Pre GE2025 CHADEMA wajipanga kuanika madudu ya SGR, wanusa harufu ya wizi na ufisadi

Pre GE2025 CHADEMA wajipanga kuanika madudu ya SGR, wanusa harufu ya wizi na ufisadi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Cha ajabu watanzania wamegeuzwa kuwa washabiki wa mpira....kila redio inachambua simba na Yanga kuanzia asbh mpaka mchana...halafu mchana mipasho mpaka linazama. Jioni unawekewa michezo then badae ngono mpaka kunakucha
Radio ni taasisi za kibiashara hakuna aliyekatazwa kuanzisha ya kwake halafu akaweka vipindi vyenye kuisaidia jamii ya kitanzania.

Tunalalamika hovyo kwenye masuala ya kibiashara wale hawatoi huduma bure wanatafuta faida kubwa.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Bara John Heche amesema chama hicho kina kila hoja za kushindana na chama cha mapinduzi na watazitumia pindi wakianza kufanya ziara na kuzungumza na wananchi.

Heche amesema hayo leo akiwa jijini Arusha na kueleza kuwa miongoni mwa hoja walizonazo ni juu ya uwepo wa ubadhirifu kwenye mradi wa reli ya treni iendayo haraka(SGR).

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Heche amedai mchakato wa kutangaza zabuni na mshindi kupatikana kutokufanyika kiusahihi lakini pia gharama zilizotumika zina mashaka pamoja na kutokuwa na ubora unaohitajika kwa mabehewa yanayotumika katika treni hizo.
Duuh
 
CHADEMA ina vibaka na matapeli wa kisiasa ni wajinga tu watawasikia
FB_IMG_1739947128811.jpg

Kamera 40 zinatakakufungwa kwa 514M. Huoni hawa vibaka?
 
kukosa agenda na kufilisika hoja ni kitu mbaya sana, hasa kwa mtu mwenye stress za kufilisika na anae ugulia athari za kubeti na kuliwa pension yake yote ya ubunge,

muhindi sio mtu mzuri,
kubeti ni kitu mbaya sana aise, jamaa mpaka kazeeka 🐒
amos makalla ndio anabeti sn na wanampiga vibaya,
 
jamaa kafilisika pension ya ubunge yote,
inasikitisha sana na inafedhehesha sana aise dah,

hata ukimuangalia tua kwa sura jamaa ana stress hatari :pedroP:
Hilo jembe wewe haliwezi kufiliska sema kapungua tu kiaina na kwa mwanaume ni jambo la kawaida coz tunakutana na mambo mengi
 
Back
Top Bottom