Polisi yamtahadharisha Lowassa staili ya kampeni zake - Kitaifa | MwananchiHivi ni kweli polisi wamezuia wagombea urais wasipande dala dala au ni propogana kama zilivyo propogana nyingine??
Maana siamini kuwa Polisi wanaweza kuzuia mtu kutumia usafiri anaotaka. Hivi kesho Lowassa akipanda baiskeli na kwenda Kariakoo kufanya manunuzi yake utamzuia? ni sheria ipi waliyotumia kutoa zuio hili??
Hivi ni kweli polisi wamezuia wagombea urais wasipande dala dala au ni propogana kama zilivyo propogana nyingine??
Maana siamini kuwa Polisi wanaweza kuzuia mtu kutumia usafiri anaotaka. Hivi kesho Lowassa akipanda baiskeli na kwenda Kariakoo kufanya manunuzi yake utamzuia? ni sheria ipi waliyotumia kutoa zuio hili??
mkuu Alinda ni kweli kabisa, nimesikia mwenyewe EATV na pia wakamhoji mwabasheria fulani, nimemsahau jina kuhusu hilo, na akashangaa sana huku akisema polisi haina haki ya kumzuia yyt kutembea, bt ndio hivyo ruling imeshatolewa na polisi Dsm, sasa sijui watatii au watakomaa na sheria? Kazi ni kwao
Mkuu wakati naandaa bandiko ningependa kukumbusha kuwa hizo unazosema si sababu za PolisiPolisi ni chombo cha usalama wa raia. Kampeni za siasa ambazo zinaweza kuleta usumbufu wa watu zinaweza kukatazwa na polisi japokuwa hazifunji sheria.
Kwa mfano foleni ya magari ni kubwa sana jijini DSM. Kampeni ambazo zitaongeza foleni hizo zinaongeza usumbufu tu ambao unapunguza kiwango cha uzalishaji.
Hivi ni kweli polisi wamezuia wagombea urais wasipande dala dala au ni propogana kama zilivyo propogana nyingine??
Maana siamini kuwa Polisi wanaweza kuzuia mtu kutumia usafiri anaotaka. Hivi kesho Lowassa akipanda baiskeli na kwenda Kariakoo kufanya manunuzi yake utamzuia? ni sheria ipi waliyotumia kutoa zuio hili??
Mkuu wakati naandaa bandiko ningependa kukumbusha kuwa hizo unazosema si sababu za Polisi
Polisi wanasema, ziara hizo zinawaondoa wananchi katika shughuli zao za maendeleo
Concern ya Polisi si usalama per se, ni wananchi wanaondoka katika kazi zao. Swali, jeshi la polisi linafanya kazi za wizara ya kazi na maendeleo ya jamii? Ni wajibu wa polisi kusimamia kazi za watu? Jeshi linajua watu wangapi wanafanya kazi maeneo hayo? Jeshi limeweza kutoa ajira kwa wahusika?
Kazi ya jeshi la polisi ni kuzuia, kulinda amani na usalama wa wananchi.
Kama ni suala la kazi, vipi Magufuli jana kule Sumbawanga, wananchi hawakuacha kazi zao? Mbona jeshi linaona kazi za eneo moja la Dar na si Sumbawanga? Kwanini lisihimize wananchi warudi mashambani na kutumia mbegu bora za kilimo?
Yaani Tanzania kuna mambo ya ajabu hadi yanakufanya wakati mwingine uone hata aibu kuwa Mtanzania.
Ipo siku huyo Kova atampiga marufuku Lowassa kuwa hai kisa tu uwepo wake hai unasababisha mparaganyiko jijini.
NN
Ulitaka huyu jamaa aingie magogoni kilaini? Yaani achumie kivulini, alie kivulini, aende magogoni kivulini.
Polisi ni chombo cha usalama wa raia. Kampeni za siasa ambazo zinaweza kuleta usumbufu wa watu zinaweza kukatazwa na polisi japokuwa hazifunji sheria.
Kwa mfano foleni ya magari ni kubwa sana jijini DSM. Kampeni ambazo zitaongeza foleni hizo zinaongeza usumbufu tu ambao unapunguza kiwango cha uzalishaji.
Upande mwigine huko sawa kabisa ngoja walau hata wao waonje yale machungu wayapatayo wapinzani. Na hiki tunachokiona kwa Lowassa au Masha ni cha mtoto wapinzani wamepitia mengi.. Mfn uchanguzi wa serikali za mitaa huko Monduli, wapinzani alivyodharirishwa na kupigwa na polisi waliokuwa wametumwa na Lowassa.
Jana sikuumia kuomuona Masha akipanda karandinga bali nilifarijika maana alikuwa waziri wa mambo ya ndani, alikuwa na uwezo kuwa kupeleka miswada bunge ya kurekebisha sheria kandamizi lakini hakufanya hivyo kwani waliokuwa wanaumizwa na hizo sheria walikuwa ni wapinzani ambao hawana haki katika nchi hii. Leo hii zile sheria alizotumia kuwakandamiza "wale" ndizo hivyo zinazotumika kumkandamiza hata yeye..
Mkuu wakati naandaa bandiko ningependa kukumbusha kuwa hizo unazosema si sababu za Polisi
Polisi wanasema, ziara hizo zinawaondoa wananchi katika shughuli zao za maendeleo
Concern ya Polisi si usalama per se, ni wananchi wanaondoka katika kazi zao. Swali, jeshi la polisi linafanya kazi za wizara ya kazi na maendeleo ya jamii? Ni wajibu wa polisi kusimamia kazi za watu? Jeshi linajua watu wangapi wanafanya kazi maeneo hayo? Jeshi limeweza kutoa ajira kwa wahusika?
Kazi ya jeshi la polisi ni kuzuia, kulinda amani na usalama wa wananchi.
Kama ni suala la kazi, vipi Magufuli jana kule Sumbawanga, wananchi hawakuacha kazi zao? Mbona jeshi linaona kazi za eneo moja la Dar na si Sumbawanga? Kwanini lisihimize wananchi warudi mashambani na kutumia mbegu bora za kilimo?
Jana sikuumia kuomuona Masha akipanda karandinga bali nilifarijika maana alikuwa waziri wa mambo ya ndani, alikuwa na uwezo kuwa kupeleka miswada bunge ya kurekebisha sheria kandamizi lakini hakufanya hivyo kwani waliokuwa wanaumizwa na hizo sheria walikuwa ni wapinzani ambao hawana haki katika nchi hii. Leo hii zile sheria alizotumia kuwakandamiza "wale" ndizo hivyo zinazotumika kumkandamiza hata yeye..
Upande mwigine huko sawa kabisa ngoja walau hata wao waonje yale machungu wayapatayo wapinzani. Na hiki tunachokiona kwa Lowassa au Masha ni cha mtoto wapinzani wamepitia mengi.. Mfn uchanguzi wa serikali za mitaa huko Monduli, wapinzani alivyodharirishwa na kupigwa na polisi waliokuwa wametumwa na Lowassa.
Jana sikuumia kuomuona Masha akipanda karandinga bali nilifarijika maana alikuwa waziri wa mambo ya ndani, alikuwa na uwezo kuwa kupeleka miswada bunge ya kurekebisha sheria kandamizi lakini hakufanya hivyo kwani waliokuwa wanaumizwa na hizo sheria walikuwa ni wapinzani ambao hawana haki katika nchi hii. Leo hii zile sheria alizotumia kuwakandamiza "wale" ndizo hivyo zinazotumika kumkandamiza hata yeye..
Labda sasa ndo anaweza kuwa na 'a balanced perspective' baada ya kuonja udhalimu wa CCM.
Upande mwigine huko sawa kabisa ngoja walau hata wao waonje yale machungu wayapatayo wapinzani. Na hiki tunachokiona kwa Lowassa au Masha ni cha mtoto wapinzani wamepitia mengi.. Mfn uchanguzi wa serikali za mitaa huko Monduli, wapinzani alivyodharirishwa na kupigwa na polisi waliokuwa wametumwa na Lowassa.
Jana sikuumia kuomuona Masha akipanda karandinga bali nilifarijika maana alikuwa waziri wa mambo ya ndani, alikuwa na uwezo kuwa kupeleka miswada bunge ya kurekebisha sheria kandamizi lakini hakufanya hivyo kwani waliokuwa wanaumizwa na hizo sheria walikuwa ni wapinzani ambao hawana haki katika nchi hii. Leo hii zile sheria alizotumia kuwakandamiza "wale" ndizo hivyo zinazotumika kumkandamiza hata yeye..
Na zaidi ya yote sijaona kama kuna uvunjifu wa amani wowote ambao lowassa ameusababisha.
Sijaona watu kupigana wala kurushiana maneno ya aina yeyote.
Hapa polisi wanatakiwa kujisafisha na hizi 'double standards' wanazozionesha.