Unaweza kutoka machozi
Nimecheka Sana !Hivi hawa hawana habari za ndege kununua kwa cash? Hawajui SGR?
Mbona wako hivi hawa? Jee hawana habari za kuunga mkono juhudi kwa kina Nasari, Gekule, Silinde, na madiwani wengi tuu? Hata daraja la mfugale ambalo ni la aina yake barani Afrika?
Silinde alirudi kule upande wa pili.Ahh Nilijua silinde!
Kmbe kamanda mwakajoka [emoji109]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Na hii ndo itakuwa hali halisi mwaka huu. Hakuna namna CCM itaishinda Chadema mwaka huu si udiwani, si ubunge wala si UraisiTUNDUMA MAMBO MOTO.
Wanachama wa chadema na Wananchi jana wamemsindikiza mbunge wao Frank Mwakajoka Kuchukua Form ya Ubunge Jimbo hilo...
#niyeye2020
https://www.facebook.com/
Ahh Nilijua silinde!
Kmbe kamanda mwakajoka [emoji109]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Akaomba kura kwa kupiga magoti mithili ya Mtumwa lakini akapigwa chiniSilinde alirudi kule ulande wa pili.
Kina mama wa Mbeya huwa nawaelewa sana, hawanaga shobo na mboga mboga wamejitambua kitambo sana.TUNDUMA MAMBO MOTO.
Wanachama wa chadema na Wananchi jana wamemsindikiza mbunge wao Frank Mwakajoka Kuchukua Form ya Ubunge Jimbo hilo...
#niyeye2020
https://www.facebook.com/