Uchaguzi 2020 CHADEMA tuwekeze nguvu mkoa wa Njombe, bila hivyo tutaaibika

Mi nakuamini kamanda. Nguvu moja
 
Endeleza tu propaganda uchwara Mataga ila jua kanda ya nyasa CCM mnapotezwa vibaya mwaka huu. Si iringa si Mbeya si songwe si njombe. Watu wa kule wana uelewa sana. Nimewapenda kwa kweli!!a
Tupo njiani tunaelekea huko hautaamini kwamba chadema haina chake nyasa.Na hapo ndiyo mtatundika daruga tunajua Lissu anayo return airticket ya kurudi kwao.Maana baada ya uchaguzi we want to revisit his ........
 
Tupo njiani tunaelekea huko hautaamini kwamba chadema haina chake nyasa.Na hapo ndiyo mtatundika daruga tunajua Lissu anayo return airticket ya kurudi kwao.Maana baada ya uchaguzi we want to revisit his ........
Mnafikili Lissu anatishwa,,,,,,,,,,kama Risasi hazikumnyamazisha,,manafikili maneno yenu na vitisho vitamnyamazisha,,
TL is here to stay,, na kupambana na uongozi wenu usio wa haki,,,,,,,,,,We will fight back.
 
Tupo njiani tunaelekea huko hautaamini kwamba chadema haina chake nyasa.Na hapo ndiyo mtatundika daruga tunajua Lissu anayo return airticket ya kurudi kwao.Maana baada ya uchaguzi we want to revisit his ........
Thubutu yenu. Ccm Ngome yenu mwaka huu ni Geita tu!!!
 
Ngoja waje wanasaccos! 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…