1 na 3.
1. Wampongeze na kummwagia sifa zote rais Samia kwa kuruhusu mikutano ya kisiasa.
3. Isiwe risala tu, kila atakayepanda jukwaani ainange serikali ya awamu ya 5, ambayo Samia alikuwa makamu wa Rais, na kuipaka kila aina ya matope (kupanda kwa gharama za maisha, mgao wa umeme/maji/madawa/chakula, nk).
Wakizungumzia hayo watauteka mji wote! Yani wasizungumzie kitu kingine chochote zaidi ya kumponda Hayati Magufuli.
Top up iwe kufagilia ushoga.
Btw, chadema wenyewe wana ajenda au hoja gani za maana ambazo watu hawajazisikia?