Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Wakuu nina imani mko powa, leo kuna jambo limenistaajabisha sana. Moja ya ngome zetu kuu kama chama ni nyanda za juu kusini, ikiwemo mikoa ya Mbeya, Iringa na Njombe. Kama tunavyofahamu sasa hivi kuna kampeni zinaendelea kila mahali za urais, ubunge na udiwani.
Chama chetu ninaona kabisa kuna sehemu hakijajiandaa au kuna tatizo lipo ambalo pengine viongozi hawataki kuliweka wazi. Mkoa wa Njombe ni moja ya mikoa ya kimkakati lakini nguvu iliyopelekwa huko haitoshi kabisa.
Kampeni za ubunge na udiwani hazina watu wa kusikiliza na kuishia kubaki mgombea na viongozi wachache.
Ni lazima tuangalie wapi tumejikwaa na sio kulalamika tulipoangukia. Njombe tunaenda kupoteza kura nyingi sana kama hali itaendelea kuwa hivi.
Picha chini ya mkutano wa kampeni huko Njombe.
Chama chetu ninaona kabisa kuna sehemu hakijajiandaa au kuna tatizo lipo ambalo pengine viongozi hawataki kuliweka wazi. Mkoa wa Njombe ni moja ya mikoa ya kimkakati lakini nguvu iliyopelekwa huko haitoshi kabisa.
Kampeni za ubunge na udiwani hazina watu wa kusikiliza na kuishia kubaki mgombea na viongozi wachache.
Ni lazima tuangalie wapi tumejikwaa na sio kulalamika tulipoangukia. Njombe tunaenda kupoteza kura nyingi sana kama hali itaendelea kuwa hivi.
Picha chini ya mkutano wa kampeni huko Njombe.