Alinda
Platinum Member
- Jun 26, 2008
- 1,695
- 2,149
HAYA NI MAJIBU KWA wafuatao Nguruvi3 Alinda Mwalimu
Maelezo yangu hayakua na mtazamo mbaya kwangu lengo kuifanya Tanzania salama ya bila Uhasama,wa kisiasa,nimeshangaa nimepigwa mande(kuchangiwa)
MAJIBU kwa Nguruvi3 ;
Mosi,usipate tabu kufikiri,huu uzi si Mara ya kwanza kuchangia Mimi,upitie utaona.
Pili,Uzi huu kila siku kabla ya kulala lazima niupitie,na penye kuchangia na nachangia,jaribu kuperuzi utaona.
Tatu,Sina dukuduku,mbona nimeshawai kuchangia katika uzi huu,nimemrekibisha Alinda na vyama vyote vya siasa (au hili la vyama siasa amkuliona katika andiko langu)
Nne,Nakubali Amani ni swala la wote,ndio maana Mimi nimetoa taadhari kwa Alinda mama yangu(km Ana mtoto wa miaka 30+ kama Mimi),na wale wa gori la Mkono,na yule aliesema atatangaza matokeo kabla ya Tume ya uchaguzi kutangaza(ndio mana nikasema vyama vya siasa).
Tano,Nimemsoma vizuri sana Alinda nimetenda Haki kwa Nchi yangu,na ndio mtazamo wangu,kauli ya kumwaga damu kwangu si kauli njema na wala si Afya kwa Nchi yetu.
Sita,Mbowe anapenda sana kuwa mnafiki,akiwa na watu wa CDM, aliwezaje kusema uchaguzi hautafanyika, wakati yeye sio NEC, na kudai damu itamwagika, Mbowe lazima atuombe Radhi kutuletea taharuki kwa kauli ya kumwaga damu, mpaka Leo mwana mama Alinda anaona jambo la kawaida kumwaga damu.
Saba,Wenzake kina Alinda ni kina Marando,Mbowe, Nape,Mnyika,Lema,Pinda wote wanaopenda kauli za kuleta vurugu.
Nane,Sote tunaipenda Nchi yetu,ndio mana pale nimemalizia Tanzania Yetu ni bora kuliko vyama vyetu,pia sijamchagulia mtu la kusema,Ila mtu akisemwa kauli za hatari kwa taifa,siwezi kunyamaza kamwe,ndio maana katika maelezo ya ALINDA nimemkosoa mwisho tu,nilikua na uwezo wa kumkosoa mwanzo tu wa maelezo yake,maana akua na uhakika na alishopost,anasema kabisa kama ni kweli hii picha,rejea maelezo yake katika ile picha, kwanini amalize na neno la umwagaji damu, kwa picha ambayo Hana uhakika.
Tisa,Sijamuwekea maneno Alinda, ndio maana nimemnukuu,si maneno yangu.
**Sehemu I
Hiki umeandika kitu gani?????? Dah hakika binadamu tumetofautiana..