CHADEMA/ Tundu Lissu

S.M.P2503

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2008
Posts
2,421
Reaction score
4,344
CHADEMA,

Fanyeni upesi, mtuletee Tundu Lissu aje Kumjambisha huyu wa maendeleo ya vitu Kuliko watu.

Lissu anafaa sana na ana vigevyo vyote. Pombe ikichacha humwagwa, nani wa kuimwaga basi, ni Lissu.

Pombe ya bia haiwezi kujiona bora bila kupambanishwa na vileo vingine kama gongo, whiskey, Wine na nyingine.

Mtanange huu utakuwa burudani tosha tu kama CDM mtapitisha huyu Lissu aliyeponoea chupu chupu. Mleteni tafadhari upesi aje amjambishe Pombe… Tafadharini sana , mleteni upesi, ni yeye tu anaye mumudu na sio Membe wala mwingine.

pombe, kura yangu unayo ikiwa tu utaahidi na kutekeleza yote yanayosemwa na wapinzania wako- Tume huru ya uchaguzi, katiba mpya, haki za kuishi na binadamu, uhuru wa kujieleza , kukubali kukoselewa, kutowaonea watu kwa kesi za kubumba na kutowapa dhamana na mengineyo mengi... haya ukiyafanya bila vitisho, basi maendeleo yote ya vitu uliyofanya yatakuwa na maana zaidi na heshima yako itakumbukwa hadi mwisho wa ulimwengu, sifa zako zitaenea kama za baba wa Taifa.. si ni hayo unayotaka au nimekosea?

@ Chadema,mMkifanya makosa ya 2015- yale ya Lowasa na gia za angani (kama zipo au la), hata mimi na team yangu nitampigia Pombe . Ni hayo, mwenye kusikia na asikiye, mwenye kuona na aone, mwenye kuguswa na aguswe na mwenye wivu anywe simu , ni maoni yangu, ruksa kutofautiana bila mkwaruzo wala matusi.
 
Tulieni tunakisuka CHADEMA na mtafurahi wenyewe mwaka huu, peopleeeeeeesss!!!
 
Sidhani kama Lisu atapata nafasi na kuomba nafasi ya Urais ndani ya ardhi ya Tanzania Chini ya Magufuli.

Yaani Magufuli amruhusu Lisu wapambane kwa hoja jukwaani thubutu.
 
Lisu ni msomi mjenga hoja na hoja kuzijibu ujipange sana. Kuna wakat natamani nirudi utotoni nipige kitabu kama hyu nguli!! Kiukweli Vijana wengi ni wafuasi wa Lisu. Kama CDM wanataka royalty ya wanachama iongezeke wampe karata hyu MTU!!
 
Sidhani kama Lisu atapata nafasi na kuomba nafasi ya Urais ndani ya ardhi ya Tanzania Chini ya Magufuli.

Yaani Magufuli amruhusu Lisu wapambane kwa hoja jukwaani thubutu.

Amruhusu tu bila mkwaruzo- Kichuguu na Nguchiro wanaichi Nyumba moja bila mkwaruzo ingawaje inajulikana nani ni nani kati yao...
 
Lisu ni msomi mjenga hoja na hoja kuzijibu ujipange sana. Kuna wakat natamani nirudi utotoni nipige kitabu kama hyu nguli!! Kiukweli Vijana wengi ni wafuasi wa Lisu. Kama CDM wanataka royalty ya wanachama iongezeke wampe karata hyu MTU!!

Labda CDM watasikia pia kilio hiki...
 
Kama ni muhimu Lissu aje agombee, mleteni tuu tupunguze ngebe ya Chadema. Nadhani wanampango wa kumtumia Lissu awapeleke Msalani kwa ajili ya haja kubwa na ndogo lakini sio kuwapeleka Ikulu.,
Inawezekana akija na kundi lake la Mashoga anao ishi nao wanaweza kupata matokeo chanya.
 
Lissu yupi?

Au unamsemea huyu Lissu shoga na kibalaka wa mabeberu!!
 
CHADEMA,

Fanyeni upesi, mtuletee Tundu Lissu aje Kumjambisha huyu wa maendeleo ya vitu Kuliko watu.

Lissu anafaa sana na ana vigevyo vyote. Pombe ikichacha humwagwa, nani wa kuimwaga basi, ni Lissu.

Pombe ya bia haiwezi kujiona bora bila kupambanishwa na vileo vingine kama gongo, whiskey, Wine na nyingine.

Mtanange huu utakuwa burudani tosha tu kama CDM mtapitisha huyu Lissu aliyeponoea chupu chupu. Mleteni tafadhari upesi aje amjambishe Pombe… Tafadharini sana , mleteni upesi, ni yeye tu anaye mumudu na sio Membe wala mwingine.

pombe, kura yangu unayo ikiwa tu utaahidi na kutekeleza yote yanayosemwa na wapinzania wako- Tume huru ya uchaguzi, katiba mpya, haki za kuishi na binadamu, uhuru wa kujieleza , kukubali kukoselewa, kutowaonea watu kwa kesi za kubumba na kutowapa dhamana na mengineyo mengi... haya ukiyafanya bila vitisho, basi maendeleo yote ya vitu uliyofanya yatakuwa na maana zaidi na heshima yako itakumbukwa hadi mwisho wa ulimwengu, sifa zako zitaenea kama za baba wa Taifa.. si ni hayo unayotaka au nimekosea?

@ Chadema,mMkifanya makosa ya 2015- yale ya Lowasa na gia za angani (kama zipo au la), hata mimi na team yangu nitampigia Pombe . Ni hayo, mwenye kusikia na asikiye, mwenye kuona na aone, mwenye kuguswa na aguswe na mwenye wivu anywe simu , ni maoni yangu, ruksa kutofautiana bila mkwaruzo wala matusi.
siku anakuja RAIS nchi unasimama, police pigeni mabomu hadi mchoke hamtatuweza..,


Kuhusu ulinzi tutamlinda wenyewe kuanzia airport hadi kwake siku zote hadi anaapishwa... kabla ya kumuua tena mtatuua kama 1000.....na zaidi.

Habari ndiyo hiyo.....Rais mbeba maono!! Hafi tena!!
 
CHADEMA,

Fanyeni upesi, mtuletee Tundu Lissu aje Kumjambisha huyu wa maendeleo ya vitu Kuliko watu.

Lissu anafaa sana na ana vigevyo vyote. Pombe ikichacha humwagwa, nani wa kuimwaga basi, ni Lissu.

Pombe ya bia haiwezi kujiona bora bila kupambanishwa na vileo vingine kama gongo, whiskey, Wine na nyingine.

Mtanange huu utakuwa burudani tosha tu kama CDM mtapitisha huyu Lissu aliyeponoea chupu chupu. Mleteni tafadhari upesi aje amjambishe Pombe… Tafadharini sana , mleteni upesi, ni yeye tu anaye mumudu na sio Membe wala mwingine.

pombe, kura yangu unayo ikiwa tu utaahidi na kutekeleza yote yanayosemwa na wapinzania wako- Tume huru ya uchaguzi, katiba mpya, haki za kuishi na binadamu, uhuru wa kujieleza , kukubali kukoselewa, kutowaonea watu kwa kesi za kubumba na kutowapa dhamana na mengineyo mengi... haya ukiyafanya bila vitisho, basi maendeleo yote ya vitu uliyofanya yatakuwa na maana zaidi na heshima yako itakumbukwa hadi mwisho wa ulimwengu, sifa zako zitaenea kama za baba wa Taifa.. si ni hayo unayotaka au nimekosea?

@ Chadema,mMkifanya makosa ya 2015- yale ya Lowasa na gia za angani (kama zipo au la), hata mimi na team yangu nitampigia Pombe . Ni hayo, mwenye kusikia na asikiye, mwenye kuona na aone, mwenye kuguswa na aguswe na mwenye wivu anywe simu , ni maoni yangu, ruksa kutofautiana bila mkwaruzo wala matusi.
Hoja ya kumpambanisha TL na JPM ni mfu kabisa.

2015 ilikuwa mabadiliko mwaka huu mnapambanisha TL na JPM, mtu kwa mtu?
JPM anahitajika na WATZ kuliko kitu chochote.
 
Hoja ya kumpambanisha TL na JPM ni mfu kabisa.

2015 ilikuwa mabadiliko mwaka huu mnapambanisha TL na JPM, mtu kwa mtu?
JPM anahitajika na WATZ kuliko kitu chochote.

Watanzania wa kusujudu ndio wanamzimia... mtu lazima apambanishwe na mtu na si vinginevyo, sera kwa sera... huyu JPM kosa lake kubwa ni kuzuia wengine wasipate majukwaa ya kisiasa, sasa uchaguzi umefika na watu wengi masikio na macho yao yote yako huko kwake... Je atatoboa au itakuwa yale mambo ya Ivory coast na Rais wao wa zamani Laurent Gbabo?
 
HUU NDO UKWELI TUNDU LISSU HAWEZI RUDI NCHINI, LABDA KAMA TUME YA UCHAGUZI INA SHERIA YA KUWEKA KWENYE KARATASI YA KURA PICHA YA MCHONGO WA RISASI-PHOTOSHOPS* Naa *Joseph Yona*

*MbagalaZmaHome*
yonapavea@gmail.com 0713802226.

[emoji3513]Simu Zinaendelea Kumiminiwa kutoka makao Makuu Ya Chadema, kuwa Yona uliwaambia watu kuwa uchaguzi wa mitaa *Tundu Lissu* hatarudi nchini wakabisha, Leo hapa Makao Makuu tunahaha kwani Mpaka leo Dalili ya LISSU kutua nchini haipo, kwani anahofia kukamatwa kwa kucheza njama za wizi wa makanikia akiwa Moja ya mwanasheria wa ACACIA.

*NI HIVI*
Mgombea ambaye Chadema walimtengeneza awe mgombea wao wa Urais 2020 ni *Tundu Lissu* huyu mkakati ulianza mapema kwa kumtandika Risasi ili akakae nje ya nchi Ubeligiji, ili mwaka 2019 aje asaidie chama kupata mitaa mingi, vijiji na vitongoji na Baadaye 2020 aingie kwenye kinyang'anyiro cha Urais (Mikakati ulibuma).

Na huyu Umoja wa ulaya baada ya mkakati wa Risasi ilitakiwa apewe pesa afanye makongamano ya uongo nje ya nchi na abebwe na media zao, wampenyeze ashinde waje wachukue chao mapema hasa Madini, Gesi nk.

Pia wakati wa kampeni, Hotuba zake zijae majonzi ya Risasi na mikutano yake ijae mapicha mapicha ya kupigwa Risasi, akiwa Hospitali, Sema naona mkakati umebuma.
Na hapa Chadema wamegundua anaweza asirudi kwa tuhuma za wizi wa madini na hasa baada ya kuona juzi Swahiba wa LISSU kwa jina la MWANYIKA aliyekuwa Mkurugenzi wa ACACIA akiachiwa kwa Dhamana kubwa ya Bilion tatu na wenzake.
 
Ye ni nani paka akatae, kama kuwaburuza awaburuze haohao wa chama chake
Sidhani kama Lisu atapata nafasi na kuomba nafasi ya Urais ndani ya ardhi ya Tanzania Chini ya Magufuli.

Yaani Magufuli amruhusu Lisu wapambane kwa hoja jukwaani thubutu.
 
Ni hivi:
kwa mahojiano na Generali ulimwengu, wapangua hoja wa ccm kazi wanayo...
1. Mikataba chato airport, stiglers , sgr etc ipo?
2. kama ipo, ilipelekwa bungeni? Ilijadiliwa lini na Bunge au na kamati zake?
3. Hansard za Bunge zinasemaje kuhusu majadiriano hayo kama yapo? Toeni copy tafadhari

4. Ni kweli kwamba pombe hana tofauti na watanguluzi wake kwa mambo ya mikataba na kulinda madini ?
5. Ugumu uko wapi kwa ccm au serikali kumaliza mchakato wa tume huru ya Uchaguzi, katiba na uhuru wa jeshi la polisi lisiloegemea upande wowote?

Hayo na mengine yote yanapangulika na takwimu pia hard evidence... Serikali iwaonee huruma Raia wake na kuwaLinda kama viapo vyao vinavyotaka...

shughuli ndio kwanza imeanza...
 
W
Sidhani kama Lisu atapata nafasi na kuomba nafasi ya Urais ndani ya ardhi ya Tanzania Chini ya Magufuli.

Yaani Magufuli amruhusu Lisu wapambane kwa hoja jukwaani thubutu.
Why?Hon.Lissu is he not a Tanzanian?Is Hon.Magufuli responsible to decide who are other Presidential elections contestants from different political parties?Why him?Why not Lissu?
 
Back
Top Bottom