Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,921
- 4,683
Ingekuwa ni CUF wangesema AlQaeda na Taliban!
Sisiem walijisahau hizi sifa walizokuwa wakimsifia kafu wakazipeleka kwa chadema.
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa ni CUF wangesema AlQaeda na Taliban!
Robot!
Akiongea baada ya kuulizwa na waandishi wa habari mbunge wa ubungo John mnyika amekiri kuwasili kwa vijana hao akidai kuwa wamekuja ili kulinda kura wakiwa katika coaster 10, tunaomba jeshi la polisi liwe macho na vijana hapo sisi tunatambua lengo lao ni kwenda kuvuruga uchaguzi.
tunaomba jeshi la polisi liwe macho
Mkuu CDM hawawezi kuchukuwa nchi kwa muundo wake sio chama cha kitaifa ni chama cha kikanda na cha udini pamoja na ukabila
Mkuu CDM hawawezi kuchukuwa nchi kwa muundo wake sio chama cha kitaifa ni chama cha kikanda na cha udini pamoja na ukabila
Mkuu CDM hawawezi kuchukuwa nchi kwa muundo wake sio chama cha kitaifa ni chama cha kikanda na cha udini pamoja na ukabila
Hapo kwenye red naomba uzingatie matumizi ya wingi na umoja katika sentensi zako.Akiongea baada ya kuulizwa na waandishi wa habari mbunge wa ubungo John mnyika amekiri kuwasili kwa vijana hao akidai kuwa wamekuja ili kulinda kura wakiwa katika coaster 10, tunaomba jeshi la polisi liwe macho na vijana hapo sisi tunatambua lengo lao ni kwenda kuvuruga uchaguzi.

RITZ HUNA DAMU, HISIA, NYAMA WALA MOYO?. Waoenee uchungu na watanzania wenzako jamani.
Hiyo avatar yako tu nishajuwa ww ni mtu ya kipande gani,wala sina coment..!Akiongea baada ya kuulizwa na waandishi wa habari mbunge wa ubungo John mnyika amekiri kuwasili kwa vijana hao akidai kuwa wamekuja ili kulinda kura wakiwa katika coaster 10, tunaomba jeshi la polisi liwe macho na vijana hapo sisi tunatambua lengo lao ni kwenda kuvuruga uchaguzi.
izo siasa chafu mlianza nazo ww na baba ritz mkidhan ndo mtaji matokeo yake kila uchao ndo mwazidi filisika, hamna pa kutokea msimu huu cha Zambia cha mtoto.Najua humu jamvini mtapotea tu na hizo account zenu za ku-share.
Kila siku nasema humu JF CDM wanasomba wahuni wanawapeleka Igunga watu mnabisha leo mmeona wenyewe!
Cha kujiuliza hivi ni nani anaewalipa posho pamoja na kugharamia Chakula na Malazi kwa hawa vijana zaidi ya 2000 lazima kutakuwa kuna kikundi kinaifadhili CDM ili kuleta fujo na machafuko nchini.
Angalizo kwa Jeshi la Polisi kuweni makini kama mtazidiwa nguvu lipo Jeshi la Wananchi JWTZ
Hawawezi kuishinda nguvu ya Umma.Kila siku nasema humu JF CDM wanasomba wahuni wanawapeleka Igunga watu mnabisha leo mmeona wenyewe!
Cha kujiuliza hivi ni nani anaewalipa posho pamoja na kugharamia Chakula na Malazi kwa hawa vijana zaidi ya 2000 lazima kutakuwa kuna kikundi kinaifadhili CDM ili kuleta fujo na machafuko nchini.
Angalizo kwa Jeshi la Polisi kuweni makini kama mtazidiwa nguvu lipo Jeshi la Wananchi JWTZ
CCM wamepeleka chakula Somalia ili Al Shaababy waje nchini kuwasaidia CCM kwenye uchaguzi Igunga.Chadema mnaipeleka nchi pabaya sana. Mbowe leo amekiri kuingiza vijana 5000 wakiwa na mapanga na jambia ili kulinda kura zisiibiwe. Hivi kweli tumefikia sehemu hiyo?
Hawawezi kuishinda nguvu ya Umma.
Akiongea baada ya kuulizwa na waandishi wa habari mbunge wa ubungo John mnyika amekiri kuwasili kwa vijana hao akidai kuwa wamekuja ili kulinda kura wakiwa katika coaster 10, tunaomba jeshi la polisi liwe macho na vijana hapo sisi tunatambua lengo lao ni kwenda kuvuruga uchaguzi.