CHADEMA, Vijana someni sana ili kuongeza ufahamu

CHADEMA, Vijana someni sana ili kuongeza ufahamu

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,013
Reaction score
1,183
Habari Tanzania!

Leo napendezwa niongee na enyi vijana kizazi kipya kwenye masuala ya Utaawala na Siasa Kazi.

1. Siasa; Unapobomoa " Legacy " ya utawala wowote/ yoyote ukumbuke utawajibika kiutawala na utapata adhabu yenye kukupa adabu aidha uache nia ovu uliyonayo kwa kujua au kutokujua; au upotezwe mazima kwa manufaa ya Taifa (Rejea Siasa CHADEMA na kinachoendelea)

Kikawaida kabisa hata CHADEMA endapo mngekuwa mmeunda Serikali mngefanya yaleyale kwa mtu au watu wenye mawazo au nia ya kuondoa "Legacy" ya Utawala uliopo au uliopita kwa gharama yoyote.

Namna ya kujiepusha: Yafaa siasa safi, ubunifu wa sera matokeo na uchochezi wa fikra au maarifa mapya kwa jamii; mwisho jamii ndio itatoa ushindi kwa upande wenu.


2. Kazi na Utawala; Kijana unapopata kazi au unapokuwa kwenye majukumu yako hasa ya kitendaji zingatia sana sheria. Wengi wa vijana hawasomi au kuweka mazingatio wanapoingia kwenye majukumu aidha Mapya au yaliozoeleka kwenye kutimiza wajibu wao. Mfano; Kwa mujibu wa Sheria kama sitakosea inaeleza kuwa kifungu cha mwisho cha mafungamano aidha maneno au maandishi ndio hubeba maana kamili ya kile mlichokubaliana.

Ikitokea kijana upo kwenye ajira au ukaajiriwa na ukatumwa au kupokea maelekezo yoyote ya kiongozi au mkuu wako katika kazi; piga kazi itapendeza zaidi ukipata nyaraka. Mfano; Ukitumwa au kutekeleza jambo au jukumu na Mkuu wako huna kosa kisheria endapo kama kwenye mkataba wako wa kazi kulikuwa na kipengele cha mfano huo hapo chini.

Ref: Uwe tayari kufanya kazi yoyote utakayoelekezwa na mkuu wako. ( Mfano usio rasmi).

Rejea Kesi pendwa kwa Vijana - Mshkaji hana kosa ni jambo la muda tu.

Vijana acheni ushabiki hausaidii lolote zaidi kuongeza hasira ndani yako.

Vijana jikiteni kwenye kusoma na muwe wabunifu.

NB

Kwa mujibu wa KATIBA nimetoa maoni yangu binafsi yasihusishwe na jambo au kitu chochote.

Asalaam.
 
Sabaya msomi nguli anajitetea kwamba alipoenda kupora dukani akiwa na bunduki alitumwa na aliuemteua.
Chama Cha Majambazi kimedunisha elimu, kinaendeleza matukio ya kihalifu.
Shule hazina matundu ya vyoo, madarasa, madawati wala vitabu.

Cyp kwa kutumia magazeti yake, alipewa ulimi mrefu wa kutukana watu na kuwachafua. Sasa aliyekuwa akimtuma hayupo, analipa gharama.

Chama Cha Mazezeta
 
Sabaya msomi nguli anajitetea kwamba alipoenda kupora dukani akiwa na bunduki alitumwa na aliuemteua.
Chama Cha Majambazi kimedunisha elimu, kinaendeleza matukio ya kihalifu.
Shule hazina matundu ya vyoo, madarasa, madawati wala vitabu.

Cyp kwa kutumia magazeti yake, alipewa ulimi mrefu wa kutukana watu na kuwachafua. Sasa aliyekuwa akimtuma hayupo, analipa gharama.

Chama Cha Mazezeta
Wewe jua washkaji sheria itatafsiriwa vizuri na wahana hatia hata chembe ni mihemuko tu ya wachache.
 
Habari Tanzania!

Leo napendezwa niongee na enyi vijana kizazi kipya kwenye masuala ya Utaawala na Siasa Kazi.

1. Siasa; Unapobomoa " Legacy " ya utawala wowote/ yoyote ukumbuke utawajibika kiutawala na utapata adhabu yenye kukupa adabu aidha uache nia ovu uliyonayo kwa kujua au kutokujua; au upotezwe mazima kwa manufaa ya Taifa (Rejea Siasa CHADEMA na kinachoendelea)

Kikawaida kabisa hata CHADEMA endapo mngekuwa mmeunda Serikali mngefanya yaleyale kwa mtu au watu wenye mawazo au nia ya kuondoa "Legacy" ya Utawala uliopo au uliopita kwa gharama yoyote.

Namna ya kujiepusha: Yafaa siasa safi, ubunifu wa sera matokeo na uchochezi wa fikra au maarifa mapya kwa jamii; mwisho jamii ndio itatoa ushindi kwa upande wenu.


2. Kazi na Utawala; Kijana unapopata kazi au unapokuwa kwenye majukumu yako hasa ya kitendaji zingatia sana sheria. Wengi wa vijana hawasomi au kuweka mazingatio wanapoingia kwenye majukumu aidha Mapya au yaliozoeleka kwenye kutimiza wajibu wao. Mfano; Kwa mujibu wa Sheria kama sitakosea inaeleza kuwa kifungu cha mwisho cha mafungamano aidha maneno au maandishi ndio hubeba maana kamili ya kile mlichokubaliana.

Ikitokea kijana upo kwenye ajira au ukaajiriwa na ukatumwa au kupokea maelekezo yoyote ya kiongozi au mkuu wako katika kazi; piga kazi itapendeza zaidi ukipata nyaraka. Mfano; Ukitumwa au kutekeleza jambo au jukumu na Mkuu wako huna kosa kisheria endapo kama kwenye mkataba wako wa kazi kulikuwa na kipengele cha mfano huo hapo chini.

Ref: Uwe tayari kufanya kazi yoyote utakayoelekezwa na mkuu wako. ( Mfano usio rasmi).

Rejea Kesi pendwa kwa Vijana - Mshkaji hana kosa ni jambo la muda tu.

Vijana acheni ushabiki hausaidii lolote zaidi kuongeza hasira ndani yako.

Vijana jikiteni kwenye kusoma na muwe wabunifu.

NB

Kwa mujibu wa KATIBA nimetoa maoni yangu binafsi yasihusishwe na jambo au kitu chochote.

Asalaam.

IMG_20210812_203533_044.jpg
 

View attachment 1891231
Awamu ya Tano hawakuwa wajinga kuhakikisha wanatangaza kwa nguvu zao zote kwa kila linalofanyika au wanalolifanya aidha liwe dogo au kubw a ili kukuza na kuboresha "Legacy" zao na kupitia mbinu hii nchi ilikwenda sana tofauti na sasa wanacheza na mziki wa CHADEMA pasipo tahadhari; ndipo kungundua wakaamua kumchapa mwenyekiti n baadhi ya watu wa chama mambo magumu wakafie mbele.

Nchi sio mzaha mzaha.
 
Awamu ya Tano hawakuwa wajinga kuhakikisha wanatangaza kwa nguvu zao zote kwa kila linalofanyika au wanalolifanya aidha liwe dogo au kubw a ili kukuza na kuboresha "Legacy" zao na kupitia mbinu hii nchi ilikwenda sana tofauti na sasa wanacheza na mziki wa CHADEMA pasipo tahadhari; ndipo kungundua wakaamua kumchapa mwenyekiti n baadhi ya watu wa chama mambo magumu wakafie mbele.

Nchi sio mzaha mzaha.

Legacy ipi? Hii hapa?

IMG_20210806_053407_437.jpg
 
UPUUZI MTUPU!!!
Habari Tanzania!

Leo napendezwa niongee na enyi vijana kizazi kipya kwenye masuala ya Utaawala na Siasa Kazi.

1. Siasa; Unapobomoa " Legacy " ya utawala wowote/ yoyote ukumbuke utawajibika kiutawala na utapata adhabu yenye kukupa adabu aidha uache nia ovu uliyonayo kwa kujua au kutokujua; au upotezwe mazima kwa manufaa ya Taifa (Rejea Siasa CHADEMA na kinachoendelea)

Kikawaida kabisa hata CHADEMA endapo mngekuwa mmeunda Serikali mngefanya yaleyale kwa mtu au watu wenye mawazo au nia ya kuondoa "Legacy" ya Utawala uliopo au uliopita kwa gharama yoyote.

Namna ya kujiepusha: Yafaa siasa safi, ubunifu wa sera matokeo na uchochezi wa fikra au maarifa mapya kwa jamii; mwisho jamii ndio itatoa ushindi kwa upande wenu.


2. Kazi na Utawala; Kijana unapopata kazi au unapokuwa kwenye majukumu yako hasa ya kitendaji zingatia sana sheria. Wengi wa vijana hawasomi au kuweka mazingatio wanapoingia kwenye majukumu aidha Mapya au yaliozoeleka kwenye kutimiza wajibu wao. Mfano; Kwa mujibu wa Sheria kama sitakosea inaeleza kuwa kifungu cha mwisho cha mafungamano aidha maneno au maandishi ndio hubeba maana kamili ya kile mlichokubaliana.

Ikitokea kijana upo kwenye ajira au ukaajiriwa na ukatumwa au kupokea maelekezo yoyote ya kiongozi au mkuu wako katika kazi; piga kazi itapendeza zaidi ukipata nyaraka. Mfano; Ukitumwa au kutekeleza jambo au jukumu na Mkuu wako huna kosa kisheria endapo kama kwenye mkataba wako wa kazi kulikuwa na kipengele cha mfano huo hapo chini.

Ref: Uwe tayari kufanya kazi yoyote utakayoelekezwa na mkuu wako. ( Mfano usio rasmi).

Rejea Kesi pendwa kwa Vijana - Mshkaji hana kosa ni jambo la muda tu.

Vijana acheni ushabiki hausaidii lolote zaidi kuongeza hasira ndani yako.

Vijana jikiteni kwenye kusoma na muwe wabunifu.

NB

Kwa mujibu wa KATIBA nimetoa maoni yangu binafsi yasihusishwe na jambo au kitu chochote.

Asalaam.
 
Tuondolee upumbavu wako hapa ZWAZWA wewe! Kuna utawala Tanzania au genge la wahuni, majizi, mafisadi na wauaji!?
Upumbavu hauna hekima. Wewe kuwa CHADEMA haikupi nafasi au maarifa ya kujua jinsi ya utawala unavyopaswa kuwa.
 
Haahaahaa!

Bro! Unajua maana ya "Legacy" hususani ya Utawala wa awamu ya 5?

Ndugu, nasikitika kwa mtazamo na aina ya mawazo uliyonayo. Kama umebahatika hata kutembea mikoa walau hata 5 ungejua na ungenielewa nilichomaanisha katika andiko langu.

Kutawala watu wa fikra na mitazamo tofauti usihisi ni kazi ndogo bro.

Upumbavu na Ujuha ni mzigo. Nenda shule tena ukasome; elimu haina mwisho.
 
Tuondolee upumbavu wako hapa ZWAZWA wewe! Kuna utawala Tanzania au genge la wahuni, majizi, mafisadi na wauaji!?
Heri nusu shari kuliko Shari kamili.
Ni kweli wapo viongozi wasio na maadili kwenye mali za umma lakini haiondoi "legacy" zao kupitia awamu sawa na tawala zao.

Viongozi wengi na wafuasi wa kisiasa mfano wewe BAK mmejipa tamaa sana vifuani mwenu na kujiona bora zaidi kuliko watu wengine.

Upumbavu huleta shida sana endapo ukuishi ndani take.
 
Siyo wapo maccm yote ni majizi, mafisadi na wauaji. Wamekuwa na KIBRI hadi kutaka kumuua CAG kwa kuandika kuhusu wizi wao.
1628888137653.jpeg

Heri nusu shari kuliko Shari kamili.

Ni kweli wapo viongozi wasio na maadili kwenye mali za umma lakini haiondoi "legacy" zao kupitia awamu sawa na tawala zao.

Viongozi wengi na wafuasi wa kisiasa mfano wewe BAK mmejipa tamaa sana vifuani mwenu na kujiona bora zaidi kuliko watu wengine.

Upumbavu huleta shida sana endapo ukuishi ndani take.
 
Siyo wapo maccm yote ni majizi, mafisadi na wauaji. Wamekuwa na KIBRI hadi kutaka kumuua CAG kwa kuandika kuhusu wizi wao.
View attachment 1891479
Hiyo ni kawaida kabisa sema ukiwa mnafki huleta matatizo mfano na huo ulioutaja.

Kwenye taaluma kuna kitu inaitwa uwajibikaji " Accountability ". Hii humaanisha endapo wewe kama mtaalamu umefanya au kutenda kitaalamu na unahisi au kuona unaingiliwa kimajukumu katika utaalamu wako jiuzulu au acha kabisa hiyo kazi na mwishoe utaheshimika.

Tatizo wataalamu tulionao ni hopeless 99% maana wengi wao wamepata kazi kwa bahati, kujuana na ukada hawajui nini taaluma zao zinawataka kuishi.

Yeye kama anahisi ametenda vyema na anapokea vitisho aache kazi na sio kuomba sijui ulinzi wa nini na ili iweje. Polisi sijawahi sikia akilinda taaluma za watu labda hili ni jukumu lao jipya huenda.

Wasomi wengi ni chenga sana hawapendi kuishi kwenye ukweli wanapenda uongo uongo; lazima wakutane na dunia waitakayo.
 
Utawala wake ndio utakaokumbukwa na kufanyia kazi yale yaliyofaa; huo ndio utaratibu katika tawala na sio maneno au ushauri nje na mamlaka huwa hauna maana au hauhakisi uhalisia wa wakati husika.
 
Utawala wake ndio utakaokumbukwa na kufanyia kazi yale yaliyofaa; huo ndio utaratibu katika tawala na sio maneno au ushauri nje na mamlaka huwa hauna maana au hauhakisi ualisia wa wakati husika.

Wewe mwenyewe waelewa ulichoandika?

1. Utawala wake nani?
2. Yale yaliyojaa ni yapi?
3. Utaratibu upi katika tawala zipi?
4. Maneno au ushauri nje ya mamlaka ndiyo nini?
5. Uhalisia upi?
6. Wakati husika uko je?

Elimu yako tafadhali ka hutajali.
 
Wewe mwenyewe waelewa ulichoandika?

1. Utawala wake nani?
2. Yale yaliyojaa ni yapi?
3. Utaratibu upi katika tawala zipi?
4. Maneno au ushauri nje ya mamlaka ndiyo nini?
5. Uhalisia upi?
6. Wakati husika uko je?

Elimu yako tafadhali ka hutajali.
Unapenda ujue elimu ya mtu ili iwe nini kwako? Elimu inatoa mwanga hususani kwa watu vipofu mfano na wewe unaependa kuendeshwa kwa hisia pasipo ukweli uliopo.

Mimi nimetoa maoni yangu kwa uzoefu na mambo mengi niliyopata kuyafahamu kutokana elimu yangu ya WATU HURU.

Unajifanya unamkubali Nyerere wakati CHADEMA kimfumo wa utawala imeweka imani kwenye UBEPARI ambao ni kinyume na imani ya Nyerere (UJAMAA). Unapata wapi na nguvu ipi ya kumnukuu maneno machache Nyerere kama DEFENCE MECHANISM yako kwa moja yako dhaifu; ikiwa wewe ni MBEPARI?
 
Umelenga kumtisha nani ?
Nimetoa matongotongo kwa vijana mfano na wewe ili kuweka tafakali kwa kila jambo linalotokea hii itachochea fikra zenu kukua na kujiepusha na mitego kwa Serikali.

Anaekutaka ule Ugali zaidi kuliko kukomba mboga; anakutaka ushibe na update nguvu ya kuishinda Leo.

Usiogope wala usipate mateso katika moyo wako. Hii ndio dunia haina urafiki na unafki kwa rika zote.
 
Back
Top Bottom