CDM hawezi kushinda mkoa wa Njombe na Ruvuma hata jimbo Moja na hawatawekeza nguvu Huko maana haiwezekani kushinda maeneo hayo.
ACT wanaweza kuweka upinzani majimbo ya Tunduru ila kushinda pia ni ngumu.
Nafikiri wameshafanya tathmini maeneo wanayoweza kushinda ni Iringa mjini na Mbeya mjini.
Ukisema Ngome ya CDM ukaijumuisha na Njombe nitashangaa.
Iringa pia ni jimbo moja tu la Iringa mjini ambalo linahistoria Toka NCCR likarudi CCM sasa CDM.
kwahiyo sio mkoa Mzima. Majimbo mengine yote uwezekano wa CDM kushinda ni mdogo Sana.
CDM iwekeze sana nguvu Iringa mjini na Mbeya mjini haya majimbo ni muhimu Sana. Iachane na maeneo isiyo na nguvu Kama Njombe.
Sent from my Infinix X603 using
JamiiForums mobile app