheni hiyo.
Kwa nini viongozi wanaukwepa mfumo wa kukusanya kimtandao ambao utafanya wanachama wawe na kumbukumbu ya fedha endapo watazihitaji kuzikagua?