GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 4,291
- 5,786
Hivi kweli ile treni ya mwendo kasi, inayoitwa Royal express inarudisha gharama kweli? au kama zilivyo ndege hata wakisafiri watu 50 kwenye EMU yenye mabehewa 8 yote sawa tu?
Bado najiuliza, yale mabehewa ya ghorofa, yatakuwa na reli yake tofauti na hizi reli mbili zilizopo sasa au itajengwa reli nyingine?
Nawaza kwa kuweweseka tu.....Kumaanisha!!. 🤔 😳
Bado najiuliza, yale mabehewa ya ghorofa, yatakuwa na reli yake tofauti na hizi reli mbili zilizopo sasa au itajengwa reli nyingine?
Nawaza kwa kuweweseka tu.....Kumaanisha!!. 🤔 😳