Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #221
Ninasoma vema mjadala mzuri sana unaoendelea. Nichangiesenti sumuni
Tunahitaji mabadiliko, suala ni njia gani mabadiliko hayo yafanyike, kwa kuongozwa na nani na mwisho wake uwe nini
Mabadiliko yanaweza kuja kama upinzani na chuki dhidi ya (passive) au yanayohitajika kwa ulazima(passive aggressive) au yale ya nguvu (radical changes)
Vyama vya upinzani vimepita katika passive. Baada ya kuunda UKAWA umma ukaunga mkono kuelekea ‘passive aggressive' na kwasasa ni radical changes
Wpinzani wanapaswa si kukumbatia sherehe bali kujipanga. Tumeeleza mara nyingi kuhusu Pundits, strategists n.k.
Bandiko moja JokaKuu kazunguzia kidogo. Tutafafanua maana ya hili kadri tunavyosonga mbele
Prof Lipumba:
Katika press conference alisema 'nilishiriki kuunda UKAWA, kumkaribisha Lowassa na vikao vyote. Lakini dhamira inanisuta'
Bila kujali Prof amesimama upande gani wa ukweli au uongo kuna jambo amefanikiwa.
Kukiri ameshiriki hatua zote na kwamba nafsi inamsuta ilikuwa muhimu sana kwake
Kila anapoulizwa swali, jibu lake ni' ndiyo na nafsi inamsuta.
Kwa msingi huo, maswali yaliyotarajiwa yanakufa na kilichobak watu kusema hili au lile kuhoji uadilifu wake n.k.
Haya nikwa sababu approach yake kisiasa ilikuwa nzuri ‘ujumla'
Mansour Himid
ni mwanasiasa tunayetofautiana naye katika msimamo wake wa kuisumanga Tanganyika ingawa sote ni waumini wa S3.
Sisi tukiamini serikali 3 ni suala la mfumo na fairness, yeye akiamini ni suala la uonevu waTanganyika
Pamoja na tofauti zetu, kuna jambo amelifanya ambalo kisiasa ni zuri.
Baada ya kufukuzwa alichukua muda wa kipindi cha mpito(transition period)
Alipojiunga CUF, katika mikutano amekikiri kuwa sehemu ya mfumo uliokandamiza na uliowahukumu wapinzani kihila n.k.
Na kila mara amesema anaomba mungu na wananchi wamsamehe.Tena husema hadharani
Focus ya watu inaondoka katika kumtazama kama mhaini, inalenga kumtazama kwa mwana mpotevu na kusikiliza anasema nini, anajutia nini na anashauri nini.
Hakabiliani na maswali reja reja kwasababu alifanya approach ya jumla kama Lipumba
Tunafahamu siasa zetu si za sera wala itikadibali personality. Hilo si tatizo kubwa ukilinganisha na mfumo usiotaka mabadiliko wala kubadili mitazamo ya watukuhusu chaguzi.
Hivyo, mabadiliko yakuondoa ‘tembo' chumbani yanahitajika
Inaendelea
Tunahitaji mabadiliko, suala ni njia gani mabadiliko hayo yafanyike, kwa kuongozwa na nani na mwisho wake uwe nini
Mabadiliko yanaweza kuja kama upinzani na chuki dhidi ya (passive) au yanayohitajika kwa ulazima(passive aggressive) au yale ya nguvu (radical changes)
Vyama vya upinzani vimepita katika passive. Baada ya kuunda UKAWA umma ukaunga mkono kuelekea ‘passive aggressive' na kwasasa ni radical changes
Wpinzani wanapaswa si kukumbatia sherehe bali kujipanga. Tumeeleza mara nyingi kuhusu Pundits, strategists n.k.
Bandiko moja JokaKuu kazunguzia kidogo. Tutafafanua maana ya hili kadri tunavyosonga mbele
Prof Lipumba:
Katika press conference alisema 'nilishiriki kuunda UKAWA, kumkaribisha Lowassa na vikao vyote. Lakini dhamira inanisuta'
Bila kujali Prof amesimama upande gani wa ukweli au uongo kuna jambo amefanikiwa.
Kukiri ameshiriki hatua zote na kwamba nafsi inamsuta ilikuwa muhimu sana kwake
Kila anapoulizwa swali, jibu lake ni' ndiyo na nafsi inamsuta.
Kwa msingi huo, maswali yaliyotarajiwa yanakufa na kilichobak watu kusema hili au lile kuhoji uadilifu wake n.k.
Haya nikwa sababu approach yake kisiasa ilikuwa nzuri ‘ujumla'
Mansour Himid
ni mwanasiasa tunayetofautiana naye katika msimamo wake wa kuisumanga Tanganyika ingawa sote ni waumini wa S3.
Sisi tukiamini serikali 3 ni suala la mfumo na fairness, yeye akiamini ni suala la uonevu waTanganyika
Pamoja na tofauti zetu, kuna jambo amelifanya ambalo kisiasa ni zuri.
Baada ya kufukuzwa alichukua muda wa kipindi cha mpito(transition period)
Alipojiunga CUF, katika mikutano amekikiri kuwa sehemu ya mfumo uliokandamiza na uliowahukumu wapinzani kihila n.k.
Na kila mara amesema anaomba mungu na wananchi wamsamehe.Tena husema hadharani
Focus ya watu inaondoka katika kumtazama kama mhaini, inalenga kumtazama kwa mwana mpotevu na kusikiliza anasema nini, anajutia nini na anashauri nini.
Hakabiliani na maswali reja reja kwasababu alifanya approach ya jumla kama Lipumba
Tunafahamu siasa zetu si za sera wala itikadibali personality. Hilo si tatizo kubwa ukilinganisha na mfumo usiotaka mabadiliko wala kubadili mitazamo ya watukuhusu chaguzi.
Hivyo, mabadiliko yakuondoa ‘tembo' chumbani yanahitajika
Inaendelea

