CHADEMA ushindi wa 2025 uchaguzi mkuu ni lazima - Tunafuta tozo za aina yote kwa mteja

CHADEMA ushindi wa 2025 uchaguzi mkuu ni lazima - Tunafuta tozo za aina yote kwa mteja

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Tanzania chini ya uongozi wa Chadema hapo 2025 ni kuongoza nchi kama nchi tajiri nambari one duniani,haya matozo ya ajabu ajabu haya yote yanaondolewa.

Utajiri uliopo Tanzania unashinda utajiri wa nchi zenye kufukuwa petroli,kiujumla na zaidi ,mafuta yapo Tanzania ,serikali iliyopo na ambayo tokea tupate uhuru ipo madarakani ,wameshindwa kumuendeleza Mtanzanzia na sasa wanamkamua kwa hicho hicho kipato kidogo cha kuuza vocha na mama ntilie, CCM imeshindwa vibaya sana na sasa inajikongoja eti kuvutia watalii, watalii wananusa kama au kushinda mbwa wa polisi,

labda mtu atasema mbona watalii wanakuja ,ndugu zangu hawa watalii wanaokuja ni wale wa kufungwa shule ndio hupita,kuna nchi zinastopisha yale mameli ya kifahari ya Utalii sana sana hapa hupitia Zanzbar siku hizo na kusimaa kwa masaa kumi nambili ,na unaikuta Zanzibar imechenji unaona rangi za kizungu tu,yaani kama waZanzibar hawapo. Mliwahi kuziona meli hizi zikifunga gati Zanzibar mnaweza kukoleza.

CCM haina tena dira ya kuiongoza nchi hii,walipofikia ndio hapo tunapaona kukamatana na kuwekana jela ,hii ndio sera yao kubwa waliyonayo kwa sasa,,hawana mawazo wala fikra za kimandeleo wanachokijaribu kina buma maana haki imeondolewa na kuwekwa ubabe ,kuongoza nchi sio kama unaecti kamchezo cha kicowboy na aliyeko madarakani ndio mbabe wa kupiga kuuwa kila unapofikia uchaguzi,mpaka kufikia kuiba magunia ya karafuu kwa raia ,ujue hatuna tena serikali ya kuwatunza wananchi.

CCM kama unasoma basi chukua chako mapema kama ni ofisi ya chama jitaidi uiandikishe kwa jina lako.
 
Zanzibar wameshaifuta CCM ipo jina tu ila kiundani wanaenda kivyao na sasa ndio wanadeka zaidi maana mzanzibari mkaazi amekuwa Mtawala huko Tanganyika.
 
Adui wa Taifa

Ujinga
Maradhi
Umaskini
Sisiemu
Roho mbaya
 
2025 , Sasa 6 mchana tutakua tunaongea ya Zambia, mda ulisha fika ila wapo ambao Wameendelea kuchelewesha , ila 2025 watajua hawajui.
 
Chadema imekufa, toka mmemkaribisha Lowassa ndipo mlipoharibu.

Hivi una akili zako timamu unafikiri siku 1 hii nchi itaongozwa na Chadema?

Hata CCM siwakubali lakini tunahitaji chama pinzani chenye uchungu na wananchi, ila sio Chadema
CCM mbona haina uchungu na taifa Wala wananchi, ila ipo hata Kama ilipitia mlango wa nyuma
 
Mkuu ukiona uzi wako umesuswa hata na zo.mbi wenzio kama Mmawia basi ujitafakari upya. Ujue kwamb unajipendekeza ndan ya chama ambacho wewe hautambuliki na wala hauthaminiki. Chadema kina wenyew ndugu yang, ila pole kijana kwa kupoteza muda wako na data zako.
 
Nachowashauli Chadema waje na hoja zenye mashiko. Wakikaa na kukomalia tu Katiba mpya, sijui kama wataweza kuwin watu wakawaida. Wanao elewa umuhimu wa katiba mpya labda mijini sio vijijini.
 
Kama tozo zitakuwa zimetuboreshea huduma za afya, shule na barabara huku vijijini unadhani tutawakumbuka nyie wapinga maendeleo?
Chama hakina hata kiwanja cha kujenga kiofisi cha makao makuu ya chama mtatuambia nini linapokuja suala la maendeleo?
Imekula kwenu!
 
Kwa hii nchi yetu... Upinzani bado saana kuchukua nchi
 
Tanzania chini ya uongozi wa Chadema hapo 2025 ni kuongoza nchi kama nchi tajiri nambari one duniani,haya matozo ya ajabu ajabu haya yote yanaondolewa.

Utajiri uliopo Tanzania unashinda utajiri wa nchi zenye kufukuwa petroli,kiujumla na zaidi ,mafuta yapo Tanzania ,serikali iliyopo na ambayo tokea tupate uhuru ipo madarakani ,wameshindwa kumuendeleza Mtanzanzia na sasa wanamkamua kwa hicho hicho kipato kidogo cha kuuza vocha na mama ntilie, CCM imeshindwa vibaya sana na sasa inajikongoja eti kuvutia watalii, watalii wananusa kama au kushinda mbwa wa polisi,

labda mtu atasema mbona watalii wanakuja ,ndugu zangu hawa watalii wanaokuja ni wale wa kufungwa shule ndio hupita,kuna nchi zinastopisha yale mameli ya kifahari ya Utalii sana sana hapa hupitia Zanzbar siku hizo na kusimaa kwa masaa kumi nambili ,na unaikuta Zanzibar imechenji unaona rangi za kizungu tu,yaani kama waZanzibar hawapo. Mliwahi kuziona meli hizi zikifunga gati Zanzibar mnaweza kukoleza.

CCM haina tena dira ya kuiongoza nchi hii,walipofikia ndio hapo tunapaona kukamatana na kuwekana jela ,hii ndio sera yao kubwa waliyonayo kwa sasa,,hawana mawazo wala fikra za kimandeleo wanachokijaribu kina buma maana haki imeondolewa na kuwekwa ubabe ,kuongoza nchi sio kama unaecti kamchezo cha kicowboy na aliyeko madarakani ndio mbabe wa kupiga kuuwa kila unapofikia uchaguzi,mpaka kufikia kuiba magunia ya karafuu kwa raia ,ujue hatuna tena serikali ya kuwatunza wananchi.

CCM kama unasoma basi chukua chako mapema kama ni ofisi ya chama jitaidi uiandikishe kwa jina lako.
ushindi kwa chadema unakuja. Itakwa wa ajabu
 
Chadema hapana asee. Walitetea sana matajiri na wezi wa madini. Leo kibao kimegeukia kwa wanyonge hawana habari.
Huo ni ukweli mchungu. Chadema hapana kabisa yàni bora CCM.
 
CHAGADEMA ndio wamechoka na wamepoteana.

Wewe unasemaje CCM wamechoka wakati nchi inasomga, miradi ya kimkakati inaendelea?

Tatizo chadema mmebaki kudandia hoja za CCM na kuzitumia kutafuta kick mitandaoni.

Chadema ilikuwa Ile ya Dk Slaa na alipoondoka tu, falsafa zote zikaondoka nae.

Kalili maneno yangu.
Upo sahihi,ccm ina hoja tu haina Sera was dira ya maendeleo.
Mnajenga hoja tu

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Unashangaa nini Mkuu? Mtu yuko hai anasingiziwa kuwa yeye ni Gaidi, marehemu ndio kabisaa kwani hawakawii kutuambia kuwa Hamza ndie alimuua Yesu Kristo.
 
Chadema hapana asee. Walitetea sana matajiri na wezi wa madini. Leo kibao kimegeukia kwa wanyonge hawana habari.
Huo ni ukweli mchungu. Chadema hapana kabisa yàni bora CCM.
Nahisi wewe ni mgonjwa wa akili na hujitambui! Nakushauri nenda mirembe ukatibiwe kisha uende dukani ukanunue akili!
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Back
Top Bottom