Pre GE2025 CHADEMA: Tunakusudia kutwaa Jimbo la Chato uchaguzi wa 2025. Tumewahi shinda vijiji vingi kuliko CCM na Magufuli akiwepo

Pre GE2025 CHADEMA: Tunakusudia kutwaa Jimbo la Chato uchaguzi wa 2025. Tumewahi shinda vijiji vingi kuliko CCM na Magufuli akiwepo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kumbe Mzilankende Magufuli alikuwa hakubaliki Hadi kwao 😁😁😁

My Take: Chadema acheni kutoa Siri za Wakubwa πŸ˜‚πŸ˜‚

====

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeeleza nia yake ya kulitwaa Jimbo la Chato kwa kushinda viti vingi katika uchaguzi wa serikali za mitaa baadaye mwaka huu na ule wa ubunge na madiwani mwakani.

Jimbo hilo ambalo kwa muda mrefu tangu likiwa Biharamulo Magharibi mwaka 1995 hadi lilipoitwa Chato baada ya kuanzishwa wilaya, lilikuwa chini ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dk. John Magufuli mpaka mwaka 2015 na baada ya hapo Dk. Medard Kalemani mpaka sasa.

Mwenyekiti wa Kanda ya Victoria, Hezekiah Wenje, ambaye anawania tena nafasi hiyo, amesema kuwa Chato ni moja ya majimbo yaliyoko katika kanda hiyo ambayo wamepania kushinda yote katika uchaguzi ujao.

"Kwa kanda nzima ya Victoria katika majimbo 25, mpango wetu ni kupata majimbo si chini ya 16 likiwamo la Chato na uwezekano upo. Tumeshafanya tathmini na utafiti wa kutosha.

"Kwa mfano Jimbo la Chato tumewahi kuongoza serikali za vijiji vingi kuliko Chama Cha Mapinduzi (CCM) tena kipindi cha Magufuli," amesema.

NIPASHE
Hata samia hakubaliki Zanzibar na huku hatumtaki
 
Hata samia hakubaliki Zanzibar na huku hatumtaki
Samia wa wapi ambae hakubaliki Zanzibar? Nitajie story zake za kukirihisha kama za Magufuli aliyekuwa anatukana watu hovyo baada ya kukataliwa kwao?

Pili Samia ndio Rais wako so long as vyombo vinamtaka,wajinga hawawezi ruhusiwa kuchagua Rais ,nyie mtachagua wa chini.
 
Samia wa wapi ambae hakubaliki Zanzibar? Nitajie story zake za kukirihisha kama za Magufuli aliyekuwa anatukana watu hovyo baada ya kukataliwa kwao?

Pili Samia ndio Rais wako so long as vyombo vinamtaka,wajinga hawawezi ruhusiwa kuchagua Rais ,nyie mtachagua wa chini.
Lakini ukweli upo pale pale hakubaliki popote labda wajinga na machawa kama wewe mpige kula wenye akili tusipige
 
Lakini ukweli upo pale pale hakubaliki popote labda wajinga na machawa kama wewe mpige kula wenye akili tusipige
Angekuwa hakubaliki anaekubalika si angekuwa Rais? 🀣🀣🀣🀣🀣

Mbona Mimi namkubali
 
Mbeya wameshindwa wataweza Chato? πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜‚
Unakumbuka 2020 mkuu wa mkoa wa Mbeya Kaka yako Chalamila aliapa kwamba hawezi kumtangaza mpinzani kuwa mshindi
Umesahau alivyomzukia sugu kesi za michongo.
Mbeya labda wagawe Jimbo, vinginevyo wakubwa watabwagwa.
 
Wewe chawa mpenda uchafu?
Uchafu upi? In fact Mimi nachukia uchafu kama huu wa Sukuma gang ambao Samia aliufuta.πŸ‘‡πŸ‘‡
Screenshot_20221119-094007.png
Screenshot_20221119-093841.png
 
Back
Top Bottom