CHADEMA waje na ajenda gani kwenye mkutano wao wa kwanza baada ya kutoka kifungoni?

CHADEMA waje na ajenda gani kwenye mkutano wao wa kwanza baada ya kutoka kifungoni?

Hauwezi kuendesha mkutano wa kisiasa wa hadhara bila kumuenzi hata kinafiki marehemu, jamii kubwa haitakuelewa, it is for your better future(uliza SSH akiwa Nyerere HEPP)

Fanya ufanyavyo lkn usimkwepe wala kumponda marehemu, hautaeleweka.

Bora hata useme...
"Tulisamehe na tulizika tofauti zetu kny kaburi la marehemu, tunachukua yote mazuri ambayo marehemu ametuachia na kuendeleza yote aliyoyaanzisha kwa ajili ya Tanzania bora ya kesho, R.I.P"

Watu watakia na kukuunga mkono kwa nguvu na hisia kali.
 
Nilipata kuuliza humu ndani juu ya ajenda za chadema Kwa sasa maana naona ni kama mabosi wawili wamekubaliana kufanya kazi pamoja.
Huku mmoja akiwahusisha wenzie na mwingine akikomaa kivyake tu
 
Hauwezi kuendesha mkutano wa kisiasa wa hadhara bila kumuenzi hata kinafiki marehemu, jamii kubwa haitakuelewa, it is for your better future(uliza SSH akiwa Nyerere HEPP)

Fanya ufanyavyo lkn usimkwepe wala kumponda marehemu, hautaeleweka.

Bora hata useme...
"Tulisamehe na tulizika tofauti zetu kny kaburi la marehemu, tunachukua yote mazuri ambayo marehemu ametuachia na kuendeleza yote aliyoyaanzisha kwa ajili ya Tanzania bora ya kesho, R.I.P"

Watu watakia na kukuunga mkono kwa nguvu na hisia kali.
HAwa wamekubaliana yaani Mbowe na mama wazike legacy ya hayati ndo maana chama kimeanza na pambio ya kumsifu mama na tunakoelekea chadema itapeleka hoja bungeni kutaka mama apite bila kupingwa!
 
Bado kujadili hali ya kiuchumi jinsi inazidi kuwa mbaya nchini tunajadili masuala ya vyama jamii forum zaman kulikuwa na watu wasomi lkn siku hizi wameingia watu wa ovyoo
Kwa hiyo Kwa akili yako hujui Kuna uhusiano kati ya siasa na maisha yako ya Kila siku? Lazima tuvijadili ili kuvipa changamoto ya KUFIKIRIA vizuri
 
Back
Top Bottom