Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Miamba wanaotembeza bakuli kuendesha chama.Hawa ndo miamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miamba wanaotembeza bakuli kuendesha chama.Hawa ndo miamba
Radio ni taasisi za kibiashara hakuna aliyekatazwa kuanzisha ya kwake halafu akaweka vipindi vyenye kuisaidia jamii ya kitanzania.Cha ajabu watanzania wamegeuzwa kuwa washabiki wa mpira....kila redio inachambua simba na Yanga kuanzia asbh mpaka mchana...halafu mchana mipasho mpaka linazama. Jioni unawekewa michezo then badae ngono mpaka kunakucha
DuuhMakamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Bara John Heche amesema chama hicho kina kila hoja za kushindana na chama cha mapinduzi na watazitumia pindi wakianza kufanya ziara na kuzungumza na wananchi.
Heche amesema hayo leo akiwa jijini Arusha na kueleza kuwa miongoni mwa hoja walizonazo ni juu ya uwepo wa ubadhirifu kwenye mradi wa reli ya treni iendayo haraka(SGR).
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Heche amedai mchakato wa kutangaza zabuni na mshindi kupatikana kutokufanyika kiusahihi lakini pia gharama zilizotumika zina mashaka pamoja na kutokuwa na ubora unaohitajika kwa mabehewa yanayotumika katika treni hizo.
Ipe miaka 10 tu hoi bin taabaniSerikali ya Samia ametuletea mtumba wa sgr ambao Kila siku unazima porini
Pesa za mbowe na ccm hazina nafasiMiamba wanaotembeza bakuli kuendesha chama.
CHADEMA ina vibaka na matapeli wa kisiasa ni wajinga tu watawasikia
Ahahahahaha! Msingi wa Chadema ni pesa za Mzee Mtei, Mzee Bob Makani, Mzee Victor Kimesella na Mzee Brown Ngwilulupi kutaja wachache na Mbowe. Wewe na Lissu mmekuta vimeundwa! AhahahahahaPesa za mbowe na ccm hazina nafasi
Camera yenyewe ni sample kama hii?View attachment 3245225
Kamera 40 zinatakakufungwa kwa 514M. Huoni hawa vibaka?
Hii yawezekana ikawa ndo point, maana mtu wa kawaida hawezi kuwa na "access ya classified information "Hata ndani ya mfumo kuna watu hawapendezwi na haya mambo.
amos makalla ndio anabeti sn na wanampiga vibaya,kukosa agenda na kufilisika hoja ni kitu mbaya sana, hasa kwa mtu mwenye stress za kufilisika na anae ugulia athari za kubeti na kuliwa pension yake yote ya ubunge,
muhindi sio mtu mzuri,
kubeti ni kitu mbaya sana aise, jamaa mpaka kazeeka 🐒
jamaa kafilisika pension ya ubunge yote,amos makalla ndio anabeti sn na wanampiga vibaya,

Hilo jembe wewe haliwezi kufiliska sema kapungua tu kiaina na kwa mwanaume ni jambo la kawaida coz tunakutana na mambo mengijamaa kafilisika pension ya ubunge yote,
inasikitisha sana na inafedhehesha sana aise dah,
hata ukimuangalia tua kwa sura jamaa ana stress hatari![]()
bangi pekee ndio inampa ujasiri lakini hana hata kumi asipopewa safari na chamaHilo jembe wewe haliwezi kufiliska sema kapungua tu kiaina na kwa mwanaume ni jambo la kawaida coz tunakutana na mambo mengi

Ila pia ukumbuke mkuu information sio 100% mtu wa kawaida (kama ulivyosema) hatoweza kupataHii yawezekana ikawa ndo point, maana mtu wa kawaida hawezi kuwa na "access ya classified information "
Ni mbinu mpya ya kuihujumutu....Sijui hapa kama TRC wanafanya kweli biashara au ni kampeni za kisasa. 🤔
Bei ndongo kamera nyingiView attachment 3245225
Kamera 40 zinatakakufungwa kwa 514M. Huoni hawa vibaka?