CHADEMA tunahitaji hesabu ya fedha zinazokusanywa mitaani kwenye mifuko ya rambo, hazitolewi risiti, tunaweza kupigwa na wajanja!

Hebu acha upumbavu wako wewe!! Zimepigwa bilion 4 michango iliyokatwa toka kwenye mishahara ya wabunge ilyowekwa kwenye akaunti maalum!!
Zimepigwa Ruzuku
Zimepigwa 100ml za Sabodo zilizotolewa mbele ya waandishi wa habari
Zimepigwa misada toka wa wafadhili waliotaka wanunue pkpk na magari ya chama
Zimepigwa mpaka michango kwa ajili ya mashahidi waliokufa ktk harakati za kupigania chama sehemu mbalimbali....
Sembuse hizo tunaambiwa kabisa zawasi kwa Kaka

Wanachama wa Chadema ni kama yule mdogo wako alielishwa limbwata na mtot wa kinyamwezi au wa kitanga hata umwambie mbona mkeo anadanga atakuambia nani kakutuma uje uniambie? Fuata maisha yako tena tusijuane.
Kijana utatukanwa sana nakuhurumia



 
Ukiwa mfuasi wa jambo flani bc unakuwa kipofu, chadema endeleeni kukamua wananchi hadi jasho
 
Maweeee.....!!!! Bhojooo!!!
 
Chama kimetoka kwenye ushawishi wa individuals kuchangia chama kwa mamilioni hadi kuwa chama cha kutembeza bakuli sababu ya kukosa uaminifu wa mchanganuo wa matumizi. Sabodo aliwahi kujuta kuwafahamu, Utasubiri sana kupata hayo unayoomba. Kuna ahadi ya 100M ujenzi wa kanisa kule Hai zinaenda kujazia😂😂
 
Hizo ndio tunanywea Hennessy rukia The Don Arusha pia matunzo ya mtoto wa Mwenyekiti na yule Mbunge wa zamani wa Viti Maalum
 
Hee, kumbe na wewe umeshakuwa mwana CHADEMA? Maana siku chache zilizopita uliwaita CHADEMA hivi:
Machizi kama hao ni wakuwapotezea tu,maana hajui Jana aliongea nini na leo anaongea nini
 
wewe unazitaka hesabu za nini, umewawezesha hata kwenye mafuta tu ya gari kwenda mitaani???!!!??, umechangia nini kwenye JOIN THE CHAIN!!??!!??,tafuta pesa zako acha kuhoji kuhusu pesa za wengine usizozitolea jasho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…