ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #21
Sukima gang mbona mnateseka shida nini? Chadema Hawa wamezua jambo π€£π€£ππNitajie Kiongozi mkuu mmoja tu ambaye siyo Sukuma gang
Maeneo tegemeo ya uchumi Zanzibar, DSM na Arusha
Mihimili ya DOLA
KKKT, Bakwata, TEC
Halafu we Msafwa unayetawaliwa na Wanyakyusa na Wakinga kwenye Ardhi Yako unaleta upumbaf πππ
πππSukima gang mbona mnateseka shida nini? Chadema Hawa wamezua jambo π€£π€£ππ
Ndio nasafa ila Sasa suku gang mnateseka sana baada ya kuumbuka kumbe jama yenu alikataliwa Toka nyumbani kwoa π€ͺπ€ͺπππ
Msafwa unasafa ππππ
Sukuma gang wamejaa bungeni kasoro Wasafwa tu mnawakilishwa na WanyakyusaNdio nasafa ila Sasa suku gang mnateseka sana baada ya kuumbuka kumbe jama yenu alikataliwa Toka nyumbani kwoa π€ͺπ€ͺ
Sasa mbona unateseka baada ya kufahamu Jamaa yenu alikaliwa nyumbani Duniani na mbinguni? ππSukuma gang wamejaa bungeni kasoro Wasafwa tu mnawakilishwa na Wanyakyusa
Kwako Mnyiha Lucas ππππ
Akiwa Waziri wa Ujenzi alitembelea chato na kupokea risala ya wananchi waliomtaka kusaidia ujenzi wa barabara ya lami kwenye eneo lao, maana alikuwa mbunge wao.Kumbe Mzilankende Magufuli alikuwa hakubaliki Hadi kwao πππ
My Take: Chadema acheni kutoa Siri za Wakubwa ππ
====
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeeleza nia yake ya kulitwaa Jimbo la Chato kwa kushinda viti vingi katika uchaguzi wa serikali za mitaa baadaye mwaka huu na ule wa ubunge na madiwani mwakani.
Jimbo hilo ambalo kwa muda mrefu tangu likiwa Biharamulo Magharibi mwaka 1995 hadi lilipoitwa Chato baada ya kuanzishwa wilaya, lilikuwa chini ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dk. John Magufuli mpaka mwaka 2015 na baada ya hapo Dk. Medard Kalemani mpaka sasa.
Mwenyekiti wa Kanda ya Victoria, Hezekiah Wenje, ambaye anawania tena nafasi hiyo, amesema kuwa Chato ni moja ya majimbo yaliyoko katika kanda hiyo ambayo wamepania kushinda yote katika uchaguzi ujao.
"Kwa kanda nzima ya Victoria katika majimbo 25, mpango wetu ni kupata majimbo si chini ya 16 likiwamo la Chato na uwezekano upo. Tumeshafanya tathmini na utafiti wa kutosha.
"Kwa mfano Jimbo la Chato tumewahi kuongoza serikali za vijiji vingi kuliko Chama Cha Mapinduzi (CCM) tena kipindi cha Magufuli," amesema.
NIPASHE
Yule Mzee wenu alikuwaga na laana ππππAkiwa Waziri wa Ujenzi alitembelea chato na kupokea risala ya wananchi waliomtaka kusaidia ujenzi wa barabara ya lami kwenye eneo lao, maana alikuwa mbunge wao.
Aliwajibu hivi, nanukuu "Nasikia mnaweka majungu hapa kwamba siwasaidii, mimi ni waziri wa nchi nzima siyo wa chato tu, kama mnataka lami kunyeni mavi yenu myasilibe iwe lami" mwisho wa kunukuu, uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 wazee wakasema sasa tutamuonyesha, Chadema ilichukua vijiji vyote kikiwemo kijiji alichoishi, 2015 alikuwa ang'olewe kwenye ubunge, ashukuru rafu za kikwete na majina ya mfukoni
ππππKumbe Mzilankende Magufuli alikuwa hakubaliki Hadi kwao πππ
Bado Kuna watu wanaamini katika hizo chaguzi za kishenzi?ccm wakishinda majimbo yote 25 wasije kusema wameibiwa kura tena,
wao wamejipanga majimbo 16 tu...
uhusiano wake na watu wa Chato ulirejeshwa baada ya kuwa Rais, hakuna aliyempendaYule Mzee wenu alikuwaga na laana ππππ
unawauliza chama chako chadema kwamba ni washenzi sio? π€£Bado Kuna watu wanaamini katika hizo chaguzi za kishenzi?
16 Kwa kanda ya Victoria sio Tanzania nzimaccm wakishinda majimbo yote 25 wasije kusema wameibiwa kura tena,
wao wamejipanga majimbo 16 tu...
Haahahaha sukuma gang hawaelewi washike wapiππππ¨ Chadema nawashukuru sana kwa.hii habari iliyowatoa pangoni Sukuma gang wote π€ͺπ€ͺ
Arusha hatuna msukuma zaidi ya kikaragosi kilicholetwa hivi majuziNitajie Kiongozi mkuu mmoja tu ambaye siyo Sukuma gang
Maeneo tegemeo ya uchumi Zanzibar, DSM na Arusha
Mihimili ya DOLA
KKKT, Bakwata, TEC
Halafu we Msafwa unayetawaliwa na Wanyakyusa na Wakinga kwenye Ardhi Yako unaleta upumbaf πππ
Ndio maana wanajutia kama chama maana mwendazake alikuwa hafai haga kuwa mtendaji wa mtaa au balozi wa nyumba 10Ujinga ni mzigo, mleta hoja utasemaje Magufuli hakukubalika Chato ili hali cabinet nzima ya chama chako mkampa akiongoze huku mkijua fika hajawahi hata kuwa balozi tu wa ccm?
Alipowanyoosha na lisisiem lenu la mafisadi mkamuundia zengwe mtu wa watu
Mbona Wewe Wasafwa wenzako hawakutaki wanamtaka Dr Mwansasu PhD? πππSasa mbona unateseka baada ya kufahamu Jamaa yenu alikaliwa nyumbani Duniani na mbinguni? ππ
Upendo mtoto wa juzi, we lini ulisikia JPM kamshinda mgombea wa chadema zaidi ya kupitishwa bila kupingwa??Chato walipata kura nyingi sababu ya juhudi binafsi za Upendo Peneza ambayo sasa kahΓ mia CCM na timu yake Toka Chadema
2014-2019 chadema ilikua na viti vingi kuliko CCM hapo Chato. Kitaifa chadema ilikua na 40% ya vitongoji/vijiji na mitaa. Ule uchaguzi wa 2014 ulikua hot sana ila JPM akauharibu wa 2019 ambapo 90% ya wagombea wa CCM walipita bila kupingwa.Kabla ya 2015 kuna maeneo watu waliogopa hata kuvaa nguo za ccm.
Labda tungeambiwa hivyo vijiji chadema walishinda mwaka gani.
Nawashukuru Chadema kufunua Siri ya wenye laana ππππMbona Wewe Wasafwa wenzako hawakutaki wanamtaka Dr Mwansasu PhD? πππ
Chadema Chato na CCM Chato ni kabila hilo hilo we Tutusa πππ
Mdude ni Msafwa yule mpelekeni bungeni kama Wasafwa wa CCM ni mabumunda π€£π€£π€£πΌ