The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Kama ilivyosemwa kwamba chama hiki kikubwa kabisa cha upinzani hapa nchini kitaanza mikutano yake ya hadhara hivi karibuni, kutokana na hali ya mambo ilivyo Kwa sasa na mabadiliko makubwa ya kisiasa yaliyotokea baina ya utawala wa kikwete magufuli na hatimae Samia, ni hoja zipi unadhani zitaleta mvuto Kwa wananchi?
1. Pongezi Kwa mama Kwa kuruhusu mikutano ya wapinzani?
2. kulaani ukopaji na ukuaji wa deni la taifa?
3. Kusoma lisala ya kumponda na kumshutumu hayati?
4. Kupanda Kwa gharama ya maisha na namna ambavyo ilani yao ingedhibiti hiyo hali?
5. Kukosekana Kwa ajira Kwa vijana.?
Au una dhani ni hoja zipi zitaleta mvuto sana Kwa raia wa kawaida?
1. Pongezi Kwa mama Kwa kuruhusu mikutano ya wapinzani?
2. kulaani ukopaji na ukuaji wa deni la taifa?
3. Kusoma lisala ya kumponda na kumshutumu hayati?
4. Kupanda Kwa gharama ya maisha na namna ambavyo ilani yao ingedhibiti hiyo hali?
5. Kukosekana Kwa ajira Kwa vijana.?
Au una dhani ni hoja zipi zitaleta mvuto sana Kwa raia wa kawaida?