patachimbika !CCM ipo kimya inapanga namna ya kuwaengua wagombea wa upinzani
Hakuna kitu mkuu, mbona serikali za mitaa tulishindwa?patachimbika !
Si mpaka kwanza awe rais!Silinde spana zimekaza; angoje JIWE amteue Kuwa DC na huo ndio utakuwa mwisho wake!!!
Mwaisa,lile tundu lake la moyo linalomfanya aogope kupanda ndege safari hii litaongezeka ukubwa....TUNDUMA MAMBO MOTO.
Wanachama wa chadema na Wananchi jana wamemsindikiza mbunge wao Frank Mwakajoka Kuchukua Form ya Ubunge Jimbo hilo...
#niyeye2020
https://www.facebook.com/
Haaahaaaa itakua hao wote wamenunuliwa na mabeberu mkuu ama wana vyeti feki na wahujumu uchumi.Hivi hawa hawana habari za ndege kununua kwa cash? Hawajui SGR?
Mbona wako hivi hawa? Jee hawana habari za kuunga mkono juhudi kwa kina Nasari, Gekule, Silinde, na madiwani wengi tuu? Hata daraja la mfugale ambalo ni la aina yake barani Afrika?
Tweeeeendee sasaaaTUNDUMA MAMBO MOTO.
Wanachama wa chadema na Wananchi jana wamemsindikiza mbunge wao Frank Mwakajoka Kuchukua Form ya Ubunge Jimbo hilo...
#niyeye2020
https://www.facebook.com/
Ni homa ya vipindi!! Balaa!!Kuna watu wanateseka
Hawajawahi kuyaona wala kufahamu faida ya hivyo vitu kwao.Ndiyo maana hawa wananchi wanaoitwa wanyonge wanataka kufanya uchaguzi wa kupata viongozi wa kuwatoa katika lindi la unyonge walikotumbukizwa na CCM kwa miaka sawa na nusu karne.Hivi hawa hawana habari za ndege kununua kwa cash? Hawajui SGR?
Mbona wako hivi hawa? Jee hawana habari za kuunga mkono juhudi kwa kina Nasari, Gekule, Silinde, na madiwani wengi tuu? Hata daraja la mfugale ambalo ni la aina yake barani Afrika?
Hapa lazima itafutwe sheria ya kidhibiti mikusanyiko hasa kipindi hiki cha uchaguzi sababu Corona haijaisha.Unaweza kutoka machozi
Mwana kuli- faindi.....Silinde amejivua nguo sana.
Watanzania wameamua aiseeTUNDUMA MAMBO MOTO.
Wanachama wa chadema na Wananchi jana wamemsindikiza mbunge wao Frank Mwakajoka Kuchukua Form ya Ubunge Jimbo hilo...
#niyeye2020
https://www.facebook.com/
Haiwezekani.CCM ipo kimya inapanga namna ya kuwaengua wagombea wa upinzani
Wannchi wameamua kumtosa Rais aliyeshindwa kuwaongoza.Hivi hawa hawana habari za ndege kununua kwa cash? Hawajui SGR?
Mbona wako hivi hawa? Jee hawana habari za kuunga mkono juhudi kwa kina Nasari, Gekule, Silinde, na madiwani wengi tuu? Hata daraja la mfugale ambalo ni la aina yake barani Afrika?
Hali ni tete! Kuna watu wanasema CCM wamrkaa kimya wakijipanga.....unajiukiza wanajipanga vipi wakati hawajapata hata wagombea ktk majimbo yao?? Mbona wana kigugumizi hawa chama la wana??Sasa Basi
Hongera wajumbe!!akaomba kura kwa kupiga magoti mithili ya Mtumwa lakini akapigwa chini